i) Ukoo/ nasaha – hawa ni watu wa mlango/ wa samba
ii) Kifungu katika Biblia – Kitabu cha Yohana mlango wa 3 mstari wa 4
maurice.mutuku answered the question on October 8, 2019 at 06:26
-
Andika sentensi tatu ambazo zaweza kuwa sahihisho la sentensi hii
Pale ndiko alimoingia
(Solved)
Andika sentensi tatu ambazo zaweza kuwa sahihisho la sentensi hii
Pale ndiko alimoingia
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Panga nomino hizi katika ngeli mwafaka
(i) Kipofu- .
(ii) Uyoga- .
(Solved)
Panga nomino hizi katika ngeli mwafaka
(i) Kipofu- .
(ii) Uyoga- .
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya misemo:
(i) Fuga mtu –
(ii) Kuwa na faragha -
(Solved)
Eleza maana ya misemo:
(i) Fuga mtu –
(ii) Kuwa na faragha -
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha maana mbili ya neno taka
(Solved)
Onyesha maana mbili ya neno taka
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi ifuatayo kwa udogo Mbuzi wake ana manyoya mengi na harufu kali
(Solved)
Kanusha sentensi ifuatayo kwa udogo
Mbuzi wake ana manyoya mengi na harufu kali
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha kishazi huru na kishazi tegemezi katika sentensi ifuatayo Darasa lililojengwa limefunguliwa rasmi
(Solved)
Bainisha kishazi huru na kishazi tegemezi katika sentensi ifuatayo
Darasa lililojengwa limefunguliwa rasmi
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Kamilisha na kueleza maana ya methali hii Mfinyanzi -...........
(Solved)
Kamilisha na kueleza maana ya methali hii
Mfinyanzi -...........
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Irabu a, i, na u hutamkwa wapi kwenye ulimi?
(Solved)
Irabu a, i, na u hutamkwa wapi kwenye ulimi?
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbilimbili za sentensi zifuatazo;
(i) Bibi yake amefika
(ii) Alimpigia mpira
(Solved)
Eleza maana mbilimbili za sentensi zifuatazo;
(i) Bibi yake amefika
(ii) Alimpigia mpira
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya matawi Abiria waliojeruhiwa sana walipelekwa hospitali haraka
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya matawi
Abiria waliojeruhiwa sana walipelekwa hospitali haraka
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Andika vinyume vya vitenzi vilivyopigwa mistari
(i) Alikashifiwa kwa kazi aliyofanya
(ii) Kuimba kulifurahisha hadhira
(Solved)
Andika vinyume vya vitenzi vilivyopigwa mistari
(i) Alikashifiwa kwa kazi aliyofanya
(ii) Kuimba kulifurahisha hadhira
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Wafuatao wana ulemavu upi?
(i) Toinyo
(ii) Huntha
(Solved)
Wafuatao wana ulemavu upi?
(i) Toinyo
(ii) Huntha
Date posted:
October 8, 2019
.
Answers (1)
-
Kati ya nomino za Kiswahili taja ngeli mbili ambazo nomino zake hazibadiliki katika umoja
na katika wingi. Kisha utoe mfano mmoja kwa kila ngeli
(Solved)
Kati ya nomino za Kiswahili taja ngeli mbili ambazo nomino zake hazibadiliki katika umoja
na katika wingi. Kisha utoe mfano mmoja kwa kila ngeli
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ni nini maana ya neno kirai ?
(Solved)
Ni nini maana ya neno kirai ?
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Nyambua vitenzi hivi kulingna na kauli ya kutendua na kutendama
(Solved)
Nyambua vitenzi hivi kulingna na kauli ya kutendua na kutendama
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mishale.
Hakimu alimwadhibu kinyama.
(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mishale.
Hakimu alimwadhibu kinyama.
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Ngeli ya LI-YA hujumulisha nomino za vitu vya aina mbalimbali. Toa mifano minne
ambayo ni tofauti na uelezee
(Solved)
Ngeli ya LI-YA hujumulisha nomino za vitu vya aina mbalimbali. Toa mifano minne
ambayo ni tofauti na uelezee
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tambulisha aina za vitenzi vilivyotumika katika asentensi hizi
(i) Kazi hii ni nzuri.
(ii) Mazingira yamekuwa yakihifadhiwa.
(Solved)
Tambulisha aina za vitenzi vilivyotumika katika asentensi hizi
(i) Kazi hii ni nzuri.
(ii) Mazingira yamekuwa yakihifadhiwa.
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ya neno moja yenye mofimu zifuatazo
(i) Nafsi ya tatu umoja
(ii) Wakati uliopita
(iii) ‘O’ rejeshi
(iv) kitendwa
(v) mzizi
(vi) kiishio
(Solved)
Tunga sentensi ya neno moja yenye mofimu zifuatazo
(i) Nafsi ya tatu umoja
(ii) Wakati uliopita
(iii) ‘O’ rejeshi
(iv) kitendwa
(v) mzizi
(vi) kiishio
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja moja kuonyesha tofauti kati ya vitate vifuatavyo:
(i) Pamba
(ii) Bamba
(Solved)
Tunga sentensi moja moja kuonyesha tofauti kati ya vitate vifuatavyo:
(i) Pamba
(ii) Bamba
Date posted:
October 7, 2019
.
Answers (1)