Trusted since 2008
Study resources on Kenyaplex

Get ready-made curriculum aligned revision materials

Exam papers, notes, holiday assignments and topical questions – all aligned to the Kenyan curriculum.

Fafanua sababu tatu zilizochochea usanifishaji wa lugha ya Kiswahili kabla ya uhuru .

Fafanua sababu tatu zilizochochea usanifishaji wa lugha ya Kiswahili kabla ya uhuru .

Answers


Kavungya
1)Haja ya Kiswahili kutumika katika shughuli rasmi za kielimu katika ngazi za kitaifa na kimataifa.
2)Haja ya kutumia Kiswahili katika idhaa za kupeperusha matangazo katika BBC, Avoa, Radio China na idhaa za hapa maeneo ya Afrika mashariki.
3)Haja ya kutumia Kiswahili katika shughuli za kibiashara na kisiasa katika Afrika mahsariki na kote duniani.
4)Kwingine kama Tanzania Kiswahili kilihitajika kutumika kuendesha shughuli bungeni.
5)Katika uandishi wa majarida, magazeti na vitabu.
6)Kiswahili kilihitajika kama lugha rasmi katika muungano wa Afrika mashariki.
Kavungya answered the question on October 29, 2019 at 10:08

Answer Attachments

Exams With Marking Schemes

Related Questions