(i)Kitenzi kisaidizi – Amekuwa akicheza mpria.
(ii)Kitenzi kishirikishi – Ali amekuwa mwizi.
Kavungya answered the question on October 21, 2019 at 05:50
-
Onyesha vishazi katika sentensi ifuatayo kisha uelezee ni vya aina gani.
Ajapo tutamlaki kwa shangwe.
(Solved)
Onyesha vishazi katika sentensi ifuatayo kisha uelezee ni vya aina gani.
Ajapo tutamlaki kwa shangwe.
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Neno lifuatalo liko katika ngeli gani?
Matukio
(Solved)
Neno lifuatalo liko katika ngeli gani?
Matukio
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Viambishi vilivyopigiwa mstari vinawakilisha dhana zipi za kisarufi?
i)Udhaifu
ii)Walani?
(Solved)
Viambishi vilivyopigiwa mstari vinawakilisha dhana zipi za kisarufi?
i)Udhaifu
ii)Walani?
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza ni kwa nini neno umma ni la asili ya kigeni.
(Solved)
Eleza ni kwa nini neno umma ni la asili ya kigeni.
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Taja maneno yenye miundo ifuatayo ya silabi.
(i)KKKI
(ii)Irabu pekee (II)
(Solved)
Taja maneno yenye miundo ifuatayo ya silabi.
(i)KKKI
(ii)Irabu pekee (II)
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Taja mambo yoyote manne yanayofanywa na serikali yetu kuimarisha lugha ya Kiswahili
(Solved)
Taja mambo yoyote manne yanayofanywa na serikali yetu kuimarisha lugha ya Kiswahili
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha katika ukubwa
Mwizi huyu aliiba kisu na ng’ombe wa mwanamke yule.
(Solved)
Kanusha katika ukubwa
Mwizi huyu aliiba kisu na ng’ombe wa mwanamke yule.
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti iliyopo kati ya sentensi hiziTulipofika hotelini tulipewa soda na chupaTulipofika hotelini tulipewa soda kwa chupa
(Solved)
Eleza tofauti iliyopo kati ya sentensi hizi
Tulipofika hotelini tulipewa soda na chupa
Tulipofika hotelini tulipewa soda kwa chupa
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya sentensi hii
Ningalikuwa na pesa ningalinunua gari na ningalistarehe.
(Solved)
Eleza maana ya sentensi hii
Ningalikuwa na pesa ningalinunua gari na ningalistarehe.
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Andika neno lenye maana sawa na
Hawala
Katani
(Solved)
Andika neno lenye maana sawa na
Hawala
Katani
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha matumizi ya kiimbo katika sentensi hii
Ondoka hapa!
(Solved)
Onyesha matumizi ya kiimbo katika sentensi hii
Ondoka hapa!
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza sifa mbili za vishazi tegemezi.
(Solved)
Eleza sifa mbili za vishazi tegemezi.
Date posted:
October 16, 2019
.
Answers (1)
-
Bainisha aina za vitenzi katika sentensi ifuatayo.
Walimu ni watu wasiopendwa wanaposema ukweli kuhusu wanafunzi
(Solved)
Bainisha aina za vitenzi katika sentensi ifuatayo.
Walimu ni watu wasiopendwa wanaposema ukweli kuhusu wanafunzi
Date posted:
October 16, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha virai katika sentensi zifuatazo na ueleze ni vya aina gani.
i) Anachukia kusoma riwaya yenye masuala ya kisiasa.
ii) Watoto wa kike hudunishwa katika jamii...
(Solved)
Onyesha virai katika sentensi zifuatazo na ueleze ni vya aina gani.
i) Anachukia kusoma riwaya yenye masuala ya kisiasa.
ii) Watoto wa kike hudunishwa katika jamii nyingi
Date posted:
October 16, 2019
.
Answers (1)
-
Yakinisha katika nafsi ya tatu wingi
Sijasafiri kwenda marekani
(Solved)
Yakinisha katika nafsi ya tatu wingi
Sijasafiri kwenda marekani
Date posted:
October 16, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi ifuatayo kwa wingi, wakati uliopita hali ya kuendelea
Mwalimu humuadhibu mwanafunzi mwenye hatia.
(Solved)
Andika sentensi ifuatayo kwa wingi, wakati uliopita hali ya kuendelea
Mwalimu humuadhibu mwanafunzi mwenye hatia.
