Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Maneno haya yamo katika ngeli gani? i) Fagio ii) Nyigu

      

Maneno haya yamo katika ngeli gani?
i) Fagio
ii) Nyigu

  

Answers


sharon
i) U-ZI ;
ii).A-WA
sharon kalunda answered the question on September 26, 2019 at 05:49


Next: Give four challenges that may face a business unit that does not file its documents.
Previous: State three ways in which computer virus infection can be prevented other than through restricting the usage of removable storage media.

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions


  • Ngeli ni nini?(Solved)

    Ngeli ni nini?

    Date posted: September 26, 2019.  Answers (1)

  • Kiswahili ni lugha ambayo inakua na kuenea kila uchao. Imeenea kwa kasi hivi kwamba waliokuwa wameitweza wamelazimika kujifunza, kuizungumza na hata kuitumia katika maandishiLugha hii...(Solved)

    Soma taarifa ifuatavo kisha uiibu maswali
    Kiswahili ni lugha ambayo inakua na kuenea kila uchao. Imeenea kwa kasi hivi kwamba waliokuwa wameitweza wamelazimika kujifunza, kuizungumza na hata kuitumia katika maandishiLugha hii imetambuliwa kama mojawapo ya lugha za mawasiliano katika muungano wa Afrika. Magwiji wa Kiswahili wamechaguliwa kuunda msamiati mwafaka kutegemea mabadiliko ulimwenguni na kuingiza katika matumizi kupitia tarakilishi.
    Mpango huu utakapo faulu, mtu ataweza kutumia tarakilishi akiwasiliana kwa Kiswahili. Juhudi hizi heri zizidi kupongezwa na nyingine kuimarishwa Taasisi ya uchunguzi wa Kiswahili barani ni mojawapo wa hatua za kufanikisha juhudi hizi. Taasisi kama hiyo itatafiti historia ya lugha, mabadiliko yake na maenezi, msamiati wake na kuleta usawa wa mazungumzo kwa Kiswahili miongoni mwa mambo mengine.Kuweka lugha hii katika maandishi ni jambo litakalochangia kuimarisha lugha ya Kiswahili. Vitabu ,magazeti, na majarida yatakayolenga kiwango cha wasomaji yaandikwe na bei yake isiwe ghali mno ili wengi waweze kugharamia. Tanzu zote za lugha zizingatiwe.Lugha hii ifunzwe na kutahiniwa katika daraja zote za elimu. Lifanyapo hili, bila shaka lugha ya Kiswahili itaimarika.Uajiri wa wafanyikazi ukitambua ujuzi katika lugha hii hadhi yake itaimarika.Tafsiri ya kazi zilizoandikwa katika lugha mbalimbali zikifanywa katika Kiswahili, lugha hii itakua na kukitamizizi kwingi ulimwenguni.Watu wengi watapata hamu ya kusoma kazi asilia na ile ya tafsiri yake.Redio na magazeti ni vyombo muhimu katika kuwasiliana na kundi kubwa la watu kote duniani. Vyombo hivi vya mawasiliano kwa umma vikihimiza matumizi ya Kiswahili, bila shaka mchango mkubwa utaonekana katika kustawisha lugha hii. Vipindi maalumu matangazo na burudani vizingatie matumizi ya Kiswahili.Mashindano kati ya shule na shule,nchi na nchi ya kianzishwa na kuzingatiwa yanaweza kuimarisha Kiswahili pakubwa. Mashairi, mijadala, matokeo ya utafiti fulani, nyimbo, ngano na hadithi za kufunza umma ni njia za kuwezesha kufanyiwa mashindano kama hayo.Mikakati hii na mingine ikizingatiwa itakuwa mbolea nzuri ya kukuza lugha ya Kiswahili.

    Maswali
    i) Bila kubadilisha maana iliyokusudiwa ,fupisha aya mbili za mwanzo. (maneno 35 - 40)
    ii) Andika kwa muhtasari juhudi zinazofaa katika uimarishaji wa lugha ya Kiswahili kwa mujibu wa Makala haya. (maneno 70 -80)

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Ulimwengu unapaswa kuzuka na mbinu za Kulitadarukia tatizo la umaskini ambalo una kwamiza juhudi za maendeleo.(Solved)

