Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

"Ndoto za uhuru barani Afrika imegeuka kuwa jinamizi, jinamizi inayowafanya wazalendo kulia Kidagaa kimetuozea". Ukirejelea riwaya ya kidagaa kimemwozea eleza sababu za wazalendo kulia Kidagaa...

      

"Ndoto za uhuru barani Afrika imegeuka kuwa jinamizi, jinamizi inayowafanya wazalendo kulia Kidagaa kimetuozea". Ukirejelea riwaya ya kidagaa kimemwozea eleza sababu za wazalendo kulia Kidagaa kimetuozea.

  

Answers


sharon
- Unyakuzi wa ardhi - Nasaba Bora anabadilisha hatimiliki ya shamba la chichiri Hamadi
- Mauaji - Nasaba Bora anapanga njama Chichiri Hamadi auawe
- Umaskini- Imani anakosa kuendelea na masomo kwa ukosefu wa pesa
- Matumizi mabaya ya pesa za umma - Nasaba Bora na washirika wake wanatumia pesa zilizonuiwa kujengea hospitali na kuishia kujenga zahanati
- Huduma duni za afya - nduguye Imani anakufa kutokana na utepetevu wa madaktari / uhuru
- Umma kulazimishwa kumchangia Madhubuti ili aende akasomee Urusi
- Kufungwa jela bila. sababu - Amani na Imani / Yusufu, Matuko Weye
- Maskini kunyimwa nafasi za masomo huku pesa zikiwaendea watoto wa matajiri k.m.
- Fao kufadhiliwa kwa pesa za mahawinde
- Viongozi kama Nasaba kuwa na uhusiano na watoto wa shule kama vile Lowela
- Udangan yifu katika mtihani. Fao anafanyiwa mtihani
- Wiziwa miswaada - mwalimu Majisifu anaiiba miswaada na kuichapisha kwa jina lake
- Kutowajibika - Majisifu hafiki shuleni
sharon kalunda answered the question on September 25, 2019 at 07:29


Next: Name the four ways through which consumers can be cheated in their dealings with traders.
Previous: Name two organisms that exhibit symbiotic relationship and explain how each benefits from the association.

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions