i) Kuwa joka la mdimu
ii) Fanya unyambi
sharon kalunda answered the question on September 21, 2019 at 08:05
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha jedwali:
Ule mkongojo ulioletewa babu utauzwa na fundi maarufu.
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha jedwali:
Ule mkongojo ulioletewa babu utauzwa na fundi maarufu.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha virai katika sentensi ifuatayo.
Amenijibu kwa hasira.
(Solved)
Ainisha virai katika sentensi ifuatayo.
Amenijibu kwa hasira.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia mzizi- enye katika sentensi kama kihusishi.
(Solved)
Tumia mzizi- enye katika sentensi kama kihusishi.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha maneno katika sentensi ifuatayo:-
Shehena ya dawa ilikuwa bandarini
(Solved)
Ainisha maneno katika sentensi ifuatayo:-
Shehena ya dawa ilikuwa bandarini
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha muundo wa silabi katika neno wachanjwao
(Solved)
Onyesha muundo wa silabi katika neno wachanjwao
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Andika neno lenye mfumo ufuatao wa vitamkwa. Nazali ya ufizi + kipasuo cha kaakaa gumu + irabu ya juu nyuma + kizuiwa ghuna cha kaakaa...
(Solved)
Andika neno lenye mfumo ufuatao wa vitamkwa. Nazali ya ufizi + kipasuo cha kaakaa gumu + irabu ya juu nyuma + kizuiwa ghuna cha kaakaa laini + irabu ya chini wastani.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza jinsi uwililugha unaweza kuleta athari katika lugha na mawasiliano miongoni mwa wanajamii.
(Solved)
Eleza jinsi uwililugha unaweza kuleta athari katika lugha na mawasiliano miongoni mwa wanajamii.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza juhudi zozote tano zinazotumiwa kukiendeleza Kiswahili sanifu nchini Kenya.
(Solved)
Eleza juhudi zozote tano zinazotumiwa kukiendeleza Kiswahili sanifu nchini Kenya.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua shamirisho kipozi, kitondo na shamirisho ala katika sentensi ifuatayo.
Baba amemnunulia mtoto fulana nzuri iliyoshonwa kwa uzi mwekundu.
(Solved)
Tambua shamirisho kipozi, kitondo na shamirisho ala katika sentensi ifuatayo.
Baba amemnunulia mtoto fulana nzuri iliyoshonwa kwa uzi mwekundu.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kutungia sentensi, tofautisha vitate hivi.
i) Ghali
ii) Gari
(Solved)
Kwa kutungia sentensi, tofautisha vitate hivi.
i) Ghali
ii) Gari
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia =O‘ rejeshi.
i) Msichana ambaye huja ni mwanasheria
ii) Maovu ambayo aliyatenda hayasahauliki
(Solved)
Tumia ‗O‘ rejeshi.
i) Msichana ambaye huja ni mwanasheria
ii) Maovu ambayo aliyatenda hayasahauliki
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Andika katika hali ya udogo
Mbwa mwenye ukali alimfukuza mtoto
(Solved)
Andika katika hali ya udogo
Mbwa mwenye ukali alimfukuza mtoto
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi kwa kutumia nomino katika ngeli ya pa- ku- mu.
(Solved)
Tunga sentensi kwa kutumia nomino katika ngeli ya pa- ku- mu.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Taja irabu mbili za nyuma kisha ueleze kwa nini huitwa hivyo.
(Solved)
Taja irabu mbili za nyuma kisha ueleze kwa nini huitwa hivyo.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza muundo wa shairi hili
(Solved)
1.Kijana tuza makini, nikwambie usikile
Chakula mahotelini, si kizuri usikile
Ufikapo mlangoni, kizingiti usikile
2. Nenda kaseme nyumbani, kesho asubuhi siji
Nitakwenda makondeni, kawashunge shunge siji
Na hata hapo jioni, kama nitakuja siji
3. Na kama wenda mjini, upatapo nyumba panga
Upahame mizimuni, palozingirwa na panga
Hapana tena amani, kutwa mwapigana panga
4. Na kesho kija shambani, uonapo mti panda
Kwea hadi kileleni, ujifiche kwenye panda
Kaziyo ulinde chini, mimea tuliyopanda
5. Kishuka ola shinani, njugu merundika chungu
Njugu peleka nyumbani, zisije zikawa chungu
Kaanga sufuriani, au pia kwenye chungu
6. Kileta maji jioni, ndoo jitwike na kata
Kata njema ya majani, laini wezayo kata
Kumbuka ya kisimani, huteki ela kwa kata
7. Ninawahi kibandani, nikaliezeke paa
Nipate lindia nyuni, na wanyama kama paa
Kwani kiola angani, naona jua lapaa
8.Kisha takwea mtini, nimeona bivu tunda
Sina usono moyoni, ela tunda kisha tunda
Nimpe wangu mwendeni, jioni nishike tunda
9.Meanza wao uneni, hapo nami ndipo kamba
Leo wenda hawaoni, kama wa bahari kamba
Wajijaza kimiani, wakijitatia kamba
10. Mtoto wachoma yakini, japo liwe moja kaa
Ukikupata takoni, ni shida huwezi kaa
Ela hufaa mekoni, kutoka nswi na kaa
Eleza muundo wa shairi hili
Date posted:
August 6, 2019
.
Answers (1)
-
Andika ubeti wa nane katika lugha nathari
(Solved)
1.Kijana tuza makini, nikwambie usikile
Chakula mahotelini, si kizuri usikile
Ufikapo mlangoni, kizingiti usikile
2. Nenda kaseme nyumbani, kesho asubuhi siji
Nitakwenda makondeni, kawashunge shunge siji
Na hata hapo jioni, kama nitakuja siji
3. Na kama wenda mjini, upatapo nyumba panga
Upahame mizimuni, palozingirwa na panga
Hapana tena amani, kutwa mwapigana panga
4. Na kesho kija shambani, uonapo mti panda
Kwea hadi kileleni, ujifiche kwenye panda
Kaziyo ulinde chini, mimea tuliyopanda
5. Kishuka ola shinani, njugu merundika chungu
Njugu peleka nyumbani, zisije zikawa chungu
Kaanga sufuriani, au pia kwenye chungu
6. Kileta maji jioni, ndoo jitwike na kata
Kata njema ya majani, laini wezayo kata
Kumbuka ya kisimani, huteki ela kwa kata
7. Ninawahi kibandani, nikaliezeke paa
Nipate lindia nyuni, na wanyama kama paa
Kwani kiola angani, naona jua lapaa
8.Kisha takwea mtini, nimeona bivu tunda
Sina usono moyoni, ela tunda kisha tunda
Nimpe wangu mwendeni, jioni nishike tunda
9.Meanza wao uneni, hapo nami ndipo kamba
Leo wenda hawaoni, kama wa bahari kamba
Wajijaza kimiani, wakijitatia kamba
10. Mtoto wachoma yakini, japo liwe moja kaa
Ukikupata takoni, ni shida huwezi kaa
Ela hufaa mekoni, kutoka nswi na kaa
Andika ubeti wa nane katika lugha nathari
Date posted:
August 6, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana tatu za neno chungu kama lilivyotumika katika shairi
(Solved)
1.Kijana tuza makini, nikwambie usikile
Chakula mahotelini, si kizuri usikile
Ufikapo mlangoni, kizingiti usikile
2. Nenda kaseme nyumbani, kesho asubuhi siji
Nitakwenda makondeni, kawashunge shunge siji
Na hata hapo jioni, kama nitakuja siji
3. Na kama wenda mjini, upatapo nyumba panga
Upahame mizimuni, palozingirwa na panga
Hapana tena amani, kutwa mwapigana panga
4. Na kesho kija shambani, uonapo mti panda
Kwea hadi kileleni, ujifiche kwenye panda
Kaziyo ulinde chini, mimea tuliyopanda
5. Kishuka ola shinani, njugu merundika chungu
Njugu peleka nyumbani, zisije zikawa chungu
Kaanga sufuriani, au pia kwenye chungu
6. Kileta maji jioni, ndoo jitwike na kata
Kata njema ya majani, laini wezayo kata
Kumbuka ya kisimani, huteki ela kwa kata
7. Ninawahi kibandani, nikaliezeke paa
Nipate lindia nyuni, na wanyama kama paa
Kwani kiola angani, naona jua lapaa
8.Kisha takwea mtini, nimeona bivu tunda
Sina usono moyoni, ela tunda kisha tunda
Nimpe wangu mwendeni, jioni nishike tunda
9.Meanza wao uneni, hapo nami ndipo kamba
Leo wenda hawaoni, kama wa bahari kamba
Wajijaza kimiani, wakijitatia kamba
10. Mtoto wachoma yakini, japo liwe moja kaa
Ukikupata takoni, ni shida huwezi kaa
Ela hufaa mekoni, kutoka nswi na kaa
Eleza maana tatu za neno chungu kama lilivyotumika katika shairi
Date posted:
August 6, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa zozote nne za ngomezi.
(Solved)
Fafanua sifa zozote nne za ngomezi.
Date posted:
August 6, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza ujumbe uliowasilishwa na ngomezi katika fasihi simulizi.
(Solved)
Eleza ujumbe uliowasilishwa na ngomezi katika fasihi simulizi.
Date posted:
August 6, 2019
.
Answers (1)
-
Taja aina zozote tatu za vitendawili
(Solved)
Taja aina zozote tatu za vitendawili
Date posted:
August 6, 2019
.
Answers (1)