    Soma nakala yafuatayo kishaujibu maswali
    Ulimwengu unapaswa kuzuka na mbinu za Kulitadarukia tatizo la umaskini ambalo una kwamiza juhudi za maendeleo. Umaskini unaoukabili mataifa yanayoendelea. Unayatosa kwenye dhiki kubwa huku mataifa ya kimagharibi yakipiga hatua kubwa kimaendeleo. Ufa uliopo baina ya mataifa yanayoendelea na yaloyaliyoendelea kama vile Marekani, nchi za Ulaya na Ujapani unapanuka kila uchao.
    Vyanzo vya umaskini huu ni anuwai ; mathalan, ufisadi, uongozi mbaya, turathi za kikoloni, uchumi kuegemea mvua isiyotabirika,idadi ya watu inayoupiku uwezo wa uchumi wa taifa linalo husika na ukosefu wa nyenzo na amali za kuwakwamua raia kutoka lindi la umaskini. Ukosefu na adimu za ajira huchangia pia katika tatizo hili.
    Jamii ya xxxxxxx mpaswa kuelewa kuwa umaskini unaoathiri nchi fulani unaathari pana sana.Uvunigu unaotokana na umaskini unaweza kuwa msingi ambako matendo ya kihalifu ili kujinasua kutoka dhiki ile. Hii inaweza kuwa mbegu ya kuatika maovu kama ugaidi na uhalifu wa kila aina.
    Mataifa ya magharibi yanapaswa kuyaburai madeni mataifa yanayoendelea kama njia mojawapo ya kupambana na umaskini. Asilimia kubwa ya pato la kitaifa katika mataifa mengi hutumika kuyalipa madeni hayo. Katika hali hii inakuwamuhali kwa mataifa hayo kujikwamua kutokana na pingu za umaskini. Njia nyingine ni kustahabu kutoa ruzuku za kimaendeleo badala ya mikopo kwa nchi zinazoendelea.
    Kwa upande wake, mataifa yanayoendelea yanapaswa kuibuka na mikakati bora yakupambana na umaskini. Ni muhimu pawepo na sera zinazotambua ukweli kuwa asilimia kubwa ya raia wa mataifa hayo ni maskini. Pana dharura ya kuzalisha nafasi za ajira, kupanua viwanda hususan vinavyohusiana na zaraa ambayo ni tegemeo kuu la mataifa mengi, kuendeleza elimu na kuimarisha miundo msingi. Ipo haja pia ya mataifa haya kuhakikisha kuwa mfumo wa soko huru unaotawala ulimwengu sasa hauishii kuwa chanzo cha kufa kwa viwanda asilia na kuendeleza umasikini zaidi. Kwa ufupi, maamuzi yote ya sera za kiuchumi lazima ya zingatie uhalisi wa maisha ya raia wa mataifa hayo.

    a) Kwa nini umaskini umetamalaki katika mataifa yanayoendelea?
    b) Madeni yana athari gani kwa mataifa yanayoendelea?
    c) Ni mapendekezo yapi ambayo mwandishi anatoa kwa mataifa machanga kuhusu utatuzi wa tatizo la umaskini?
    d) Mfumo wa soko huru una mathara gani kwa mataifa machanga?
    e) Ukirejea kifungu, eleza maana ya:
    i) Kulitadarukia
    ii) Kuatika
    iii) Kuyaburai madeni

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • "Asanteni sana kwa kuja, sisi. . . hukabiliana na mengi."(Solved)

    Damu Nyeusi na Hadithi nyingine : Ken Walibora na Said A. Mohamed
    "Asanteni sana kwa kuja, sisi. . . hukabiliana na mengi."
    i) Eleza muktadha wa dondoo hili.
    ii) Fafanua matukio yaliyosababisha mkutano huu. (alama 4)
    iii) Jadili changamoto sita zinazokumba jinsia ya kike katika hadithi hii.

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Matatizo yanayowakumba wanacheneo ni kielelzo cha matatizo yanayowakumba wananchi wa mataifa mengi ya ulimwengu wa tatu. Thibitisha ukerejelea "Mstahiki Meya".(Solved)

    Matatizo yanayowakumba wanacheneo ni kielelzo cha matatizo yanayowakumba wananchi wa mataifa mengi ya ulimwengu wa tatu. Thibitisha ukerejelea "Mstahiki Meya".

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Mstahiki Meva : Timothy M. Arege "Nilikusahau lini. . , ? Mtu haukati mkono unaomlisha.(Solved)

    Mstahiki Meva : Timothy M. Arege
    "Nilikusahau lini. . , ? Mtu haukati mkono unaomlisha.
    a) Fafanua muktadha wa dondoo hili.
    b) Taja na ueleze mbinu ya kifasihi iliyotumika katika dondoo hili.
    c) Eleza sifa nne za msemewa.
    d) Kwa kutoa mifano mitano thibithisha jinsi viongozi wa cheneo walivyoukata mkono uliokuwa ukiwalisha.

