Trusted since 2008
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Eleza sababu nne zinazowafanya vijana kupenda kutumia sheng' katika mawasiliano yao.

Eleza sababu nne zinazowafanya vijana kupenda kutumia sheng' katika mawasiliano yao.

Answers


sharon
i) Athari ya mazingira /wenzao.
ii) Kujinasibisha na kundi Fulani
iii) Kuhifadhi siri/ukweli Fulani ili kutenga wengine.
iv) Kuiga mitindo mipya ya matumizi ya lugha katika muziki wa kisasa na vyombo vya habari /athari ya vyombo vya habari na muziki wa kisasa.
v) Kukwepa masharti (kanuni/ kaida za matumizi ya lugha rasmi/sarufu inayotatiza wengi.
vi) Uraibu wa vijana /kuonyesha wamechanuka kimawazo.
vii) Kurithishwa na wazazi.
viii) Ukosefu wa ufasaha wa lugha.
ix) Kufahamu lugha zaidi ya moja
sharon kalunda answered the question on September 21, 2019 at 08:53

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions