i) Msichana aliyekuja ni mwanasheria.
ii) Maovu aliyoyatenda hayasahauliki
sharon kalunda answered the question on September 19, 2019 at 14:06
-
Andika katika hali ya udogo
Mbwa mwenye ukali alimfukuza mtoto
(Solved)
Andika katika hali ya udogo
Mbwa mwenye ukali alimfukuza mtoto
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi kwa kutumia nomino katika ngeli ya pa- ku- mu.
(Solved)
Tunga sentensi kwa kutumia nomino katika ngeli ya pa- ku- mu.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Taja irabu mbili za nyuma kisha ueleze kwa nini huitwa hivyo.
(Solved)
Taja irabu mbili za nyuma kisha ueleze kwa nini huitwa hivyo.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza muundo wa shairi hili
(Solved)
1.Kijana tuza makini, nikwambie usikile
Chakula mahotelini, si kizuri usikile
Ufikapo mlangoni, kizingiti usikile
2. Nenda kaseme nyumbani, kesho asubuhi siji
Nitakwenda makondeni, kawashunge shunge siji
Na hata hapo jioni, kama nitakuja siji
3. Na kama wenda mjini, upatapo nyumba panga
Upahame mizimuni, palozingirwa na panga
Hapana tena amani, kutwa mwapigana panga
4. Na kesho kija shambani, uonapo mti panda
Kwea hadi kileleni, ujifiche kwenye panda
Kaziyo ulinde chini, mimea tuliyopanda
5. Kishuka ola shinani, njugu merundika chungu
Njugu peleka nyumbani, zisije zikawa chungu
Kaanga sufuriani, au pia kwenye chungu
6. Kileta maji jioni, ndoo jitwike na kata
Kata njema ya majani, laini wezayo kata
Kumbuka ya kisimani, huteki ela kwa kata
7. Ninawahi kibandani, nikaliezeke paa
Nipate lindia nyuni, na wanyama kama paa
Kwani kiola angani, naona jua lapaa
8.Kisha takwea mtini, nimeona bivu tunda
Sina usono moyoni, ela tunda kisha tunda
Nimpe wangu mwendeni, jioni nishike tunda
9.Meanza wao uneni, hapo nami ndipo kamba
Leo wenda hawaoni, kama wa bahari kamba
Wajijaza kimiani, wakijitatia kamba
10. Mtoto wachoma yakini, japo liwe moja kaa
Ukikupata takoni, ni shida huwezi kaa
Ela hufaa mekoni, kutoka nswi na kaa
Eleza muundo wa shairi hili
Date posted:
August 6, 2019
.
Answers (1)
-
Andika ubeti wa nane katika lugha nathari
(Solved)
1.Kijana tuza makini, nikwambie usikile
Chakula mahotelini, si kizuri usikile
Ufikapo mlangoni, kizingiti usikile
2. Nenda kaseme nyumbani, kesho asubuhi siji
Nitakwenda makondeni, kawashunge shunge siji
Na hata hapo jioni, kama nitakuja siji
3. Na kama wenda mjini, upatapo nyumba panga
Upahame mizimuni, palozingirwa na panga
Hapana tena amani, kutwa mwapigana panga
4. Na kesho kija shambani, uonapo mti panda
Kwea hadi kileleni, ujifiche kwenye panda
Kaziyo ulinde chini, mimea tuliyopanda
5. Kishuka ola shinani, njugu merundika chungu
Njugu peleka nyumbani, zisije zikawa chungu
Kaanga sufuriani, au pia kwenye chungu
6. Kileta maji jioni, ndoo jitwike na kata
Kata njema ya majani, laini wezayo kata
Kumbuka ya kisimani, huteki ela kwa kata
7. Ninawahi kibandani, nikaliezeke paa
Nipate lindia nyuni, na wanyama kama paa
Kwani kiola angani, naona jua lapaa
8.Kisha takwea mtini, nimeona bivu tunda
Sina usono moyoni, ela tunda kisha tunda
Nimpe wangu mwendeni, jioni nishike tunda
9.Meanza wao uneni, hapo nami ndipo kamba
Leo wenda hawaoni, kama wa bahari kamba
Wajijaza kimiani, wakijitatia kamba
10. Mtoto wachoma yakini, japo liwe moja kaa
Ukikupata takoni, ni shida huwezi kaa
Ela hufaa mekoni, kutoka nswi na kaa
Andika ubeti wa nane katika lugha nathari
Date posted:
August 6, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana tatu za neno chungu kama lilivyotumika katika shairi
(Solved)
1.Kijana tuza makini, nikwambie usikile
Chakula mahotelini, si kizuri usikile
Ufikapo mlangoni, kizingiti usikile
2. Nenda kaseme nyumbani, kesho asubuhi siji
Nitakwenda makondeni, kawashunge shunge siji
Na hata hapo jioni, kama nitakuja siji
3. Na kama wenda mjini, upatapo nyumba panga
Upahame mizimuni, palozingirwa na panga
Hapana tena amani, kutwa mwapigana panga
4. Na kesho kija shambani, uonapo mti panda
Kwea hadi kileleni, ujifiche kwenye panda
Kaziyo ulinde chini, mimea tuliyopanda
5. Kishuka ola shinani, njugu merundika chungu
Njugu peleka nyumbani, zisije zikawa chungu
Kaanga sufuriani, au pia kwenye chungu
6. Kileta maji jioni, ndoo jitwike na kata
Kata njema ya majani, laini wezayo kata
Kumbuka ya kisimani, huteki ela kwa kata
7. Ninawahi kibandani, nikaliezeke paa
Nipate lindia nyuni, na wanyama kama paa
Kwani kiola angani, naona jua lapaa
8.Kisha takwea mtini, nimeona bivu tunda
Sina usono moyoni, ela tunda kisha tunda
Nimpe wangu mwendeni, jioni nishike tunda
9.Meanza wao uneni, hapo nami ndipo kamba
Leo wenda hawaoni, kama wa bahari kamba
Wajijaza kimiani, wakijitatia kamba
10. Mtoto wachoma yakini, japo liwe moja kaa
Ukikupata takoni, ni shida huwezi kaa
Ela hufaa mekoni, kutoka nswi na kaa
Eleza maana tatu za neno chungu kama lilivyotumika katika shairi
Date posted:
August 6, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa zozote nne za ngomezi.
(Solved)
Fafanua sifa zozote nne za ngomezi.
Date posted:
August 6, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza ujumbe uliowasilishwa na ngomezi katika fasihi simulizi.
(Solved)
Eleza ujumbe uliowasilishwa na ngomezi katika fasihi simulizi.
Date posted:
August 6, 2019
.
Answers (1)
-
Taja aina zozote tatu za vitendawili
(Solved)
Taja aina zozote tatu za vitendawili
Date posted:
August 6, 2019
.
Answers (1)
-
Mbinu zifuatazo zina umuhimu gani katika uwasilishaji wa fasihi simulizi.
(i) Uradidi
(ii) Uigaji sauti
(Solved)
Mbinu zifuatazo zina umuhimu gani katika uwasilishaji wa fasihi simulizi.
(i) Uradidi
(ii) Uigaji sauti
Date posted:
August 5, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua majukumu yoyote sita ya maigizo katika jamii ya kisasa.
(Solved)
Fafanua majukumu yoyote sita ya maigizo katika jamii ya kisasa.
Date posted:
August 5, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza jinsi maudhui ya unafiki yameshughulikiwa katika hadithi hii.
(Solved)
“Wamelaa?’
“Enh wamelala”
“Basi wamelala tu?’
Eleza jinsi maudhui ya unafiki yameshughulikiwa katika hadithi hii.
Date posted:
August 5, 2019
.
Answers (1)
-
“ulitaka wahamie wapi siku kama hizi?....Fafanua sifa za msemaji wa dondoo hii.
(Solved)
TAMTHLIA: KIGOGO
“ulitaka wahamie wapi siku kama hizi? Wamekuja kuuguza majeraha yao ya kufungiwa soko?”
Fafanua sifa za msemaji wa dondoo hii.
Date posted:
August 5, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua mbinu mbili za lugha katika dondoo hili.
(Solved)
“ulitaka wahamie wapi siku kama hizi? Wamekuja kuuguza majeraha yao ya kufungiwa soko?”
Tambua mbinu mbili za lugha katika dondoo hili.
Date posted:
August 5, 2019
.
Answers (1)
-
Weka maneno haya katika muktadha wake
(Solved)
“ulitaka wahamie wapi siku kama hizi? Wamekuja kuuguza majeraha yao ya kufungiwa soko?”
Weka maneno haya katika muktadha wake
Date posted:
August 5, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea tamthlia ya KIGOGO, Thibitisha ukweli wa dondoo hili.
(Solved)
“Kitabu si jalada, fungua ndani usome mambo. Kitanda usichokilalia kunguni mwake huwajui.”
Kwa kurejelea tamthlia ya KIGOGO, Thibitisha ukweli wa dondoo hili.
Date posted:
August 5, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza muktadha wa dondoo hili
(Solved)
TAMTHLIA: KIGOGO
“Kitabu si jalada, fungua ndani usome mambo. Kitanda usichokilalia kunguni mwake huwajui.”
Eleza muktadha wa dondoo hili
Date posted:
August 5, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea riwaya nzima eleza changamoto zinazoikumba jinsia ya “mwanagenzi”
(Solved)
RIWAYA: CHOZI LA HERI
Kwa kurejelea riwaya nzima eleza changamoto zinazoikumba jinsia ya “mwanagenzi”
Date posted:
August 5, 2019
.
Answers (1)
-
Taja na ueleze mbinu mbili za lugha zinazijitokekeza katika dondoo hili.
(Solved)
Riwaya-Chozi la Heri
Taja na ueleze mbinu mbili za lugha zinazijitokekeza katika dondoo hili.
Date posted:
August 5, 2019
.
Answers (1)
-
Weka dondoo hili katika muktadha wake.
(Solved)
RIWAYA: CHOZI LA HERI
“……kama mataifa hayakushinda majabali miaka kumi iliyopita itakuwa huyu mwanagenzi ambaye hata mgwisho sisi ndio tulimfunza.”
Weka dondoo hili katika muktadha wake.
Date posted:
August 5, 2019
.
Answers (1)