
a) Anwani – Hatari za ugonjwa wa Ukimwi.
b) Hofu – Kukonda sana kwa waathiriwa.
Awali waliofariki kutokana na ukimwi hawakuwa wakizikwa na jamaa zao
c) -Awali watu waliwaona wagonjwa hao kama waasi au wahalifu waliojiletea balaa.
- Walistahili kuepukwa kabisa kwa hofu ya kuwaambukiza wengine viini vya maradhi ya ukimwi.
d) - Kuhusika katika ngono na mtu aliyeambukizwa virusi vya ukimwi.
- Athari ya kuwa na wapenzi wengine.
- Matumizi ya vifaa vyenye makali na watu wenye virusi vya ukimwi.
- Mama mtu aweza kuzambaza viini hivyo kwa mtoto wake wakati anapojifungua na kumnyonyesha.
- Mtu anapotiwa damu yenye virusi vya ukimwi huambukizwa mara moja.
e)- Kutofanya mapenzi kiholela bila kutumia kinga yoyote.
-Kutoshirikiana na watu wanaougua ugonjwa huu katika matumizi ya vifaa vyenye makali.
-Kuwa waaminifu na kumcha Mwenyezi Mungu.
f)i ) Wauguzi – wanaowahudumia na kuwaangalia vizuri wagonjwa katika hospitali au zahanati.
ii)Makali – sehemu ya kifaa k.m kisu inayoweza kukata.
iii)Virusi – viini vinavyosababisha ugonjwa kama ukimwi.
iv)Ndwele – ugonjwa, maradhi
v)Janga – balaa, shida, tabu, matata.
Kavungya answered the question on October 29, 2019 at 08:18
-
Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i)Lugha ya taifa
(ii)Lugha ya ishara
(iii)Lugha mwiko
(iv)Sajili za lugha
(v)Uchanganyaji msimbo.
(Solved)
Eleza maana ya istilahi zifuatazo za isimu jamii.
i)Lugha ya taifa
(ii)Lugha ya ishara
(iii)Lugha mwiko
(iv)Sajili za lugha
(v)Uchanganyaji msimbo.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
ISIMU JAMII
Ali: Wee kuja hapa. Wewe ni nani? Sema haraka!
Ebo: Mimi … ni … afande ni Ebo
Ali: Unatoka wapi sa ii? Hapa hakuna sheria?
Ebo:...
(Solved)
ISIMU JAMII
Ali: Wee kuja hapa. Wewe ni nani? Sema haraka!
Ebo: Mimi … ni … afande ni Ebo
Ali: Unatoka wapi sa ii? Hapa hakuna sheria?
Ebo: Samahani mkubwa. Mimi niku…
Ali: Mkubwa wa nani? Wakubwa wako ofisini.
Ebo: Pole mzee.
Ali: Mzee gani? Hii mtu lazima niiwekwa store. Yaani self-contained.
Toa viatu.
Ebo: Tafadhali Bwana Askari, nilichelewa …
Ali: Mimi sitaki hadithi! Hizo pelekea nyanya yako, eh. Fanya haraka!
Ebo: Naomba mkubwa …
Ali: Hapa si kanisani. Unaomba! Hata …
Fafanua sifa tano za sajili hii.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya nomino.
(Solved)
Eleza maana ya nomino.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana tatu zinazopatikana katika sentensi hii.
Alikuwa amenijuza kuwa angefika kwao.
(Solved)
Eleza maana tatu zinazopatikana katika sentensi hii.
Alikuwa amenijuza kuwa angefika kwao.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza matumizi ya kwa katika sentensi hii.
Kwa nini umeishi kwao kwa miaka mingi?
(Solved)
Eleza matumizi ya kwa katika sentensi hii.
Kwa nini umeishi kwao kwa miaka mingi?
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia kivumishi kionyeshi cha karibu pamoja na nomino katika ngeli ya I-ZI kisha utunge sentensi katika ukubwa - wingi.
(Solved)
Tumia kivumishi kionyeshi cha karibu pamoja na nomino katika ngeli ya I-ZI kisha utunge sentensi katika ukubwa - wingi.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza dhana ya shamirisho.
(Solved)
Eleza dhana ya shamirisho.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Nyambua kitenzi ja katika kauli ya kutendewa kisha utunge sentensi.
(Solved)
Nyambua kitenzi ja katika kauli ya kutendewa kisha utunge sentensi.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Weka kirejeshi ‘O’ tamati kwenye kitenzi chunga kisha ukitungie sentensi.
(Solved)
Weka kirejeshi ‘O’ tamati kwenye kitenzi chunga kisha ukitungie sentensi.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja kubainisha matumizi ya ‘na’ kama.
(i)Kihusishi cha ‘na’ ya mtenda.
(ii)Kiunganishi
(Solved)
Tunga sentensi moja kubainisha matumizi ya ‘na’ kama.
(i)Kihusishi cha ‘na’ ya mtenda.
(ii)Kiunganishi
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Tumia mzizi –w- katika sentensi kama:
(i)Kitenzi kisaidizi.
(ii)Kitenzi Kishirikishi.
(Solved)
Tumia mzizi –w- katika sentensi kama:
(i)Kitenzi kisaidizi.
(ii)Kitenzi Kishirikishi.
Date posted:
October 21, 2019
.
Answers (1)
-
Onyesha vishazi katika sentensi ifuatayo kisha uelezee ni vya aina gani.
Ajapo tutamlaki kwa shangwe.
(Solved)
Onyesha vishazi katika sentensi ifuatayo kisha uelezee ni vya aina gani.
Ajapo tutamlaki kwa shangwe.
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Neno lifuatalo liko katika ngeli gani?
Matukio
(Solved)
Neno lifuatalo liko katika ngeli gani?
Matukio
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Viambishi vilivyopigiwa mstari vinawakilisha dhana zipi za kisarufi?
i)Udhaifu
ii)Walani?
(Solved)
Viambishi vilivyopigiwa mstari vinawakilisha dhana zipi za kisarufi?
i)Udhaifu
ii)Walani?
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza ni kwa nini neno umma ni la asili ya kigeni.
(Solved)
Eleza ni kwa nini neno umma ni la asili ya kigeni.
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Taja maneno yenye miundo ifuatayo ya silabi.
(i)KKKI
(ii)Irabu pekee (II)
(Solved)
Taja maneno yenye miundo ifuatayo ya silabi.
(i)KKKI
(ii)Irabu pekee (II)
Date posted:
October 18, 2019
.
Answers (1)
-
Taja mambo yoyote manne yanayofanywa na serikali yetu kuimarisha lugha ya Kiswahili
(Solved)
Taja mambo yoyote manne yanayofanywa na serikali yetu kuimarisha lugha ya Kiswahili
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Kanusha katika ukubwa
Mwizi huyu aliiba kisu na ng’ombe wa mwanamke yule.
(Solved)
Kanusha katika ukubwa
Mwizi huyu aliiba kisu na ng’ombe wa mwanamke yule.
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti iliyopo kati ya sentensi hiziTulipofika hotelini tulipewa soda na chupaTulipofika hotelini tulipewa soda kwa chupa
(Solved)
Eleza tofauti iliyopo kati ya sentensi hizi
Tulipofika hotelini tulipewa soda na chupa
Tulipofika hotelini tulipewa soda kwa chupa
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya sentensi hii
Ningalikuwa na pesa ningalinunua gari na ningalistarehe.
(Solved)
Eleza maana ya sentensi hii
Ningalikuwa na pesa ningalinunua gari na ningalistarehe.
Date posted:
October 17, 2019
.
Answers (1)