Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Taja mifano ya taswira katika hadithi ya tumbo lisiloshiba?

      

Taja mifano ya taswira katika hadithi ya tumbo lisiloshiba?

  

Answers


Moureen

Kuna vibanda vya uchwara vinavyozungukwa na uozo na bubujiko LA maji machafu.
Kuna uvundo unaopasua mianzi ya pua.
Wakati huo ndipo pua za wazungumzaji hawa ziliponasa harufu za vyakula vilivyotoka jioni.
Jitu lilikuwa limevaa suti nyeusi na shati jeupe.
Limekabwa shingoni na tai la buluu iliyozama kwenye misuli ya shingo fupi nene.
Harufu mchanganyiko zilizowaingia puani na kukaza mate vinywani mwao.
karanumoureen answered the question on September 18, 2019 at 10:57


Next: Rates of tax in operation in 2010 are given in the table below:-K£ p.a Rate of tax %1-5208 105209-9744 259745-14292 2014293-18840 15Over 18840 30(a)Mr. Lukandu pays sh. 5,400 as P.A.Y.E...
Previous: The table below shows marks scored by 100 form four students in a mathematics examination. a) Draw an ogive to represent the above information. (b) Using your...

View More Kiswahili Fasihi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions