(i) Mtu aliyekatwa sikio moja
(ii) Mtu aliye na sehemu mbili za siri
maurice.mutuku answered the question on October 8, 2019 at 05:11
-
Kati ya nomino za Kiswahili taja ngeli mbili ambazo nomino zake hazibadiliki katika umoja
na katika wingi. Kisha utoe mfano mmoja kwa kila ngeli
(Solved)
Kati ya nomino za Kiswahili taja ngeli mbili ambazo nomino zake hazibadiliki katika umoja
na katika wingi. Kisha utoe mfano mmoja kwa kila ngeli
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ni nini maana ya neno kirai ?
(Solved)
Ni nini maana ya neno kirai ?
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Nyambua vitenzi hivi kulingna na kauli ya kutendua na kutendama
(Solved)
Nyambua vitenzi hivi kulingna na kauli ya kutendua na kutendama
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mishale.
Hakimu alimwadhibu kinyama.
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mishale.
Hakimu alimwadhibu kinyama.
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ngeli ya LI-YA hujumulisha nomino za vitu vya aina mbalimbali. Toa mifano minne
ambayo ni tofauti na uelezee
(Solved)
Ngeli ya LI-YA hujumulisha nomino za vitu vya aina mbalimbali. Toa mifano minne
ambayo ni tofauti na uelezee
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tambulisha aina za vitenzi vilivyotumika katika asentensi hizi
(i) Kazi hii ni nzuri.
(ii) Mazingira yamekuwa yakihifadhiwa.
(Solved)
Tambulisha aina za vitenzi vilivyotumika katika asentensi hizi
(i) Kazi hii ni nzuri.
(ii) Mazingira yamekuwa yakihifadhiwa.
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ya neno moja yenye mofimu zifuatazo
(i) Nafsi ya tatu umoja
(ii) Wakati uliopita
(iii) ‘O’ rejeshi
(iv) kitendwa
(v) mzizi
(vi) kiishio
(Solved)
Tunga sentensi ya neno moja yenye mofimu zifuatazo
(i) Nafsi ya tatu umoja
(ii) Wakati uliopita
(iii) ‘O’ rejeshi
(iv) kitendwa
(v) mzizi
(vi) kiishio
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja moja kuonyesha tofauti kati ya vitate vifuatavyo:
(i) Pamba
(ii) Bamba
(Solved)
Tunga sentensi moja moja kuonyesha tofauti kati ya vitate vifuatavyo:
(i) Pamba
(ii) Bamba
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika kwa umoja
Uovu waliotuonyesha hautasahaulika
(Solved)
Andika kwa umoja
Uovu waliotuonyesha hautasahaulika
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi ifuatayo katika udogo:
Mbwa mdogo amekanyagwa na gari.
(Solved)
Andika sentensi ifuatayo katika udogo:
Mbwa mdogo amekanyagwa na gari.
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tambua kishazi huru na kishazi tegemezi katika sentensi hii :-
Chakula ambacho ni muhimu, huweza kujenga au kobomoa mwili wako.
(Solved)
Tambua kishazi huru na kishazi tegemezi katika sentensi hii :-
Chakula ambacho ni muhimu, huweza kujenga au kobomoa mwili wako.
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Unda nomino kutokana na vitenzi hivi:-
(i) Chapa
(ii) Goma
(Solved)
Unda nomino kutokana na vitenzi hivi:-
(i) Chapa
(ii) Goma
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha shamirisho kipozi, kitondo na ala katika sentensi ifuatayo:
Kamau alimlimia mamake shamba kwa trekta
(Solved)
Onyesha shamirisho kipozi, kitondo na ala katika sentensi ifuatayo:
Kamau alimlimia mamake shamba kwa trekta
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Nyambua kitenzi ‘oa’ katika hali tatu zifuatazo: tendewa, tendwa, tendea
(Solved)
Nyambua kitenzi ‘oa’ katika hali tatu zifuatazo: tendewa, tendwa, tendea
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ainisha viambishi katika neno lifuatalo :-
Kilichokikata
(Solved)
Ainisha viambishi katika neno lifuatalo :-
Kilichokikata
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha ngeli za nomino hizi :-
(i) Kisu
(ii) Nyavu
(iii) Chai
(Solved)
Bainisha ngeli za nomino hizi :-
(i) Kisu
(ii) Nyavu
(iii) Chai
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa kutumia vielelezo vya vishale:
Kiarie ni mwanafunzi mtiifu
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa kutumia vielelezo vya vishale:
Kiarie ni mwanafunzi mtiifu
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi hizi kwa wingi:-
(i) Mtoto huenda shuleni kila siku
(ii) Mwalimu amemfunza mwanafunzi vizuri
(Solved)
Kanusha sentensi hizi kwa wingi:-
(i) Mtoto huenda shuleni kila siku
(ii) Mwalimu amemfunza mwanafunzi vizuri
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha maneno yaliyokopwa toka lugha za kigeni na kuswahilishwa kwa kuyaongezea
irabu kama Bint (Kiarabu) – Binti
Toa mifano minne
(Solved)
Onyesha maneno yaliyokopwa toka lugha za kigeni na kuswahilishwa kwa kuyaongezea
irabu kama Bint (Kiarabu) – Binti
Toa mifano minne
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Andika upya sentensi hii kwa kuandika kinyume cha kila neno lilipigwa mstari:-
Wifi alipovaa nguo na kusimama ajuza yule alikaa
(Solved)
Andika upya sentensi hii kwa kuandika kinyume cha kila neno lilipigwa mstari:-
Wifi alipovaa nguo na kusimama ajuza yule alikaa
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)