Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Sera ya lugha ya uingereza ilitatiza kukua nakuenea kwa Kiswahili nchini Kenya “ jadili kauli hii kwa tafsili

      

Sera ya lugha ya uingereza ilitatiza kukua nakuenea kwa Kiswahili nchini Kenya “ jadili kauli hii kwa tafsili

  

Answers


Faith
Kusudi la waingereza nchini nchini Kenya ilikuwa kudidimiza Kiswahili tangu mwanza wa utawala wao (Ndongo na Mwai1991:145)walitatiza maenezi ya Kiswahili kwa njia zifuatazo.

Kwanza walitumia Kiswahili kuendesha shughuli zao za kawaida k.m kuwekeana mikataba uliowekwa miongoni mwa kampuni ya Imperial British East Africa (I.B.E.A) na kutunga kiongozi wa ukambani mnamo mwaka wa 1887 uliandikwa katika Kiswahili na bwana Bashir Mchangamwe.

Pili waingereza waliwatawala wenyeji kimabavu huku wakitumia waswahili hivyo Kiswahili kilihusishwa na utawala wa dhuluma kwa sababu hii, watu wengi wa bara walianza kupinga Kiswahili na kukizuia kuenea. Wenyeji wa bara waliwaona waswahili kama watu wadanganyifu waliotumiwa na waingereza kama vigaragosi au vibaraka ili kuimarisha utawala wa kikoloni kufika leo kuna baadhi ya watu wanaoamini kwamba mswahili ni mtu asiyeaminika pamoja na lugha yake eti asili yake haijulikani , lugha yake hutumika kuwadangaya watu na hivyo basi mtu yeyote anayezungumza lugha hii haaminiki. Hii ndio sababu anapozungumza na mtu haamini ukweli wa yale anayosema, huenda akakuambia kuwa “wewe ni mswahili” au “usiniletee uswahili chako” kwa hivyo waingereza walitatiza kuenea na kukua kwa Kiswahili

Tatu, katika elimu waingereza walisisitiza matumizi ya kingereza na lugha za kwanza huku wakipuuza Kiswahili sera hii iliimarisha Zaidi. Hasa baada ya vita vikuu vya pili ambapo serikali ya kikoloni cha kuwaunganisha dhidi ya wakoloni kwa hivyo walianza kuhimiza matumizi ya lugha ya kwanza shuleni ili kuwagawanya wakenya katika misingi ya kikabila ndipo waweze kuwatawala bila shida kulingana na Chache Nyoigol Cheche (2001) waingereza walikuwa maadui wakubwa wa kiswahili kwa sababu sera zao hazikuwa na mwelekeo mzuri hasa nchini Kenya walifurahia kuwaona watalii

Titany answered the question on December 6, 2021 at 08:24


Next: Eleza kwa nn wafanya biashara waarabu walfanikiwa sana kueneza Kiswahili nchini Tanganyika kuliko Kenya
Previous: Wajerumani na Wamishonari walikuwa marafiki wakubwa wa Kiswahili? Jadili kauli hii uku ukieleza jinsi walivyochangia maenezi ya lugha hii katika afrika mashariki

View More Historical Development of Kiswahili Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions