i) Ukopaji /utohozi/uswahilishaji wa maneno kutoka lugha nyingine- chaja, televisheni.
ii) Mikato ya maneno kuunganisha vifupisho vya maneno ya Kiswahili/akronimu- Ukimwi, Runinga, chajio tarkilishi teknohama
iii) Kuunganisha maneno kuunda nomino- ambata shikamoo, mwanadamu, nguvukazi
iv) Uradidi/takriri ya neno- sawasawa kizunguzungu, tangatanga, wasiwasi
v) Uambishaji/unyambulishi
Piga – pigo
Uma- Umia, umiza, umio
Teua- Mteule, uteule, uteuzi
vi) Ubunaji/ uvumbuzi wa msamiati wa kiteknolojia- kikokotoo, kiotomotela, afyuni
vii) Kusanifisha/kuidhinisha /musimu- matatu
viii) Tafsiri sisisi- mama /baba sukari (sugar mummy/daddy)
Tanbihi: Mtahiniwa atoe mfano ili atuzwe alama.
sharon kalunda answered the question on September 21, 2019 at 09:02
-
Fafanua jinsi mambo hafuatayo huweza kusababisha kutoweka kwa lugha:
i) Vita
ii) Ndoa za mseto
(Solved)
Fafanua jinsi mambo hafuatayo huweza kusababisha kutoweka kwa lugha:
i) Vita
ii) Ndoa za mseto
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza sababu nne zinazowafanya vijana kupenda kutumia sheng' katika mawasiliano yao.
(Solved)
Eleza sababu nne zinazowafanya vijana kupenda kutumia sheng' katika mawasiliano yao.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Andika methali inayoafiki maelezo:
Hakuna chema kisichokuwa na madhara.
(Solved)
Andika methali inayoafiki maelezo:
Hakuna chema kisichokuwa na madhara.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi ifuatayo upya kwa kufuata maagizo.
Mama anapika kutwa kwa sababu ya wageni (Tilia mkazo kwa kinyume)
(Solved)
Andika sentensi ifuatayo upya kwa kufuata maagizo.
Mama anapika kutwa kwa sababu ya wageni (Tilia mkazo kwa kinyume)
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea.
Amekuja hapa.
(Solved)
Kanusha sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea.
Amekuja hapa.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Nomino zifuatazo zimo katika ngeli gani?
(i)Siwa
(ii)Kipunye
(Solved)
Nomino zifuatazo zimo katika ngeli gani?
(i)Siwa
(ii)Kipunye
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua vipashio vya kisarufi katika kiarifa cha sentensi ifuatayo.
Hawa ndio waliopigana.
(Solved)
Changanua vipashio vya kisarufi katika kiarifa cha sentensi ifuatayo.
Hawa ndio waliopigana.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi mbili tofauti kudhihirisha kuwa neno "bunda" ni kitawe.
(Solved)
Tunga sentensi mbili tofauti kudhihirisha kuwa neno "bunda" ni kitawe.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Andika visawe viwili vya nahau:
Fanya inda.
(Solved)
Andika visawe viwili vya nahau:
Fanya inda.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha jedwali:
Ule mkongojo ulioletewa babu utauzwa na fundi maarufu.
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa kielelezo cha jedwali:
Ule mkongojo ulioletewa babu utauzwa na fundi maarufu.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha virai katika sentensi ifuatayo.
Amenijibu kwa hasira.
(Solved)
Ainisha virai katika sentensi ifuatayo.
Amenijibu kwa hasira.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia mzizi- enye katika sentensi kama kihusishi.
(Solved)
Tumia mzizi- enye katika sentensi kama kihusishi.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha maneno katika sentensi ifuatayo:-
Shehena ya dawa ilikuwa bandarini
(Solved)
Ainisha maneno katika sentensi ifuatayo:-
Shehena ya dawa ilikuwa bandarini
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha muundo wa silabi katika neno wachanjwao
(Solved)
Onyesha muundo wa silabi katika neno wachanjwao
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Andika neno lenye mfumo ufuatao wa vitamkwa. Nazali ya ufizi + kipasuo cha kaakaa gumu + irabu ya juu nyuma + kizuiwa ghuna cha kaakaa...
(Solved)
Andika neno lenye mfumo ufuatao wa vitamkwa. Nazali ya ufizi + kipasuo cha kaakaa gumu + irabu ya juu nyuma + kizuiwa ghuna cha kaakaa laini + irabu ya chini wastani.
Date posted:
September 21, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza jinsi uwililugha unaweza kuleta athari katika lugha na mawasiliano miongoni mwa wanajamii.
(Solved)
Eleza jinsi uwililugha unaweza kuleta athari katika lugha na mawasiliano miongoni mwa wanajamii.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza juhudi zozote tano zinazotumiwa kukiendeleza Kiswahili sanifu nchini Kenya.
(Solved)
Eleza juhudi zozote tano zinazotumiwa kukiendeleza Kiswahili sanifu nchini Kenya.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua shamirisho kipozi, kitondo na shamirisho ala katika sentensi ifuatayo.
Baba amemnunulia mtoto fulana nzuri iliyoshonwa kwa uzi mwekundu.
(Solved)
Tambua shamirisho kipozi, kitondo na shamirisho ala katika sentensi ifuatayo.
Baba amemnunulia mtoto fulana nzuri iliyoshonwa kwa uzi mwekundu.
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kutungia sentensi, tofautisha vitate hivi.
i) Ghali
ii) Gari
(Solved)
Kwa kutungia sentensi, tofautisha vitate hivi.
i) Ghali
ii) Gari
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia =O‘ rejeshi.
i) Msichana ambaye huja ni mwanasheria
ii) Maovu ambayo aliyatenda hayasahauliki
(Solved)
Tumia ‗O‘ rejeshi.
i) Msichana ambaye huja ni mwanasheria
ii) Maovu ambayo aliyatenda hayasahauliki
Date posted:
September 19, 2019
.
Answers (1)