(i) Juma alisema ya kuwa /kuwa/ ya kwamba / kwamba angerudi tu ikiwa/ kama
wangekubali kuomba msamaha
(ii) Mwalimu Mkuu aliwataka /aliwaambia waeleze vile Walivyoenda hapo na
namna wangeenda/watakavyoenda
maurice.mutuku answered the question on October 7, 2019 at 09:17
-
Weka sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea:-
Mmea ambao unapandwa katika msimu wa masika unamea
(Solved)
Weka sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea:-
Mmea ambao unapandwa katika msimu wa masika unamea
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi ifuatayo bila kutumia “amba”:- Jitu ambalo linatusumbua sharti liadhibiwe vikali
(Solved)
Andika sentensi ifuatayo bila kutumia “amba”:-
Jitu ambalo linatusumbua sharti liadhibiwe vikali
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya semi hizi :
(i) Kunja jamvi
(ii) Piga kambi
(Solved)
Eleza maana ya semi hizi :
(i) Kunja jamvi
(ii) Piga kambi
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Taja mianzo mitatu tofauti ya ngeli ya U-ZI
(Solved)
Taja mianzo mitatu tofauti ya ngeli ya U-ZI
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi mbili kubainisha maana tofauti ya maneno yafuatayo:-
(i) Kuna
(ii) guna
(Solved)
Tunga sentensi mbili kubainisha maana tofauti ya maneno yafuatayo:-
(i) Kuna
(ii) guna
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika katika hali ya ukubwa
Mwanamke huyu amezaa watoto wanne.
(Solved)
Andika katika hali ya ukubwa
Mwanamke huyu amezaa watoto wanne.
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Unda nomino mbili mbili kutokana na vitenzi vifuatavyo:-(i) abudu(ii) fisidi
(Solved)
Unda nomino mbili mbili kutokana na vitenzi vifuatavyo:-
(i) abudu
(ii) fisidi
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia ‘‘O’’ rejeshi ya kati
Lisemwalo silo liwalo
(Solved)
Tumia ‘‘O’’ rejeshi ya kati
Lisemwalo silo liwalo
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ambayo ina aina za maneno uliyopewa:-
N + V + V + T
(Solved)
Tunga sentensi ambayo ina aina za maneno uliyopewa:-
N + V + V + T
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia – ‘ako’ katika sentensi kama:
i) Kivumishi
ii) Kiwakilishi
iii) Kitenzi
(Solved)
Tumia – ‘ako’ katika sentensi kama:
i) Kivumishi
ii) Kiwakilishi
iii) Kitenzi
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika udogo wa:
Magari yote yaliyobakia yatauzwa na mzee yule mwembamba
(Solved)
Andika udogo wa:
Magari yote yaliyobakia yatauzwa na mzee yule mwembamba
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Taja sifa mbalimbali za sauti zifuatazo:
/Z/
/K/
(Solved)
Taja sifa mbalimbali za sauti zifuatazo:
/Z/
/K/
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo ukitumia njia ya matawi :-
Amekuja kuwatembelea manusura waliopata ajali ya ndege
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo ukitumia njia ya matawi :-
Amekuja kuwatembelea manusura waliopata ajali ya ndege
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha viambishi katika neno lifuatalo:
atakuajiri
(Solved)
Ainisha viambishi katika neno lifuatalo:
atakuajiri
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika katika wingi
Meza ii hii ndiyo aliyotumia kulia
(Solved)
Andika katika wingi
Meza ii hii ndiyo aliyotumia kulia
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli ya kutendewa
i) cha …
ii) nywa
(Solved)
Nyambua vitenzi vifuatavyo katika kauli ya kutendewa
i) cha …
ii) nywa
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia kinyume cha kitenzi: ‘umba’
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia kinyume cha kitenzi: ‘umba’
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Unda nomino za/lm,k, dhahania kutokana na maneno yafuatayo :-
i) Kwea .
ii) Himarisha
(Solved)
Unda nomino za/lm,k, dhahania kutokana na maneno yafuatayo :-
i) Kwea .
ii) Himarisha
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili ya sentensi:-
Tumetengeneza barabara
(Solved)
Eleza maana mbili ya sentensi:-
Tumetengeneza barabara
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Huku ukitumia mifano mwafaka, eleza tofauti ya sentensi sahili na ambatano
(Solved)
Huku ukitumia mifano mwafaka, eleza tofauti ya sentensi sahili na ambatano
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)