Trusted since 2008
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii. i)Lugha ya taifa (ii)Lugha ya ishara (iii)Lugha mwiko (iv)Sajili za lugha (v)Uchanganyaji msimbo.

Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i)Lugha ya taifa
(ii)Lugha ya ishara
(iii)Lugha mwiko
(iv)Sajili za lugha
(v)Uchanganyaji msimbo.

Answers


Kavungya
Lugha ya taifa – Ni lugha iliyotenliwa kama kitambulisho na ustaarabu wa taifa zima.
Lugha ishara – Ni lugha inayotumia ishara kama mikono, uso ni macho katika kuwasiliana.
Lugha mwiko – Lugha inayomfunga mtu kuitumia kwa mujibu wa jamii yake.
Sajili za lugha – Mitindo mbalimbali ya matumizi ya ile lugha moja.
Uchanganyaji msimbo – Ni hali ambapo wazungumzaji wa lugha wanazungumza katika
lugha moja kisha hapa na pale wanatoka kidogo katika lugha hiyo na kuingilia lugha
ya pili au ya tatu kwa muda mfupi na kisha kurejelea lugha ya awali.
Kavungya answered the question on October 21, 2019 at 06:18

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions