Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Andika upya sentensi zifuatazo kulingana na maelezo. i) Sikusoma kwa bidii ndiposa sikufaulu katika mtihani ule. (Anza: Ningalisoma …………………………………………) ii) Anakuja (andika katika wakati ujao hali timilifu)

      

Andika upya sentensi zifuatazo kulingana na maelezo.
i) Sikusoma kwa bidii ndiposa sikufaulu katika mtihani ule.
(Anza: Ningalisoma …………………………………………)

ii) Anakuja (andika katika wakati ujao hali timilifu)

  

Answers


Maurice
i) Ningalisoma kwa bidii ningalifaulu katika mtihani ule .

ii) Atakuwa amekuja.
maurice.mutuku answered the question on October 8, 2019 at 08:37


Next: Taja maana ya maneno yaliyopigwa mistari. Tulipogawa mkate kila mtu alipata sehemu moja kwa nane tu kwani tulikuwa wanane
Previous: Eleza maana ya neno chungu kama lilivyotumiwa katika sentensi zifuatazo. i) Chungu yule ni mkubwa. ii) Chungu kile ni kikubwa.

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions