Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Fafanua sifa zozote nne za ngomezi.

      

Fafanua sifa zozote nne za ngomezi.

  

Answers


Maurice
(i) Si rahisi kupata ujumbe wa ngomezi kama wewe si mshiriki wa utamaduni husika

(ii) Ngoma ni muhimu kupitishia ujumbe

(iii) Wanajamii tu ndio wanaoweza kufasiri mdundo wa ngoma na kufasiri maana

(iv) Ujumbe wa dharura huwasilishwa kwa njia ambayo si ghali ikilinganishwa na njia nyingine

(v) Mapigo yanayotolewa kwa maana maalumu huambatana na ngoma inayoeleweka kwa ujumbe mahsusi

(vi) Huongozwa na watu teule katika jamii.
maurice.mutuku answered the question on August 6, 2019 at 05:29


Next: Eleza ujumbe uliowasilishwa na ngomezi katika fasihi simulizi.
Previous: Discuss the Overhead Absorption

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions