- Huwa na mianzo maalum-hapo zamani za kale….
- Huwa na miishio maalum- hadithi yangu yaishia hapo.
- Husimuliwa kwa lugha ya natharia
- Hutumia mbinu ya takriri
- Masimulizi huwa ya wakati uliopita
- Huwa na funzo Fulani ambalo hutajwa mwishoni mwa hadithi
- Huwa na wahusika mbalimbali kama vile binadamu,wanyama,ndege,mito,mawe,miungu,wadudu
- Huwa na muundo rahisi wenye mwanzo,kati na mwisho.
Kavungya answered the question on November 22, 2022 at 06:50
-
Taja vipera vinne vya fasihi simulizi.
(Solved)
Taja vipera vinne vya fasihi simulizi.
Date posted:
November 22, 2022
.
Answers (1)
-
Eleza dhima nne za lugha.
(Solved)
Eleza dhima nne za lugha.
Date posted:
November 22, 2022
.
Answers (1)
-
Taja sifa nne za lugha.
(Solved)
Taja sifa nne za lugha.
Date posted:
November 22, 2022
.
Answers (1)
-
Ni nini maana ya lugha?
(Solved)
Ni nini maana ya lugha?
Date posted:
November 22, 2022
.
Answers (1)
-
Eleza maana mbili za neno paa.
(Solved)
Eleza maana mbili za neno paa.
Date posted:
November 22, 2022
.
Answers (1)
-
Andika kinyume cha sentensi hii.
Tajiri aliyekashifiwa amebarikiwa.
(Solved)
Andika kinyume cha sentensi hii.
Tajiri aliyekashifiwa amebarikiwa.
Date posted:
November 22, 2022
.
Answers (1)
-
Taja aina tatu za maktaba.
(Solved)
Taja aina tatu za maktaba.
Date posted:
November 22, 2022
.
Answers (1)
-
Majina yafuatayo yamo katika ngeli gani:
Nywele
Maji
Jibwa
(Solved)
Majina yafuatayo yamo katika ngeli gani:
Nywele
Maji
Jibwa
Date posted:
November 22, 2022
.
Answers (1)
-
Andika kwa umoja.
Machaka ya waridi hayazai maua meusi
Walituandikia nyaraka ndefu.
(Solved)
Andika kwa umoja.
Machaka ya waridi hayazai maua meusi
Walituandikia nyaraka ndefu.
Date posted:
November 22, 2022
.
Answers (1)
-
Ainisha silabi katika maneno yafuatayo
Lugha
Muhtasari
(Solved)
Ainisha silabi katika maneno yafuatayo
Lugha
Muhtasari
Date posted:
November 22, 2022
.
Answers (1)
-
Eleza sifa za sauti zifuatazo:
/o/
/Sh/
(Solved)
Eleza sifa za sauti zifuatazo:
/o/
/Sh/
Date posted:
November 22, 2022
.
Answers (1)
-
Andika visawe vya viwakifishi hivi.
(i)Nukta-
(ii)Koma –
(iii)Mkwaju-
(iv)Mtajo-
(Solved)
Andika visawe vya viwakifishi hivi.
(i)Nukta-
(ii)Koma –
(iii)Mkwaju-
(iv)Mtajo-
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Ainisha mofimu na viambishi katika neno Aliyesomewa.
(Solved)
Ainisha mofimu na viambishi katika neno Aliyesomewa.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Bainisha aina za maneno katika sentensi hizi.
(i) Mwalimu anaandika .
(ii) Mwalimu anaandika ubaoni.
(Solved)
Bainisha aina za maneno katika sentensi hizi.
(i) Mwalimu anaandika .
(ii) Mwalimu anaandika ubaoni.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Eleza sifa tatu za Kamusi ya lugha ya Kiswahili.
(Solved)
Eleza sifa tatu za Kamusi ya lugha ya Kiswahili.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Sahihisha sentensi hizi
(i)Mtoto amerara usingizi mnono.
(ii)Papu yangu ni mzee kiazi.
(Solved)
Sahihisha sentensi hizi
(i)Mtoto amerara usingizi mnono.
(ii)Papu yangu ni mzee kiazi.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Weka shadda neno barabara kuonyesha maana ya shwari na baraste.
(Solved)
Weka shadda neno barabara kuonyesha maana ya shwari na baraste.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Taja mambo/dhana nne zinazozingatiwa katika matumizi ya lugha.
(Solved)
Taja mambo/dhana nne zinazozingatiwa katika matumizi ya lugha.
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Onyesha silabi inayowekewa shadda kwenye maneno yafuatayo.
Karatasi –
Shairi –
Barabara(njia kuu)
Mto –
(Solved)
Onyesha silabi inayowekewa shadda kwenye maneno yafuatayo.
Karatasi –
Shairi –
Barabara(njia kuu)
Mto –
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)
-
Toa neno kwa kila moja ya sauti ambatano zifuatazo.
Nyw –
Nd –
Ngw –
(Solved)
Toa neno kwa kila moja ya sauti ambatano zifuatazo.
Nyw –
Nd –
Ngw –
Date posted:
November 21, 2022
.
Answers (1)