(i) Uwele – U – ZI au U – YA
(ii) Vita – KI – VI
sharon kalunda answered the question on September 24, 2019 at 10:39
-
Weka vitenzi hivi katika hali ya kuamrisha wingi.
(i) -nywa
(ii) Tubu
(Solved)
Weka vitenzi hivi katika hali ya kuamrisha wingi.
(i) -nywa
(ii) Tubu
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia kiwakilishi cha nafsi huru (nafsi ya pili wingi) katika sentensi.
(Solved)
Tumia kiwakilishi cha nafsi huru (nafsi ya pili wingi) katika sentensi.
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha aina ya virai katika sentensi ifuatayo.Mwanafunzi mzuri husoma ndani ya darasa.
(Solved)
Onyesha aina ya virai katika sentensi ifuatayo.Mwanafunzi mzuri husoma ndani ya darasa.
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Taja sauti zozote mbili zinazotamkiwa kwenye kaakaa gumu.
(Solved)
Taja sauti zozote mbili zinazotamkiwa kwenye kaakaa gumu.
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Tofautisha matumizi ya ‘Ngali’ katika tungo hizi.
Mama angali mlimani
Otiende angalisoma kwa bidi angaliishi maisha mema.
(Solved)
Tofautisha matumizi ya ‘Ngali’ katika tungo hizi.
Mama angali mlimani
Otiende angalisoma kwa bidi angaliishi maisha mema.
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha na ueleze matumizi ya viwakifishi vifuatavyo.
Kibainishi
Mkwaju
(Solved)
Onyesha na ueleze matumizi ya viwakifishi vifuatavyo.
Kibainishi
Mkwaju
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia kivumishi cha a- unganifu katika sentensi ili kuleta dhana ya sifa.
(Solved)
Tumia kivumishi cha a- unganifu katika sentensi ili kuleta dhana ya sifa.
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Andika umoja wa sentensi inayofuata katika hali yakinifu.
Kina mama wasingefika mapema fuoni, wasingewahi mashua.
(Solved)
Andika umoja wa sentensi inayofuata katika hali yakinifu.
Kina mama wasingefika mapema fuoni, wasingewahi mashua.
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua kiima, aina za shamirisho na chagizo katika sentensi hii.
Kimemletea taabu sana.
Kiima:
Shamirisho:
Chagizo:
(Solved)
Tambua kiima, aina za shamirisho na chagizo katika sentensi hii.
Kimemletea taabu sana.
Kiima:
Shamirisho:
Chagizo:
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Tungia sentensi moja ziara na maziara ili kubainisha maana zao.
(Solved)
Tungia sentensi moja ziara na maziara ili kubainisha maana zao.
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi katika wakati usiodhihirika ukitumia nomino moja ya jamii.
(Solved)
Andika sentensi katika wakati usiodhihirika ukitumia nomino moja ya jamii.
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Andika neno lenye vipengele vinavyofuata vya kisarufi – kikanushi, ngeli, wakati,kitendwa, mzizi na kiishio.
(Solved)
Andika neno lenye vipengele vinavyofuata vya kisarufi – kikanushi, ngeli, wakati,kitendwa, mzizi na kiishio.
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Linganua kwa namna mbili sauti /e/ na /a/
(Solved)
Linganua kwa namna mbili sauti /e/ na /a/
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Unda nomino kutokana na kivumishi kifuatacho:
Tepetevu
(Solved)
Unda nomino kutokana na kivumishi kifuatacho:
Tepetevu
Date posted:
September 23, 2019
.
Answers (1)
-
Andika upya sentensi kwa kutumia "O" rejeshi tamati.
Gari lililoanguka si lile unalolizungumzia.
(Solved)
Andika upya sentensi kwa kutumia "O" rejeshi tamati.
Gari lililoanguka si lile unalolizungumzia.
Date posted:
September 23, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi sahihi ukitumia vitenzi vifuatavyo katika hali ya kufanyiza.
i) - La
ii) - Nywa
iii) -Fa
(Solved)
Tunga sentensi sahihi ukitumia vitenzi vifuatavyo katika hali ya kufanyiza.
i) - La
ii) - Nywa
iii) -Fa
Date posted:
September 23, 2019
.
Answers (1)
-
Toa maana mbili ya sentensi ifuatayo:
Leteni!
(Solved)
Toa maana mbili ya sentensi ifuatayo:
Leteni!
Date posted:
September 23, 2019
.
Answers (1)
-
Yakinisha sentensi ifuatayo katika wakati ujao hali timilifu wingi.
Msomi hakutuzwa siku hiyo.
(Solved)
Yakinisha sentensi ifuatayo katika wakati ujao hali timilifu wingi.
Msomi hakutuzwa siku hiyo.
Date posted:
September 23, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi ifuatayo :-
Kuliko na vita kwahitaji amani.
(Solved)
Kanusha sentensi ifuatayo :-
Kuliko na vita kwahitaji amani.
Date posted:
September 23, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha shamirisho kipozi na kitondo katika sentensi hii.
Nyanya ametengezewa kitanda kizuri na mjukuu wake.
(Solved)
Bainisha shamirisho kipozi na kitondo katika sentensi hii.
Nyanya ametengezewa kitanda kizuri na mjukuu wake.
Date posted:
September 23, 2019
.
Answers (1)