(i)Nukta -kitone/kikomo.
(ii)Koma –mkato/kipumuo/kituo.
(iii)Mkwaju -mshazari.
(iv)Mtajo -alama nuklishi/za semi.
Kavungya answered the question on November 21, 2022 at 13:53
-
Ainisha mofimu na viambishi katika neno Aliyesomewa.
(Solved)
Ainisha mofimu na viambishi katika neno Aliyesomewa.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Bainisha aina za maneno katika sentensi hizi.
(i) Mwalimu anaandika .
(ii) Mwalimu anaandika ubaoni.
(Solved)
Bainisha aina za maneno katika sentensi hizi.
(i) Mwalimu anaandika .
(ii) Mwalimu anaandika ubaoni.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Eleza sifa tatu za Kamusi ya lugha ya Kiswahili.
(Solved)
Eleza sifa tatu za Kamusi ya lugha ya Kiswahili.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Sahihisha sentensi hizi
(i)Mtoto amerara usingizi mnono.
(ii)Papu yangu ni mzee kiazi.
(Solved)
Sahihisha sentensi hizi
(i)Mtoto amerara usingizi mnono.
(ii)Papu yangu ni mzee kiazi.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Weka shadda neno barabara kuonyesha maana ya shwari na baraste.
(Solved)
Weka shadda neno barabara kuonyesha maana ya shwari na baraste.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Taja mambo/dhana nne zinazozingatiwa katika matumizi ya lugha.
(Solved)
Taja mambo/dhana nne zinazozingatiwa katika matumizi ya lugha.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Onyesha silabi inayowekewa shadda kwenye maneno yafuatayo.
Karatasi –
Shairi –
Barabara(njia kuu)
Mto –
(Solved)
Onyesha silabi inayowekewa shadda kwenye maneno yafuatayo.
Karatasi –
Shairi –
Barabara(njia kuu)
Mto –
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Toa neno kwa kila moja ya sauti ambatano zifuatazo.
Nyw –
Nd –
Ngw –
(Solved)
Toa neno kwa kila moja ya sauti ambatano zifuatazo.
Nyw –
Nd –
Ngw –
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Onyesha Nomino (N), kitenzi , kielezi (E) Kiunganishi (U), na kivumishi (v) katika sentensi hizi.
(i) Mtoto anacheza vizuri.
(ii) Utacheza au utasoma?
(iii) Wanafunzi wawili wanalala.
(Solved)
Onyesha Nomino (N), kitenzi , kielezi (E) Kiunganishi (U), na kivumishi (v) katika sentensi hizi.
(i) Mtoto anacheza vizuri.
(ii) Utacheza au utasoma?
(iii) Wanafunzi wawili wanalala.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi zifuatazo.
(i) Mkulima analima shamba.
(ii) Mwanafunzi anasoma kitabu.
(Solved)
Kanusha sentensi zifuatazo.
(i) Mkulima analima shamba.
(ii) Mwanafunzi anasoma kitabu.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Andika vinyume vya sentensi zifuatazo:-
(i) Mama anaanika nguo
(ii) Baba anaenda sokoni.
(Solved)
Andika vinyume vya sentensi zifuatazo:-
(i) Mama anaanika nguo
(ii) Baba anaenda sokoni.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Bainisha maneno haya yanapatikana katika ngeli ipi?
Ngoma –
Ukuta –
MachoUgonjwa –
Mmea –
Maiti –
(Solved)
Bainisha maneno haya yanapatikana katika ngeli ipi?
Ngoma –
Ukuta –
MachoUgonjwa –
Mmea –
Maiti –
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Andika maneno yenya miundo ya silabi ifuatayo.
KI (Konsonanti irabu) –
KKI (Konsonanti, konsonanti, irabu) –
II (irabu) –
(Solved)
Andika maneno yenya miundo ya silabi ifuatayo.
KI (Konsonanti irabu) –
KKI (Konsonanti, konsonanti, irabu) –
II (irabu) –
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Andika majukumu tatu ya lugha.
(Solved)
Andika majukumu tatu ya lugha.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Taja vigezo vitatu vinavyotumika kuainisha konsonati.
(Solved)
Taja vigezo vitatu vinavyotumika kuainisha konsonati.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Taja majukumu matano ya fasihi simulizi.
(Solved)
Taja majukumu matano ya fasihi simulizi.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Fasihi simulizi ni nini?
(Solved)
Fasihi simulizi ni nini?
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi ifuatayo.
Nyumba hiyo itafunguliwa.
(Solved)
Kanusha sentensi ifuatayo.
Nyumba hiyo itafunguliwa.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Tambulisha maneno mbalimbali katika sentensi zifuatazo.
i) Mwanafunzi mvumilivu alisoma vizuri.
ii) Yule ameongea maneno mengi.
(Solved)
Tambulisha maneno mbalimbali katika sentensi zifuatazo.
i) Mwanafunzi mvumilivu alisoma vizuri.
ii) Yule ameongea maneno mengi.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Sentensi zifuatazo ziko katika nyakati / hali gani?
a) Otieno hula samaki kila siku
b) Yeye anaandika tu kitabu
(Solved)
Sentensi zifuatazo ziko katika nyakati / hali gani?
a) Otieno hula samaki kila siku
b) Yeye anaandika tu kitabu
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)