Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Taja na utoe mifano miwili idhini ya mtunzi uliotumika katika mashairi yote mawili.

      

SHAIRI A: HOFU YA BIN-ADAMU

Hofu za wanyonge, ni nguvu za matajiri,

Ambazo zinawaponda, wanapotaka usawa.


Hofu ya watawala, ni kupoteza uhuru,

Wa kutawala kwa mbavu, pamoja na utukutu.



Hofu za mwanamke ,mwanamke wa sasa,

Ni kutumiwa ja rungu, daima kuwekwa nyuma.


Hofu za mmcha-mungu, ni maisha ya baadaye,

Maana hana hakika, ndio aogopa kifo.


Hofu za wasomi, ni kwamba wako baidi,

Na wale wateteao, ambao ni sawa nao.




SHAIRI B: AMANI

Uhuru pia Amani
Usifikirie ni zawadi
Ambayo inapeanwa
Pasipo mikwaruzano



Kama wataka hakiyo
Shariti uwe tayari Kupokeza roho yako
Pamoja na ya mwingine



Uhuru ja ini la fani
Ambalo kulifikia
Sharti uwe jasiri
Jasiri aso kifani

Taja na utoe mifano miwili idhini ya mtunzi uliotumika katika mashairi yote mawili.

  

Answers


Maurice
(i) Inkisari-hakiyo-haki yako. Aso-asiye.

(ii) Tabdila-sharuti-sharti.

(iii) Msamiati wa kikale/jadi-ja.
maurice.mutuku answered the question on August 3, 2019 at 11:46


Next: Taja na utoe mifano miwili ya tamathali za usemi zilizotumika katika mashairi yote mawili.
Previous: Eleza maana ya msamiati ufuatao kama ulivyotumika katika mashairi. (i) Ja (ii) Sharuti (iii) Utukufu (iv) Baidi

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions


  • Taja na utoe mifano miwili ya tamathali za usemi zilizotumika katika mashairi yote mawili.(Solved)

    SHAIRI A: HOFU YA BIN-ADAMU

    Hofu za wanyonge, ni nguvu za matajiri,

    Ambazo zinawaponda, wanapotaka usawa.


    Hofu ya watawala, ni kupoteza uhuru,

    Wa kutawala kwa mbavu, pamoja na utukutu.



    Hofu za mwanamke ,mwanamke wa sasa,

    Ni kutumiwa ja rungu, daima kuwekwa nyuma.


    Hofu za mmcha-mungu, ni maisha ya baadaye,

    Maana hana hakika, ndio aogopa kifo.


    Hofu za wasomi, ni kwamba wako baidi,

    Na wale wateteao, ambao ni sawa nao.




    SHAIRI B: AMANI

    Uhuru pia Amani
    Usifikirie ni zawadi
    Ambayo inapeanwa
    Pasipo mikwaruzano



    Kama wataka hakiyo
    Shariti uwe tayari Kupokeza roho yako
    Pamoja na ya mwingine



    Uhuru ja ini la fani
    Ambalo kulifikia
    Sharti uwe jasiri
    Jasiri aso kifani


    Taja na utoe mifano miwili ya tamathali za usemi zilizotumika katika mashairi yote mawili.

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Andika ubeti wa pili wa shairi B kati lugha nathari.(Solved)

    SHAIRI A: HOFU YA BIN-ADAMU

    Hofu za wanyonge, ni nguvu za matajiri,

    Ambazo zinawaponda, wanapotaka usawa.


    Hofu ya watawala, ni kupoteza uhuru,

    Wa kutawala kwa mbavu, pamoja na utukutu.



    Hofu za mwanamke ,mwanamke wa sasa,

    Ni kutumiwa ja rungu, daima kuwekwa nyuma.


    Hofu za mmcha-mungu, ni maisha ya baadaye,

    Maana hana hakika, ndio aogopa kifo.


    Hofu za wasomi, ni kwamba wako baidi,

    Na wale wateteao, ambao ni sawa nao.




    SHAIRI B: AMANI

    Uhuru pia Amani
    Usifikirie ni zawadi
    Ambayo inapeanwa
    Pasipo mikwaruzano



    Kama wataka hakiyo
    Shariti uwe tayari Kupokeza roho yako
    Pamoja na ya mwingine



    Uhuru ja ini la fani
    Ambalo kulifikia
    Sharti uwe jasiri
    Jasiri aso kifani

    Andika ubeti wa pili wa shairi B kati lugha nathari.

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Linganisha bahari za shairi A na B(Solved)

    SHAIRI A: HOFU YA BIN-ADAMU

    Hofu za wanyonge, ni nguvu za matajiri,

    Ambazo zinawaponda, wanapotaka usawa.


    Hofu ya watawala, ni kupoteza uhuru,

    Wa kutawala kwa mbavu, pamoja na utukutu.



    Hofu za mwanamke ,mwanamke wa sasa,

    Ni kutumiwa ja rungu, daima kuwekwa nyuma.


    Hofu za mmcha-mungu, ni maisha ya baadaye,

    Maana hana hakika, ndio aogopa kifo.


    Hofu za wasomi, ni kwamba wako baidi,

    Na wale wateteao, ambao ni sawa nao.