Date posted:
October 16, 2019
.
Answers (1)
-
Weka nomino hizi katika ngeli zake
Mbalungi
Mturuki
(Solved)
Weka nomino hizi katika ngeli zake
Mbalungi
Mturuki
Date posted:
October 16, 2019
.
Answers (1)
-
Andika sentensi hii katika msemo halisi
Mwalimu alimuambia mwanafunzi amalize kazi hiyo haraka
(Solved)
Andika sentensi hii katika msemo halisi
Mwalimu alimuambia mwanafunzi amalize kazi hiyo haraka
Date posted:
October 16, 2019
.
Answers (1)
-
Taja sifa tatu kuu za sauti /k/
(Solved)
Taja sifa tatu kuu za sauti /k/
Date posted:
October 16, 2019
.
Answers (1)
-
Nidhamu ni kitu cha maana sana maishani mwa binadamu. Kila mwanafunzi anapaswa kuwa na nidhamu ya hali ya juu...
(Solved)
Soma kifungu kisha uyajibu maswali yanayofuata.
Nidhamu ni kitu cha maana sana maishani mwa binadamu. Kila mwanafunzi anapaswa kuwa na nidhamu ya hali ya juu sana.Akiwa na nidhamu hiyo, atakuwa mtu mwadilifu, anayeweza kustahiwa na kusadikika katika mambo, shughuli na hali tofauti.
Kwanza, mtoto mwenye nidhamu huwa kama anga au nuru nyumbani mwao, shuleni na pia katika jamii.Watu wote wanampenda na kumheshimu. Wazee kwa vijulanga wote wanamtegemea kama msimamizi wa mambo nyeti ya maisha yao. Kwa hivyo, ni dhahiri shahiri kwamba mwadilifu hunufaika sana, kinyume na mkaidi ambaye wahenga walimwambia kwamba atakosa kufaidi hadi siku ya Idi.
Pili, huwadia nyakati ambapo huwa kuna jambo la busara, mathalani jukumu ama dhima fulani ambayo huhitaji tu mwakilishi mmoja darasani, shuleni au katika jamii. Watu hapana shaka watamteua yule mwadilifu kuchukua nafasi kama hiyo. Ndio maana viranja wanaoteuliwa shuleni, huwa ni wanagenzi ambao tayari wamekwisha tiliwa katika mizani na kupigwa msasa madhubuti.
Vile vile, mwadalifu daima atajiepusha na shutuma na majanja yote yanayoweza kuchipuka. Kuna msemo maarufu, kwa busara yake iliyobusarisha mwadilifu kwamba “aliye kando haangukiwi na mti.”Pia waliambiwa kwamba, “ pilipili usiyoila yakuwashiani?”
Ni bayana kutokana na misemo hiyo miwili kwamba mwenye nidhamu hawezi kuhusishwa na majanga hatari yanayoweza kuyakumba watu.
Walakini ni vyema kujiuliza, je, nidhamu huanzia wapi, na kwa nini kuna baadhi ya ‘watoro’ ambao ni utovu wa nidhamu? Utovu wa nidhamu huanzia awali sana maishani mwa mja. Mtoto anapozaliwa, anategemea miongozo na mielekeo ya watu wazima ambao wakomazingirani mwake.Ndipo wakale wale waliokaramka walisema kwamba mtoto akibebwa, hutazama kisogo cha nina.
Hivi ni kusema kwamba, nidhamu au utovu wa nidhamu huanzia nyumbani hadi shuleni, kisha hupanuka hadi kufikia kiwango ambapo mja anatangamana na watu wote katika maisha yake.Ikiwa sehemu moja ya ukuaji wa nidhamu maishani mwa mja itasambaratika, basi hawezi akawa mkamilifu kinidhamu maishani mwake.
Kwa vile ni bayana kwamba mabaya yote ayatendayo duniani hulipwa na Mola papa hapa duniani,watovu wa nidhamu wote huishia kuangamia, ama kujuta mno kwa amali zao potovu.Ni kheri mja kujihidi mwenyewe, kwani uhalifu haulipi chochote.
a) Nini umuhimu wa nidhamu? (maneno kati ya 50-55)
Matayarisho
Jibu
(b) Bila kubadilisha maana, fupisha aya nne za mwisho. (tumia maneno 55-60)
Matayarisho
Jibu
Date posted:
October 16, 2019
.
Answers (1)