Nomino ni neno linalotaja watu, vitu, viumbe mimea, dhana na mahali.
Kavungya answered the question on October 21, 2019 at 06:12
-
Eleza maana tatu zinazopatikana katika sentensi hii.
Alikuwa amenijuza kuwa angefika kwao.
(Solved)
Eleza maana tatu zinazopatikana katika sentensi hii.
Alikuwa amenijuza kuwa angefika kwao.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya kwa katika sentensi hii.
Kwa nini umeishi kwao kwa miaka mingi?
(Solved)
Eleza matumizi ya kwa katika sentensi hii.
Kwa nini umeishi kwao kwa miaka mingi?
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia kivumishi kionyeshi cha karibu pamoja na nomino katika ngeli ya I-ZI kisha utunge sentensi katika ukubwa - wingi.
(Solved)
Tumia kivumishi kionyeshi cha karibu pamoja na nomino katika ngeli ya I-ZI kisha utunge sentensi katika ukubwa - wingi.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza dhana ya shamirisho.
(Solved)
Eleza dhana ya shamirisho.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Nyambua kitenzi ja katika kauli ya kutendewa kisha utunge sentensi.
(Solved)
Nyambua kitenzi ja katika kauli ya kutendewa kisha utunge sentensi.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Weka kirejeshi ‘O’ tamati kwenye kitenzi chunga kisha ukitungie sentensi.
(Solved)
Weka kirejeshi ‘O’ tamati kwenye kitenzi chunga kisha ukitungie sentensi.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja kubainisha matumizi ya ‘na’ kama.
(i)Kihusishi cha ‘na’ ya mtenda.
(ii)Kiunganishi
(Solved)
Tunga sentensi moja kubainisha matumizi ya ‘na’ kama.
(i)Kihusishi cha ‘na’ ya mtenda.
(ii)Kiunganishi
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia mzizi –w- katika sentensi kama:
(i)Kitenzi kisaidizi.
(ii)Kitenzi Kishirikishi.
(Solved)
Tumia mzizi –w- katika sentensi kama:
(i)Kitenzi kisaidizi.
(ii)Kitenzi Kishirikishi.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha vishazi katika sentensi ifuatayo kisha uelezee ni vya aina gani.
Ajapo tutamlaki kwa shangwe.
(Solved)
Onyesha vishazi katika sentensi ifuatayo kisha uelezee ni vya aina gani.
Ajapo tutamlaki kwa shangwe.
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Neno lifuatalo liko katika ngeli gani?
Matukio
(Solved)
Neno lifuatalo liko katika ngeli gani?
Matukio
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Viambishi vilivyopigiwa mstari vinawakilisha dhana zipi za kisarufi?
i)Udhaifu
ii)Walani?
(Solved)
Viambishi vilivyopigiwa mstari vinawakilisha dhana zipi za kisarufi?
i)Udhaifu
ii)Walani?
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza ni kwa nini neno umma ni la asili ya kigeni.
(Solved)
Eleza ni kwa nini neno umma ni la asili ya kigeni.
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Taja maneno yenye miundo ifuatayo ya silabi.
(i)KKKI
(ii)Irabu pekee (II)
(Solved)
Taja maneno yenye miundo ifuatayo ya silabi.
(i)KKKI
(ii)Irabu pekee (II)
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Taja mambo yoyote manne yanayofanywa na serikali yetu kuimarisha lugha ya Kiswahili
(Solved)
Taja mambo yoyote manne yanayofanywa na serikali yetu kuimarisha lugha ya Kiswahili
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha katika ukubwa
Mwizi huyu aliiba kisu na ng’ombe wa mwanamke yule.
(Solved)
Kanusha katika ukubwa
Mwizi huyu aliiba kisu na ng’ombe wa mwanamke yule.
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti iliyopo kati ya sentensi hiziTulipofika hotelini tulipewa soda na chupaTulipofika hotelini tulipewa soda kwa chupa
(Solved)
Eleza tofauti iliyopo kati ya sentensi hizi
Tulipofika hotelini tulipewa soda na chupa
Tulipofika hotelini tulipewa soda kwa chupa
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya sentensi hii
Ningalikuwa na pesa ningalinunua gari na ningalistarehe.
(Solved)
Eleza maana ya sentensi hii
Ningalikuwa na pesa ningalinunua gari na ningalistarehe.
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Andika neno lenye maana sawa na
Hawala
Katani
(Solved)
Andika neno lenye maana sawa na
Hawala
Katani
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha matumizi ya kiimbo katika sentensi hii
Ondoka hapa!
(Solved)
Onyesha matumizi ya kiimbo katika sentensi hii
Ondoka hapa!
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza sifa mbili za vishazi tegemezi.
(Solved)
Eleza sifa mbili za vishazi tegemezi.
Date posted:
October 16, 2019
.
Answers (1)