    SHAIRI B: AMANI

    Uhuru pia Amani
    Usifikirie ni zawadi
    Ambayo inapeanwa
    Pasipo mikwaruzano



    Kama wataka hakiyo
    Shariti uwe tayari Kupokeza roho yako
    Pamoja na ya mwingine



    Uhuru ja ini la fani
    Ambalo kulifikia
    Sharti uwe jasiri
    Jasiri aso kifani


    Linganisha bahari za shairi A na B

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Jadili ufaafu wa anwani: Tumbo lisiloshiba kwenye hadithi hii(Solved)

    Jadili ufaafu wa anwani: Tumbo lisiloshiba kwenye hadithi hii

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Eleza madhila kumi yaliyompata Kabwela(Solved)

    “Tumbo Lisiloshiba na hadithi nyingine”
    “Akanyangapo chini ardhi inatetemeka…………………..
    Amejitia hamnazo. Kabwela kama mimi nina faida gani?

    Eleza madhila kumi yaliyompata Kabwela

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Fafanua mbinu tatu za lugha zilizotumiwa katika dondoo hili(Solved)

    “Tumbo Lisiloshiba na hadithi nyingine”
    “Akanyangapo chini ardhi inatetemeka…………………..
    Amejitia hamnazo. Kabwela kama mimi nina faida gani?

    Fafanua mbinu tatu za lugha zilizotumiwa katika dondoo hili

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Eleza muktadha wa dondoo hili(Solved)

    “Tumbo Lisiloshiba na hadithi nyingine”
    “Akanyangapo chini ardhi inatetemeka…………………..
    Amejitia hamnazo. Kabwela kama mimi nina faida gani?


    Eleza muktadha wa dondoo hili

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Eleza matumizi ya mbinu zifuatazo katika tamthilia hii:(i) Jazanda(ii) Sadfa(iii) Mbinu rejeshi (iv) Wimbo(Solved)

    TAMTHILIA KIGOGO

    Eleza matumizi ya mbinu zifuatazo katika tamthilia hii:

    (i) Jazanda

    (ii) Sadfa

    (iii) Mbinu rejeshi

    (iv) Wimbo

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Eleza mbinu kumi anazotumia Majoka kuendeleza uongozi wake Sagamoyo.(Solved)

    TAMTHILIA KIGOGO

    Eleza mbinu kumi anazotumia Majoka kuendeleza uongozi wake Sagamoyo.

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Maovu yametamalaki katika jamii ya Riwaya ya Chozi la Heri, tetea kauli hii kwa kutolea hoja kumi.(Solved)

    Maovu yametamalaki katika jamii ya Riwaya ya Chozi la Heri, tetea kauli hii kwa kutolea hoja kumi.

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Ni mambo gani yaliyowakumba wale ambao kitovu chao si hicho?(Solved)

    RIWAYA:CHOZI LA HERI –Asumpta K. Matei

    " Lakini itakuwaje historical injustice, nawe Ridhaa, hapo ulipo sicho kitovu chako?"

    Ni mambo gani yaliyowakumba wale ambao kitovu chao si hicho?

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Fafanua umuhimu wa msemaji wa maneno haya(Solved)

    RIWAYA:CHOZI LA HERI –Asumpta K. Matei

    " Lakini itakuwaje historical injustice, nawe Ridhaa, hapo ulipo sicho kitovu chako?"

    Fafanua umuhimu wa msemaji wa maneno haya

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Eleza tamathali mbili za lugha zilizotumika kwenye dondoo hili(Solved)

    RIWAYA:CHOZI LA HERI –Asumpta K. Matei

    " Lakini itakuwaje historical injustice, nawe Ridhaa, hapo ulipo sicho kitovu chako?"

    Eleza tamathali mbili za lugha zilizotumika kwenye dondoo hili

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Eleza muktadha wa dondoo(Solved)

    RIWAYA:CHOZI LA HERI –Asumpta K. Matei

    " Lakini itakuwaje historical injustice, nawe Ridhaa, hapo ulipo sicho kitovu chako?"

    Eleza muktadha wa dondoo

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Eleza umuhimu wa semi katika jamii.(Solved)

    Eleza umuhimu wa semi katika jamii.

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Eleza tofauti nne kati ya methali na vitendawili.(Solved)

    Eleza tofauti nne kati ya methali na vitendawili.

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • Huku ukitoa mifano mwafaka ,eleza miundo tano ya methali.(Solved)

    Huku ukitoa mifano mwafaka ,eleza miundo tano ya methali.

    Date posted: August 3, 2019.  Answers (1)

  • “Haya basi. Beba mmoja! Beba mmoja! Dada njoo. Nafasi ya mmoja. Ni mbao tu. Bei ya chini kuliko keki. Usiachwe, bei ni poa.” Taja sajili inayorejelewa na...(Solved)

    “Haya basi. Beba mmoja! Beba mmoja! Dada njoo. Nafasi ya mmoja. Ni mbao tu. Bei ya
    chini kuliko keki. Usiachwe, bei ni poa.”

    Taja sajili inayorejelewa na maneno haya.

    Date posted: August 2, 2019.  Answers (1)

  • Taja matumizi yoyote mawili ya kistari kirefu(Solved)

    Taja matumizi yoyote mawili ya kistari kirefu

    Date posted: August 2, 2019.  Answers (1)

  • Yakinisha katika hali ya mazoea. Asiyeugua hahitaji daktari(Solved)

    Yakinisha katika hali ya mazoea.

    Asiyeugua hahitaji daktari

    Date posted: August 2, 2019.  Answers (1)