
(i) Uvumi-Watu wa Majoka wanaeneza uvumi kuwa Sudi na Ashua ndio wanawinda roho ya Tunu.
(ii) Ahadi za uongo-Madai ya Majoka kuwa atatoa chakula kwa wasiojiweza si ya kweli.
(iii) Vitisho-Wanasagamoyo wanatishwa kwa kurushiwa vijikaratasi wahame.
Majoka anatumia polisi kuwatisha wanasagamoyo.
(iv) Mapendeleo.Ashua baada ya kufuzu kutoka chuo kikuu alipewa kazi katika Majoka and Majoka academy akakataa,sasa angekuwa mwalimu mkuu katika mojawapo ya shule za kifahari,viongozi hupendelea wengine kutumia njia zisizo halali.
Majoka alimpa Tunu kazi kiwandani akakataa.
(v) Jela-Viongozi hufungia wanaowapinga jela.
Ashua anatiwa ndani,kuna washukiwa wengi ndani.
(vi) Polisi-Majoka anatumia polisi kutawanya waandamanaji wanaodai haki zao.
(vii) Ulaghai- Majoka anapanga kuongeza mishahara ya walimu na wauguzi kwa aslimia kidogo kisha apandishe kodi.
(viii) Kudhibiti vyombo vya dola.
Majoka anapanga kufunga vituo vya runinga sagamoyo ili abaki na vichache anavyotaka vya kutangaza habari anazotaka.
(ix) Wavamizi-Majoka anatumia wavamizi,Tunua na anaumizwa mfupa wa muundi,Siti ana majeraha kutokana na uvamizi.
(x) Ulinzi mkali-Majoka na watu wake wana ulinzi mkali.
Kenga anawalinzi,Majoka analindwa na maafisa wa polisi.
(xi) Kufuta kazi wasiomuunga-Majoka anamfuta kazi kingi kwa kutomtii kupiga watu risasi sokoni Chapakazi.
maurice.mutuku answered the question on August 3, 2019 at 09:52
-
Maovu yametamalaki katika jamii ya Riwaya ya Chozi la Heri, tetea kauli hii kwa kutolea hoja kumi.
(Solved)
Maovu yametamalaki katika jamii ya Riwaya ya Chozi la Heri, tetea kauli hii kwa kutolea hoja kumi.
Date posted:
August 3, 2019
.
Answers (1)
-
Ni mambo gani yaliyowakumba wale ambao kitovu chao si hicho?
(Solved)
RIWAYA:CHOZI LA HERI –Asumpta K. Matei
" Lakini itakuwaje historical injustice, nawe Ridhaa, hapo ulipo sicho kitovu chako?"
Ni mambo gani yaliyowakumba wale ambao kitovu chao si hicho?
Date posted:
August 3, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua umuhimu wa msemaji wa maneno haya
(Solved)
RIWAYA:CHOZI LA HERI –Asumpta K. Matei
" Lakini itakuwaje historical injustice, nawe Ridhaa, hapo ulipo sicho kitovu chako?"
Fafanua umuhimu wa msemaji wa maneno haya
Date posted:
August 3, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza tamathali mbili za lugha zilizotumika kwenye dondoo hili
(Solved)
RIWAYA:CHOZI LA HERI –Asumpta K. Matei
" Lakini itakuwaje historical injustice, nawe Ridhaa, hapo ulipo sicho kitovu chako?"
Eleza tamathali mbili za lugha zilizotumika kwenye dondoo hili
Date posted:
August 3, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza muktadha wa dondoo
(Solved)
RIWAYA:CHOZI LA HERI –Asumpta K. Matei
" Lakini itakuwaje historical injustice, nawe Ridhaa, hapo ulipo sicho kitovu chako?"
Eleza muktadha wa dondoo
Date posted:
August 3, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza umuhimu wa semi katika jamii.
(Solved)
Eleza umuhimu wa semi katika jamii.
Date posted:
August 3, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti nne kati ya methali na vitendawili.
(Solved)
Eleza tofauti nne kati ya methali na vitendawili.
Date posted:
August 3, 2019
.
Answers (1)
-
Huku ukitoa mifano mwafaka ,eleza miundo tano ya methali.
(Solved)
Huku ukitoa mifano mwafaka ,eleza miundo tano ya methali.
Date posted:
August 3, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia neno ‘hadi’ kuonyesha mahali na wakati katika sentensi
(Solved)
Tumia neno ‘hadi’ kuonyesha mahali na wakati katika sentensi
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Andika upya sentensi ifuatayo katika hali timilifu.
Mwanafunzi anasoma darasani
(Solved)
Andika upya sentensi ifuatayo katika hali timilifu.
Mwanafunzi anasoma darasani
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana tatu za sentensi ifuatayo
Alisema angeenda kwao
(Solved)
Eleza maana tatu za sentensi ifuatayo
Alisema angeenda kwao
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua miundo yoyote mitatu ya ngeli ya LI-YA
(Solved)
Tambua miundo yoyote mitatu ya ngeli ya LI-YA
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Andika katika udogo wingi
Mti wa msonobari unatengeneza meza nzuri sana
(Solved)
Andika katika udogo wingi
Mti wa msonobari unatengeneza meza nzuri sana
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya sentensi ifuatayo
(i) Ningalisoma kwa bidii ningalipita mtihani
(ii) Ningesoma kwa bidii ningepita mtihani
(Solved)
Eleza maana ya sentensi ifuatayo
(i) Ningalisoma kwa bidii ningalipita mtihani
(ii) Ningesoma kwa bidii ningepita mtihani
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya ‘ni’ katika sentensi hii
Ingieni darasani mara moja ili niwape zoezi ambalo ni rahisi
(Solved)
Eleza matumizi ya ‘ni’ katika sentensi hii
Ingieni darasani mara moja ili niwape zoezi ambalo ni rahisi
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha mstari
Mwanafunzi mwerevu sana aliyekuwa mgonjwa jana amepelekwa nyumbani
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha mstari
Mwanafunzi mwerevu sana aliyekuwa mgonjwa jana amepelekwa nyumbani
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua aina mbili za sentensi ukizingatia uamilifu na utoe mfano mmoja kwa kila moja
(Solved)
Tambua aina mbili za sentensi ukizingatia uamilifu na utoe mfano mmoja kwa kila moja
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Andika neno lililo na muundo wa silabi ufuatao:
IKKI
(Solved)
Andika neno lililo na muundo wa silabi ufuatao:
IKKI
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa bainifu za sauti hizi:
/y/
/m/
(Solved)
Fafanua sifa bainifu za sauti hizi:
/y/
/m/
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kutolea mifano, tofautisha kati ya ala tuli na ala sogezi.
(Solved)
Kwa kutolea mifano, tofautisha kati ya ala tuli na ala sogezi.
Date posted:
August 2, 2019
.
Answers (1)