Amenivunjia mlango na kuniibia.
sharon kalunda answered the question on October 4, 2019 at 05:16
-
Onyesha mofimu katika:
kilichopewa
(Solved)
Onyesha mofimu katika:
kilichopewa
Date posted:
October 4, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha kiima na chagizo katika sentensi ifuatayo.
Walimu hao walifanya kazi yao kwa bidii.
(Solved)
Bainisha kiima na chagizo katika sentensi ifuatayo.
Walimu hao walifanya kazi yao kwa bidii.
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa kutumia jedwali.
Ouma alianguka mtihani ila Kamau alifuzu vizuri.
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa kutumia jedwali.
Ouma alianguka mtihani ila Kamau alifuzu vizuri.
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili za sentensi ifuatayo.
Wanafunzi waliandikiana barua.
(Solved)
Eleza maana mbili za sentensi ifuatayo.
Wanafunzi waliandikiana barua.
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Unda nomino mbili kutokana na neno "kudhulumu".
(Solved)
Unda nomino mbili kutokana na neno "kudhulumu".
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi yakinishi kutokana na sentensi ifuatayo.
Utawala mkubwa wa meya haukuzuilika.
(Solved)
Andika sentensi yakinishi kutokana na sentensi ifuatayo.
Utawala mkubwa wa meya haukuzuilika.
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kwa ukubwa na udogo
Sahani zote zimepelekwa nyumbani
(Solved)
Andika kwa ukubwa na udogo
Sahani zote zimepelekwa nyumbani
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha aina za vishazi katika sentensi hii
Watoto walioachwa mayatima wamesaidiwa
(Solved)
Bainisha aina za vishazi katika sentensi hii
Watoto walioachwa mayatima wamesaidiwa
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha viambishi na mzizi katika kitenzi
Hawakunichokoza
(Solved)
Ainisha viambishi na mzizi katika kitenzi
Hawakunichokoza
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya jedwali.
Sisi tulipokuwa shuleni tulisoma kwa bidii.
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya jedwali.
Sisi tulipokuwa shuleni tulisoma kwa bidii.
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti ya kisarufi ya maneno yaliyopigiwa mstari.
i)Hiki ni kitabu cha mwalimu
ii)Hiki ni cha mwalimu
(Solved)
Eleza tofauti ya kisarufi ya maneno yaliyopigiwa mstari.
i)Hiki ni kitabu cha mwalimu
ii)Hiki ni cha mwalimu
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sifa mbili mbili bainifu za sauti.
i)/e/
ii)/n/
(Solved)
Andika sifa mbili mbili bainifu za sauti.
i)/e/
ii)/n/
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
UFAHAMUSoma makala yafuatayo kisha ujibu maswali.Mojawapo kati ya misingi na nguzo za maendeleo uliwenguni ni viwanda. Viwanda ni muhimu kwa kuwa ndivyo vinavyoigeuza malighafi inayopatikana...
(Solved)
UFAHAMU
Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali.
Mojawapo kati ya misingi na nguzo za maendeleo uliwenguni ni viwanda. Viwanda ni muhimu kwa kuwa ndivyo vinavyoigeuza malighafi inayopatikana na kuwa bidhaa zinazoweza kutumiwa na watu. Katika nchi zinazoendelea, ambazo hazina uwezo mkubwa wa mitaji viwanda vinavyoimarika ni vile vidogo. Hivi ni viwanda ambavyo huhusisha amali za mikono. Kuimarika kwa viwanda hivi vidogo kunatokana na sababu mbalimbali.
Nchi zinazoendelea huwa na masoko finyu sana kwa kuzingatia uwezo wa ununuzi wa wanaolengwa na bidhaa za viwanda . Katika msingi huu viwanda vikubwa vitawiwa ugumu kufanya biashara katika mazingira ambako masoko yake ni finyu au utashi wa bidhaa zake sio mkubwa. Viwanda vidogo pia vinao uwezo wa kuwaajiri wafanyikazi wengi hasa kwa kuwa havina uwezo wa kugharamia mashine. Uajiri huu wa wafanyikazi wengi ni muhimu katika maeneo mengi ambako tatizo la ajira ni mojawapo wa matatizo sugu. Tofauti na mataifa ya kitasmia (yenye viwanda vingi) mataifa mengi yanayoendelea hayana mifumo imara ya kuwakimu watu wasiokuwa na kazi. Utegemezi wa jamaa wanaofanya kazi kwa hivyo unakuwa nyenzo ya pekee ya kuyamudu maisha.
Kuanzisha viwanda vidogo vidogo hakuhitaji mtaji mkubwa tofauti na viwanda vikubwa. Hali hii inasahilisha uwezekano wa watu wengi kujasurisha shughuli yoyote ile. Sambamba na suala hili ni kuwa ni rahisi kujarisha bidhaa mpya kwa kiwango kidogo cha kiwanda kidogo. Ikiwa mzalishaji yeyote atazalisha bidhaa mpya kwa mapanu, kwa mfano kama ilivyo kwa viwanda vikubwa, pana uwezekano wa kupata hasara kubwa. Huenda utashi wa bidhaa hiyo uwe mdogo ukilinganishwa na ugavi wa bidhaa yenyewe. Majaribio mazuri huwa ni kwa kiwango kidogo.
Kuwepo kwa viwanda vidogo huwa chocheo kubwa la usambazaji wa viwanda hadi maeneo ya mashambani. Hali hii inahakikisha kuwa nafasi za ajira zimezambazwa nchini hali ambayo inasaidia kuhakikisha kuwa pana mweneo mzuri wa kimapato nchini. Mweneo huo wa mapato unachangia katika kuboresha uwezo wa kiununuzi wa umma. Huu ni msingi muhimu wa maendeleo. Upanuzi na ueneaji wa viwanda vidogo vidogo ni msingi mkubwa wa kujitegemea kiuchumi. Aghalabu viwanda vikubwa huegemea kwenye mitaji ya mashirika ya kimataifa na huwa msingi wa kuendelezwa kwa utegemezi wa kiuchumi.
Maswali
a)Kwa nini viwanda ni muhimu?
b)Ni nini kiini cha matatizo ya uuzaji wa bidhaa katika nchi zinazoendelea?
c)Eleza faida zinazotokana na kuwepo kwa viwanda vidogo vidogo.
d)Usambazaji wa viwanda katika maeneo ya mashambani una faida gani?
e)Fafanua maana ya msamiati huu kama ulivyotumika katika kifungu.
i)Kujasurisha
ii)Amali
iii)Utashi
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha aina za virai katika sentensi hii.
Wazazi wetu watawasili kesho saa tatu.
(Solved)
Onyesha aina za virai katika sentensi hii.
Wazazi wetu watawasili kesho saa tatu.
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi mawili ya "ka".
(Solved)
Eleza matumizi mawili ya "ka".
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua hali katika sentensi ifuatayo.
Vyungu vya aina hii vyafinyangwa na huyu.
(Solved)
Tambua hali katika sentensi ifuatayo.
Vyungu vya aina hii vyafinyangwa na huyu.
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia kitenzi "amerudi" kuonyesha dhana tatu za kiimbo.
(Solved)
Tumia kitenzi "amerudi" kuonyesha dhana tatu za kiimbo.
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia yambwa tendwa na yambwa tendewa.
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia yambwa tendwa na yambwa tendewa.
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha matumizi ya kiambishi "ni" katika sentensi ifuatayo:
Maria ni mpole ndio maana ninapenda kwenda kwao.
(Solved)
Onyesha matumizi ya kiambishi "ni" katika sentensi ifuatayo:
Maria ni mpole ndio maana ninapenda kwenda kwao.
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi ifuatayo katika wakati ujao hali ya kuendelea.
Juma anafundisha katika shule hii.
(Solved)
Andika sentensi ifuatayo katika wakati ujao hali ya kuendelea.
Juma anafundisha katika shule hii.
Date posted:
October 3, 2019
.
Answers (1)