Hakuna masika yasiyokuwa na mbu.
Hakuna mchele usiokuwa na ndume.
Yote yang‘aayo si dhahabu.
Uzuri wa mkakasi, ndani kipande cha mti.
sharon kalunda answered the question on September 21, 2019 at 08:48
-
Andika sentensi ifuatayo upya kwa kufuata maagizo.
Mama anapika kutwa kwa sababu ya wageni (Tilia mkazo kwa kinyume)
(Solved)
Andika sentensi ifuatayo upya kwa kufuata maagizo.
Mama anapika kutwa kwa sababu ya wageni (Tilia mkazo kwa kinyume)
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea.
Amekuja hapa.
(Solved)
Kanusha sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea.
Amekuja hapa.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Nomino zifuatazo zimo katika ngeli gani?
(i)Siwa
(ii)Kipunye
(Solved)
Nomino zifuatazo zimo katika ngeli gani?
(i)Siwa
(ii)Kipunye
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua vipashio vya kisarufi katika kiarifa cha sentensi ifuatayo.
Hawa ndio waliopigana.
(Solved)
Changanua vipashio vya kisarufi katika kiarifa cha sentensi ifuatayo.
Hawa ndio waliopigana.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi mbili tofauti kudhihirisha kuwa neno "bunda" ni kitawe.
(Solved)
Tunga sentensi mbili tofauti kudhihirisha kuwa neno "bunda" ni kitawe.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Andika visawe viwili vya nahau:
Fanya inda.
(Solved)
Andika visawe viwili vya nahau:
Fanya inda.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha jedwali:
Ule mkongojo ulioletewa babu utauzwa na fundi maarufu.
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha jedwali:
Ule mkongojo ulioletewa babu utauzwa na fundi maarufu.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha virai katika sentensi ifuatayo.
Amenijibu kwa hasira.
(Solved)
Ainisha virai katika sentensi ifuatayo.
Amenijibu kwa hasira.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia mzizi- enye katika sentensi kama kihusishi.
(Solved)
Tumia mzizi- enye katika sentensi kama kihusishi.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha maneno katika sentensi ifuatayo:-
Shehena ya dawa ilikuwa bandarini
(Solved)
Ainisha maneno katika sentensi ifuatayo:-
Shehena ya dawa ilikuwa bandarini
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha muundo wa silabi katika neno wachanjwao
(Solved)
Onyesha muundo wa silabi katika neno wachanjwao
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Andika neno lenye mfumo ufuatao wa vitamkwa. Nazali ya ufizi + kipasuo cha kaakaa gumu + irabu ya juu nyuma + kizuiwa ghuna cha kaakaa...
(Solved)
Andika neno lenye mfumo ufuatao wa vitamkwa. Nazali ya ufizi + kipasuo cha kaakaa gumu + irabu ya juu nyuma + kizuiwa ghuna cha kaakaa laini + irabu ya chini wastani.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza jinsi uwililugha unaweza kuleta athari katika lugha na mawasiliano miongoni mwa wanajamii.
(Solved)
Eleza jinsi uwililugha unaweza kuleta athari katika lugha na mawasiliano miongoni mwa wanajamii.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza juhudi zozote tano zinazotumiwa kukiendeleza Kiswahili sanifu nchini Kenya.
(Solved)
Eleza juhudi zozote tano zinazotumiwa kukiendeleza Kiswahili sanifu nchini Kenya.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua shamirisho kipozi, kitondo na shamirisho ala katika sentensi ifuatayo.
Baba amemnunulia mtoto fulana nzuri iliyoshonwa kwa uzi mwekundu.
(Solved)
Tambua shamirisho kipozi, kitondo na shamirisho ala katika sentensi ifuatayo.
Baba amemnunulia mtoto fulana nzuri iliyoshonwa kwa uzi mwekundu.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kutungia sentensi, tofautisha vitate hivi.
i) Ghali
ii) Gari
(Solved)
Kwa kutungia sentensi, tofautisha vitate hivi.
i) Ghali
ii) Gari
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia =O‘ rejeshi.
i) Msichana ambaye huja ni mwanasheria
ii) Maovu ambayo aliyatenda hayasahauliki
(Solved)
Tumia ‗O‘ rejeshi.
i) Msichana ambaye huja ni mwanasheria
ii) Maovu ambayo aliyatenda hayasahauliki
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Andika katika hali ya udogo
Mbwa mwenye ukali alimfukuza mtoto
(Solved)
Andika katika hali ya udogo
Mbwa mwenye ukali alimfukuza mtoto
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi kwa kutumia nomino katika ngeli ya pa- ku- mu.
(Solved)
Tunga sentensi kwa kutumia nomino katika ngeli ya pa- ku- mu.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Taja irabu mbili za nyuma kisha ueleze kwa nini huitwa hivyo.
(Solved)
Taja irabu mbili za nyuma kisha ueleze kwa nini huitwa hivyo.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)