Janajike hili limezaa matoto manne.
maurice.mutuku answered the question on October 7, 2019 at 08:29
-
Unda nomino mbili mbili kutokana na vitenzi vifuatavyo:-(i) abudu(ii) fisidi
(Solved)
Unda nomino mbili mbili kutokana na vitenzi vifuatavyo:-
(i) abudu
(ii) fisidi
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia ‘‘O’’ rejeshi ya kati
Lisemwalo silo liwalo
(Solved)
Tumia ‘‘O’’ rejeshi ya kati
Lisemwalo silo liwalo
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ambayo ina aina za maneno uliyopewa:-
N + V + V + T
(Solved)
Tunga sentensi ambayo ina aina za maneno uliyopewa:-
N + V + V + T
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia – ‘ako’ katika sentensi kama:
i) Kivumishi
ii) Kiwakilishi
iii) Kitenzi
(Solved)
Tumia – ‘ako’ katika sentensi kama:
i) Kivumishi
ii) Kiwakilishi
iii) Kitenzi
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika udogo wa:
Magari yote yaliyobakia yatauzwa na mzee yule mwembamba
(Solved)
Andika udogo wa:
Magari yote yaliyobakia yatauzwa na mzee yule mwembamba
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Taja sifa mbalimbali za sauti zifuatazo:
/Z/
/K/
(Solved)
Taja sifa mbalimbali za sauti zifuatazo:
/Z/
/K/
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo ukitumia njia ya matawi :-
Amekuja kuwatembelea manusura waliopata ajali ya ndege
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo ukitumia njia ya matawi :-
Amekuja kuwatembelea manusura waliopata ajali ya ndege
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha viambishi katika neno lifuatalo:
atakuajiri
(Solved)
Ainisha viambishi katika neno lifuatalo:
atakuajiri
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika katika wingi
Meza ii hii ndiyo aliyotumia kulia
(Solved)
Andika katika wingi
Meza ii hii ndiyo aliyotumia kulia
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli ya kutendewa
i) cha …
ii) nywa
(Solved)
Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli ya kutendewa
i) cha …
ii) nywa
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia kinyume cha kitenzi: ‘umba’
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia kinyume cha kitenzi: ‘umba’
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Unda nomino za/lm,k, dhahania kutokana na maneno yafuatayo :-
i) Kwea .
ii) Himarisha
(Solved)
Unda nomino za/lm,k, dhahania kutokana na maneno yafuatayo :-
i) Kwea .
ii) Himarisha
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili ya sentensi:-
Tumetengeneza barabara
(Solved)
Eleza maana mbili ya sentensi:-
Tumetengeneza barabara
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Huku ukitumia mifano mwafaka, eleza tofauti ya sentensi sahili na ambatano
(Solved)
Huku ukitumia mifano mwafaka, eleza tofauti ya sentensi sahili na ambatano
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha shamirisho /yambwa katika sentensi ifuatayo:-
Mchezaji alimpigia mwenzake mpira kwa mguu wa kushoto.
(Solved)
Ainisha shamirisho /yambwa katika sentensi ifuatayo:-
Mchezaji alimpigia mwenzake mpira kwa mguu wa kushoto.
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha tofauti ya vitate vifuatavyo kwa kuvitungia sentensi(i) Dhamani(ii) Thamani
(Solved)
Onyesha tofauti ya vitate vifuatavyo kwa kuvitungia sentensi
(i) Dhamani
(ii) Thamani
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika udogo wa sentensi:-
Ndama wa ng’ombe yule ameuzwa.
(Solved)
Andika udogo wa sentensi:-
Ndama wa ng’ombe yule ameuzwa.
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi sahihi ukitumia –wa- katika kauli ya kutendeana
(Solved)
Tunga sentensi sahihi ukitumia –wa- katika kauli ya kutendeana
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha matumizi mawili mawili ya alama zifuatazo:-
(a) Alama ya mshangao
(b) Mshazari
(Solved)
Onyesha matumizi mawili mawili ya alama zifuatazo:-
(a) Alama ya mshangao
(b) Mshazari
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ya maneno manne ambayo ina sehemu zifuatazo. Kielezi cha namna,
kivumishi,kitenzi na jina
(Solved)
Tunga sentensi ya maneno manne ambayo ina sehemu zifuatazo. Kielezi cha namna,
kivumishi,kitenzi na jina
Date posted:
October 5, 2019
.
Answers (1)