Kijibwa kidogo kimekanyagwa na kigari
maurice.mutuku answered the question on October 7, 2019 at 11:25
-
Tambua kishazi huru na kishazi tegemezi katika sentensi hii :-
Chakula ambacho ni muhimu, huweza kujenga au kobomoa mwili wako.
(Solved)
Tambua kishazi huru na kishazi tegemezi katika sentensi hii :-
Chakula ambacho ni muhimu, huweza kujenga au kobomoa mwili wako.
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Unda nomino kutokana na vitenzi hivi:-
(i) Chapa
(ii) Goma
(Solved)
Unda nomino kutokana na vitenzi hivi:-
(i) Chapa
(ii) Goma
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha shamirisho kipozi, kitondo na ala katika sentensi ifuatayo:
Kamau alimlimia mamake shamba kwa trekta
(Solved)
Onyesha shamirisho kipozi, kitondo na ala katika sentensi ifuatayo:
Kamau alimlimia mamake shamba kwa trekta
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Nyambua kitenzi ‘oa’ katika hali tatu zifuatazo: tendewa, tendwa, tendea
(Solved)
Nyambua kitenzi ‘oa’ katika hali tatu zifuatazo: tendewa, tendwa, tendea
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha viambishi katika neno lifuatalo :-
Kilichokikata
(Solved)
Ainisha viambishi katika neno lifuatalo :-
Kilichokikata
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha ngeli za nomino hizi :-
(i) Kisu
(ii) Nyavu
(iii) Chai
(Solved)
Bainisha ngeli za nomino hizi :-
(i) Kisu
(ii) Nyavu
(iii) Chai
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa kutumia vielelezo vya vishale:
Kiarie ni mwanafunzi mtiifu
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa kutumia vielelezo vya vishale:
Kiarie ni mwanafunzi mtiifu
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi hizi kwa wingi:-
(i) Mtoto huenda shuleni kila siku
(ii) Mwalimu amemfunza mwanafunzi vizuri
(Solved)
Kanusha sentensi hizi kwa wingi:-
(i) Mtoto huenda shuleni kila siku
(ii) Mwalimu amemfunza mwanafunzi vizuri
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha maneno yaliyokopwa toka lugha za kigeni na kuswahilishwa kwa kuyaongezea
irabu kama Bint (Kiarabu) – Binti
Toa mifano minne
(Solved)
Onyesha maneno yaliyokopwa toka lugha za kigeni na kuswahilishwa kwa kuyaongezea
irabu kama Bint (Kiarabu) – Binti
Toa mifano minne
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika upya sentensi hii kwa kuandika kinyume cha kila neno lilipigwa mstari:-
Wifi alipovaa nguo na kusimama ajuza yule alikaa
(Solved)
Andika upya sentensi hii kwa kuandika kinyume cha kila neno lilipigwa mstari:-
Wifi alipovaa nguo na kusimama ajuza yule alikaa
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Geuza sentensi hii hadi udogo:-
Nyoka yule mrefu alifukuzwa na watu wengi
(Solved)
Geuza sentensi hii hadi udogo:-
Nyoka yule mrefu alifukuzwa na watu wengi
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Unda majina mawili mawili kutoka vitenzi hivi na utumie katika sentensi ili
kubainisha maana
(i) Safiri
(ii) Zaa
(Solved)
Unda majina mawili mawili kutoka vitenzi hivi na utumie katika sentensi ili
kubainisha maana
(i) Safiri
(ii) Zaa
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi nne kuonyesha matumizi na maana nne za kijineno ’ki’
(Solved)
Tunga sentensi nne kuonyesha matumizi na maana nne za kijineno ’ki’
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika maana mbili zinazojitokeza katika sentensi hii :-
Alimlilia mwanawe
(Solved)
Andika maana mbili zinazojitokeza katika sentensi hii :-
Alimlilia mwanawe
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Badilisha sentensi hizi hadi usemi wa taarifa:-
(i) “Nitarudi tu ikiwa mtakubali kuomba msamaha”. Juma alisema
(ii) “Elezeni vile mlivyokuja hapa na namna mtakavyokwenda.” Mwalimu mkuu alisema
(Solved)
Badilisha sentensi hizi hadi usemi wa taarifa:-
(i) “Nitarudi tu ikiwa mtakubali kuomba msamaha”. Juma alisema
(ii) “Elezeni vile mlivyokuja hapa na namna mtakavyokwenda.” Mwalimu mkuu alisema
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Weka sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea:-
Mmea ambao unapandwa katika msimu wa masika unamea
(Solved)
Weka sentensi ifuatayo katika hali ya mazoea:-
Mmea ambao unapandwa katika msimu wa masika unamea
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi ifuatayo bila kutumia “amba”:- Jitu ambalo linatusumbua sharti liadhibiwe vikali
(Solved)
Andika sentensi ifuatayo bila kutumia “amba”:-
Jitu ambalo linatusumbua sharti liadhibiwe vikali
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya semi hizi :
(i) Kunja jamvi
(ii) Piga kambi
(Solved)
Eleza maana ya semi hizi :
(i) Kunja jamvi
(ii) Piga kambi
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Taja mianzo mitatu tofauti ya ngeli ya U-ZI
(Solved)
Taja mianzo mitatu tofauti ya ngeli ya U-ZI
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi mbili kubainisha maana tofauti ya maneno yafuatayo:-
(i) Kuna
(ii) guna
(Solved)
Tunga sentensi mbili kubainisha maana tofauti ya maneno yafuatayo:-
(i) Kuna
(ii) guna
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)