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Huku ukirejelea riwaya ya Kidagaa Kimemwozea thibitisha kwamba vijana wana suluhu tosha kwa matatizo yanayoikumba jamii wanamoishi.(Solved)

    Huku ukirejelea riwaya ya Kidagaa Kimemwozea thibitisha kwamba vijana wana suluhu tosha kwa matatizo yanayoikumba jamii wanamoishi.

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Kidagaa kimemwozea ; Ken Walibora . .. alisimama jadidi na kuwatazama hawa watu wawili waliosimama wima na kutetemeka kama waliopigwa na dhoruba ya theluji."(Solved)

    Kidagaa kimemwozea ; Ken Walibora
    . .. alisimama jadidi na kuwatazama hawa watu wawili waliosimama wima na kutetemeka kama waliopigwa na dhoruba ya theluji."
    a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
    b) Bainisha hulka ya mrejelewa.
    c) Huku ukitoa mifano mwafaka jadili mchango wa wanawake katika riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Andika kinyume. Sufuria iliyoinjikwa mekoni ni chafu.(Solved)

    Andika kinyume.
    Sufuria iliyoinjikwa mekoni ni chafu.

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Bainisha aina za viwakilishi katika sentensi ifuatayo; Ule wangu niliopalilia unakua vizuri.(Solved)

    Bainisha aina za viwakilishi katika sentensi ifuatayo;
    Ule wangu niliopalilia unakua vizuri.

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Tunga sentensi kudhihirisha maana ya msemo ufuatao. enda benibeni.(Solved)

    Tunga sentensi kudhihirisha maana ya msemo ufuatao. enda benibeni.

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Andika visawe vya maneno haya; i) Wajihi ii) Laazizi(Solved)

    Andika visawe vya maneno haya;
    i) Wajihi
    ii) Laazizi

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Sahihisha kwa kutumia kirejeshi cha mazoea. Kambarau ambao iliyoundwa vyema haitatizi.(Solved)

    Sahihisha kwa kutumia kirejeshi cha mazoea.
    Kambarau ambao iliyoundwa vyema haitatizi.

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Tambua matumizi ya kiambishi -ji- katika sentensi ifuatayo. Jino la jitu hilo lililiwezesha kujilia chakula kingi kuliko mkimbiaji yule.(Solved)

    Tambua matumizi ya kiambishi -ji- katika sentensi ifuatayo.
    Jino la jitu hilo lililiwezesha kujilia chakula kingi kuliko mkimbiaji yule.

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Andika upya sentensi ifuatayo ukianzia yambwa tendwa. Wakulima waliwakatia ngamia wote majani ya mti huo.(Solved)

    Andika upya sentensi ifuatayo ukianzia yambwa tendwa.
    Wakulima waliwakatia ngamia wote majani ya mti huo.

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mistari, Wakazi waligawiwa vyandarua vya mbu lakini wanavitumai kujengea nyua.(Solved)

    Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mistari,
    Wakazi waligawiwa vyandarua vya mbu lakini wanavitumia kujengea nyua.

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Kanusha Ukiona vyaelea vimeundwa.(Solved)

    Kanusha
    Ukiona vyaelea vimeundwa.

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Andika kifungu kifuatacho katika msemo wa taarifa; Amani alilia, "Marafiki zangu, majambazi wamenipiga na kunipora pesa zangu zote. Mali yangu sasa hali yangu nimbaya(Solved)

    Andika kifungu kifuatacho katika msemo wa taarifa;
    Amani alilia, "Marafiki zangu, majambazi wamenipiga na kunipora pesa zangu zote. Mali yangu sasa hali yangu nimbaya."

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Tunga sentensi mbili tofauti kudhihirisha maana ya neno 'ilimradi'(Solved)

    Tunga sentensi mbili tofauti kudhihirisha maana ya neno 'ilimradi'

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)

  • Ainisha vielezi katika sentensi hii. Mwalimu wetu anayefundisha kistadi hutembea kwa maringo.(Solved)

    Ainisha vielezi katika sentensi hii.
    Mwalimu wetu anayefundisha kistadi hutembea kwa maringo.

    Date posted: September 25, 2019.  Answers (1)