Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Fafanua changamoto tano zinazozuia maenezi ya haraka ya lugha ya Kiswahili

      

Fafanua changamoto tano zinazozuia maenezi ya haraka ya lugha ya Kiswahili

  

Answers


Maurice
-Mashindano na lugha zingine kama Kingereza.

- Kasumba kwamba lugha ya kiswahili ni duni/ya watu wasiosoma.

-Sura mbovu za serikali

-Ukosefu wa taasisi maalum za kuendeleza kiswahili.

-Matumizi ya ‘sheng’ yanadidimiza kiswahili
maurice.mutuku answered the question on October 8, 2019 at 10:17


Next: Fafanua mikakati mitano inayoweza kuchapuza kukua na kuenea kwa kiswahili nchini Kenya
Previous: Niaje wasee! Ma-holiday ndizo hizo tena. Najua ma-mission ni mingi! Lakini jo, mambo imebadilika ! Ni kubaya maze. Usifikirie kila kitu unaona ni reality, ukadhani ni...

View More Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions