(i) Kisu – Ki-Vi
(ii) nyavu – U-Zi
(iii) Chai –I-I
maurice.mutuku answered the question on October 7, 2019 at 10:22
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa kutumia vielelezo vya vishale:
Kiarie ni mwanafunzi mtiifu
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa kutumia vielelezo vya vishale:
Kiarie ni mwanafunzi mtiifu
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi hizi kwa wingi:-
(i) Mtoto huenda shuleni kila siku
(ii) Mwalimu amemfunza mwanafunzi vizuri
(Solved)
Kanusha sentensi hizi kwa wingi:-
(i) Mtoto huenda shuleni kila siku
(ii) Mwalimu amemfunza mwanafunzi vizuri
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha maneno yaliyokopwa toka lugha za kigeni na kuswahilishwa kwa kuyaongezea
irabu kama Bint (Kiarabu) – Binti
Toa mifano minne
(Solved)
Onyesha maneno yaliyokopwa toka lugha za kigeni na kuswahilishwa kwa kuyaongezea
irabu kama Bint (Kiarabu) – Binti
Toa mifano minne
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika upya sentensi hii kwa kuandika kinyume cha kila neno lilipigwa mstari:-
Wifi alipovaa nguo na kusimama ajuza yule alikaa
(Solved)
Andika upya sentensi hii kwa kuandika kinyume cha kila neno lilipigwa mstari:-
Wifi alipovaa nguo na kusimama ajuza yule alikaa
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Geuza sentensi hii hadi udogo:-
Nyoka yule mrefu alifukuzwa na watu wengi
(Solved)
Geuza sentensi hii hadi udogo:-
Nyoka yule mrefu alifukuzwa na watu wengi
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Unda majina mawili mawili kutoka vitenzi hivi na utumie katika sentensi ili
kubainisha maana
(i) Safiri
(ii) Zaa
(Solved)
Unda majina mawili mawili kutoka vitenzi hivi na utumie katika sentensi ili
kubainisha maana
(i) Safiri
(ii) Zaa
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi nne kuonyesha matumizi na maana nne za kijineno ’ki’
(Solved)
Tunga sentensi nne kuonyesha matumizi na maana nne za kijineno ’ki’
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika maana mbili zinazojitokeza katika sentensi hii :-
Alimlilia mwanawe
(Solved)
Andika maana mbili zinazojitokeza katika sentensi hii :-
Alimlilia mwanawe
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Badilisha sentensi hizi hadi usemi wa taarifa:-
(i) “Nitarudi tu ikiwa mtakubali kuomba msamaha”. Juma alisema
(ii) “Elezeni vile mlivyokuja hapa na namna mtakavyokwenda.” Mwalimu mkuu alisema
(Solved)
Badilisha sentensi hizi hadi usemi wa taarifa:-
(i) “Nitarudi tu ikiwa mtakubali kuomba msamaha”. Juma alisema
(ii) “Elezeni vile mlivyokuja hapa na namna mtakavyokwenda.” Mwalimu mkuu alisema
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Weka sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea:-
Mmea ambao unapandwa katika msimu wa masika unamea
(Solved)
Weka sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea:-
Mmea ambao unapandwa katika msimu wa masika unamea
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi ifuatayo bila kutumia “amba”:- Jitu ambalo linatusumbua sharti liadhibiwe vikali
(Solved)
Andika sentensi ifuatayo bila kutumia “amba”:-
Jitu ambalo linatusumbua sharti liadhibiwe vikali
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya semi hizi :
(i) Kunja jamvi
(ii) Piga kambi
(Solved)
Eleza maana ya semi hizi :
(i) Kunja jamvi
(ii) Piga kambi
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Taja mianzo mitatu tofauti ya ngeli ya U-ZI
(Solved)
Taja mianzo mitatu tofauti ya ngeli ya U-ZI
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi mbili kubainisha maana tofauti ya maneno yafuatayo:-
(i) Kuna
(ii) guna
(Solved)
Tunga sentensi mbili kubainisha maana tofauti ya maneno yafuatayo:-
(i) Kuna
(ii) guna
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika katika hali ya ukubwa
Mwanamke huyu amezaa watoto wanne.
(Solved)
Andika katika hali ya ukubwa
Mwanamke huyu amezaa watoto wanne.
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Unda nomino mbili mbili kutokana na vitenzi vifuatavyo:-(i) abudu(ii) fisidi
(Solved)
Unda nomino mbili mbili kutokana na vitenzi vifuatavyo:-
(i) abudu
(ii) fisidi
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia ‘‘O’’ rejeshi ya kati
Lisemwalo silo liwalo
(Solved)
Tumia ‘‘O’’ rejeshi ya kati
Lisemwalo silo liwalo
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ambayo ina aina za maneno uliyopewa:-
N + V + V + T
(Solved)
Tunga sentensi ambayo ina aina za maneno uliyopewa:-
N + V + V + T
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia – ‘ako’ katika sentensi kama:
i) Kivumishi
ii) Kiwakilishi
iii) Kitenzi
(Solved)
Tumia – ‘ako’ katika sentensi kama:
i) Kivumishi
ii) Kiwakilishi
iii) Kitenzi
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika udogo wa:
Magari yote yaliyobakia yatauzwa na mzee yule mwembamba
(Solved)
Andika udogo wa:
Magari yote yaliyobakia yatauzwa na mzee yule mwembamba
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)