
a) Mimba ya Sela kwa Masazu ilikuwa ni kanda la usufi. Masazu alimwandikia barua na kumuuliza ni kwa nini hakujikinga. Alimwambia "yajapo yapokee‘
- Wanafunzi waliokuwa wajawazito majina yao yalipoitwa, wanafunzi wenzao waliangua vicheko vya chini kwa chini. Walijua kwamba wanafunzi hao ni wajawazito. Kwa wanafunzi wale wengine ujauzito wa wanafunzi ilikuwa kanda la usufi
- Sela na wenzake wawili ingawa walielewa sababu ya kuitwa ofisini hawakujua kilichokuwa kitendeke. Hakuna aliyezungumza na mwenzake kutokana na mawazo. Wote waliinamisha nyuso zao. Kwa mwalimu mkuu ilikuwa mzigu wao ni kanda la usufi alisema ni jambo la kawaida.
- Bakali babaye Sela alimuuliza mwalimu mkuu ni kwa nini wao huwaletea watoto shuleni. Yeye hajui waalimu huwa na majukumu hasa ya kutoa ushauri, kuwasomesha kwake Butali kazi ya waalimu ni kanda la usufi haoni kazi gumu na nyingi wanazotekeleza
- Kupata mimba kwa wasichana watatu ni mzigo kwa wazazi lakini kwa Bi. Margret ni kanda la usufi aliwaambia tukio lililowaleta hapo lilikuwa nila kawaida kwao.
- Mzee Butali anaonelea kosa la Sela la kuwa mja mzito mamaye ni wa kulaumiwa na hata anawafukuza nyumbani. Kwake mzigo huo ni wake lakini kwa mkewe ni kanda la usufi
b) Ukimbizi
- Angetukanwa na kusumbuliwa pale uwanja wa ndege kuwa yeye mkimbizi mwongo mzandiki
- Mkimbizi anayejidai kwao kuna fujo na kuuliwa watu
- Kuwa anakimbia shinda.
- kuwa anataka kuingia kwa wenyewe kwa lazima kuharibu mazingira, utulivu na utamanduni wa wenyeji wake.
Ajifanye mgonjwa mahututi wa maradhi yake hayatibiki hapa pao
- Ubalozi wa uingereza unajua ujanja huo.
- Wana daktari anayepima mtu kwanza ndio aruhusiwe kwenda uingereza kwa matibabu.
Ajifanye anaenda kusoma
- Lazima apate shule itakayomkubali
- Lazima aonyeshe mtaji mkubwa wa fedha za kilipia karo na gharama ya maisha
- Matokeo yake ya kidato cha sita yalikuwa mabaya
Aseme ni mtalii
- Yeye ni maskini kinyume cha mtalii
Kuolewa
- Ni nani huyo kutoka uingereza atakuja kumuoa hakuna
sharon kalunda answered the question on October 1, 2019 at 08:53
-
Assumpta Matei: Chozi la Heri
Alijiona kama mfa maji ambaye anakabiliwa na mtutumo wa mawimbi ya misiba, mmoja baada ya mwingine.
(a) Bainisha muktadha wa dondoo hili....
(Solved)
Assumpta Matei: Chozi la Heri
Alijiona kama mfa maji ambaye anakabiliwa na mtutumo wa mawimbi ya misiba, mmoja baada ya mwingine.
(a) Bainisha muktadha wa dondoo hili.
(b) Eleza sifa tatu za anayerejelewa katika dondoo hili.
(c) Eleza tamathali ya usemi iliyotumika katika dondoo hili.
(d) Fafanua masaibu yaliyomkumba mrejelewa.
(e) Huku ukitolea mifano riwayani, jadili matatizo yanayowakumba wanajamii katika ndoa.
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Alifa chokocho na Dumu Kayanda: Tumbo Lisiloshiba
'Doa ndio kawaida inayobainisha maisha ya mwanadamu.'Onyesha ukweli wa kauli hii kwa mujibu wa hadithi za: Shogake Dada ana...
(Solved)
Alifa chokocho na Dumu Kayanda: Tumbo Lisiloshiba
'Doa ndio kawaida inayobainisha maisha ya mwanadamu.'Onyesha ukweli wa kauli hii kwa mujibu wa hadithi za: Shogake Dada ana Ndevu, Mame Bakari, Shibe Inatumaliza na Mtihani wa Maisha.
Date posted:
September 24, 2019
.
Answers (1)
-
Taja baadhi ya maudhui yanayojitokeza katika hadithi ya tumbo lisiloshiba?
(Solved)
Taja baadhi ya maudhui yanayojitokeza katika hadithi ya tumbo lisiloshiba?
Date posted:
September 18, 2019
.
Answers (1)
-
Taja mifano ya taswira katika hadithi ya tumbo lisiloshiba?
(Solved)
Taja mifano ya taswira katika hadithi ya tumbo lisiloshiba?
Date posted:
September 18, 2019
.
Answers (1)
-
Taja vipera vya mazungumzo
(Solved)
Taja vipera vya mazungumzo
Date posted:
August 24, 2019
.
Answers (1)
-
RIWAYA
S.A MOHAMED: UTENGANO
“ Katu asingajitia kibuibui na kutanga na njia. Lo, kachoshwa na shimiri za baruti
anazoshindiliwa moyoni mwake.”
a) eleza muktadha wa dondoo hili.
b) taja na...
(Solved)
RIWAYA
S.A MOHAMED: UTENGANO
“ Katu asingajitia kibuibui na kutanga na njia. Lo, kachoshwa na shimiri za baruti
anazoshindiliwa moyoni mwake.”
a) eleza muktadha wa dondoo hili.
b) taja na ufafunue tamathali ya usemi iliyotumika katika dondoo hili
c) Eleza umuhimu wa kisa kinachorejelewa na dondoo.
d) kwa kurejelea matukio mengine katika riwaya ya Utengano, fafanua maudhui
mawili yayoashiriwa na dondoo hili.
Date posted:
June 29, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha maudhui yanayojitokeza katika riwaya ya chozi la heri
(Solved)
Bainisha maudhui yanayojitokeza katika riwaya ya chozi la heri
Date posted:
June 14, 2019
.
Answers (1)
-
Damu Nyeusi
Jadili maudhui ya elimu kwa mujibu wa "Kanda la Usufi", "Shaka ya Mambo"
na "Tazama na Mauti"
(Solved)
Damu Nyeusi
Jadili maudhui ya elimu kwa mujibu wa "Kanda la Usufi", "Shaka ya Mambo"
na "Tazama na Mauti"
Date posted:
May 7, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua jinsi mwandishi wa ‘Tumbo Lisiloshiba’ alivyotumia kinaya kufanikisha maudhui yake
(Solved)
Fafanua jinsi mwandishi wa ‘Tumbo Lisiloshiba’ alivyotumia kinaya kufanikisha maudhui yake
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua changamoto zinazokabili asasi ya ndoa ukirejelea hadithi ya Masharti ya kisasa
(Solved)
Fafanua changamoto zinazokabili asasi ya ndoa ukirejelea hadithi ya Masharti ya kisasa
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Ulezi umewapa wazazi wengi changamoto nyingi. Ukirejelea hadithi ya shogake, dada ana ndevu dhihirisha ukweli wa kauli hii
(Solved)
Ulezi umewapa wazazi wengi changamoto nyingi. Ukirejelea hadithi ya shogake, dada ana ndevu dhihirisha ukweli wa kauli hii
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Dhihirisha ukweli wa methali “mzoea sahani vya vigae haviwezi” katika hadithi ya mapenzi ya kifaurongo
(Solved)
Dhihirisha ukweli wa methali “mzoea sahani vya vigae haviwezi” katika hadithi ya mapenzi ya kifaurongo
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili matatizo yanayowakumba wakaazi wa Madongo poromoka katika tumbo lisiloshiba
(Solved)
Jadili matatizo yanayowakumba wakaazi wa Madongo poromoka katika tumbo lisiloshiba
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Jadili maudhui ya usaliti katika hadithi ,’Mapenzi ya kifaurongo’ na ‘Mame Bakari.
(Solved)
Jadili maudhui ya usaliti katika hadithi ,’Mapenzi ya kifaurongo’ na ‘Mame Bakari.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Thibitisha kuwa ulitima ni kati ya maudhui ya hadithi ya mkubwa.
(Solved)
Thibitisha kuwa ulitima ni kati ya maudhui ya hadithi ya mkubwa.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Mhini na mhiniwa njia yao moja. Jadili ukweli wa methali hii ukirejelea hadithi ya mkubwa
(Solved)
Mhini na mhiniwa njia yao moja. Jadili ukweli wa methali hii ukirejelea hadithi ya mkubwa
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika ‘Tumbo lisiloshiba na Hadithi nyingine’, fafanua maudhui ya utabaka.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi zozote tano katika ‘Tumbo lisiloshiba na Hadithi nyingine’, fafanua maudhui ya utabaka.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Fafanua sifa kumi za mzee Mago katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.
(Solved)
Fafanua sifa kumi za mzee Mago katika hadithi ya tumbo lisiloshiba.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
Kwa kurejelea hadithi ya Tumbo Lisiloshiba na ya Mapenzi ya Kifaurongo, fafanua maudhui ya utabaka.
(Solved)
Kwa kurejelea hadithi ya Tumbo Lisiloshiba na ya Mapenzi ya Kifaurongo, fafanua maudhui ya utabaka.
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)
-
‘Shogake dada ana ndevu’ Safia
Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Musi
ii) Jairo
iii) Sera
iv) Mke wa Jairo
(Solved)
‘Shogake dada ana ndevu’ Safia
Eleza sifa za wahusika wafuatao.
i) Mwalimu Musi
ii) Jairo
iii) Sera
iv) Mke wa Jairo
Date posted:
May 6, 2019
.
Answers (1)