Mtoto huyu ni mzuri
Vitenzi vingine ni yu, ndi, si, li n.k.
Kavungya answered the question on November 25, 2022 at 05:48
-
Tunga sentensi katika wakati uliopita hali timilifu.
(Solved)
Tunga sentensi katika wakati uliopita hali timilifu.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Andika sauti zenye sifa zifuatazo:
(i) Nazali ya kaa laini
(ii) Kikwamizo ghuna cha mdomo na meno
(iii) Irabu ya nyuma wastani
(iv) Kimadende
(Solved)
Andika sauti zenye sifa zifuatazo:
(i) Nazali ya kaa laini
(ii) Kikwamizo ghuna cha mdomo na meno
(iii) Irabu ya nyuma wastani
(iv) Kimadende
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Soma shairi ifuatayo kisha ujibu maswali
CHEMA HAKIDUMU
Chema hakidumu, kingapendekeza,
Saa ikitimu, kitakuteleza
(Solved)
Soma shairi ifuatayo kisha ujibu maswali
CHEMA HAKIDUMU
Chema hakidumu, kingapendekeza,
Saa ikitimu, kitakuteleza
Ukawa na hamu, kukingojeleza,
Huwa ni vigumu, kamwe hutaweza
Chema sikiimbi, kwamba nakitweza
Japo mara tumbi, kinshaniliza,
Na japo siombi, kipate n’ongeza,
Mtu haniambi, pa kujikimbiza
Chema mara ngapi, kinniondoka,
Mwanangu yu wapi? Hakukaa mwaka,
Kwa muda mfupi aliwatilika,
Ningefanya lipi, ela kumzika?
Chema wangu babu, Kibwana Bashee,
Alojipa tabu, kwamba anilee
Na yakwe sababu, ni nitengenee,
Ilahi Wahhabu, mara amtwee.
Chema wangu Poni, kipenzi nyanyangu,
Hadi siku hini, yu moyoni mwangu,
Yu moyoni ndani, hadi kufa kwangu,
Ningamtamani, hatarudi kwangu.
(Abdalla, Abdilatif, Sauti ya Dhiki)
MASWALI:
(a) Hili ni shairi la aina gani?
(b) Taja na ueleleze aina zozote mbili za bahari katika shairi hili.
(c) Eleza umbo la shairi hili.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Nyambua
Filisisha (tenda)
(Solved)
Nyambua
Filisisha (tenda)
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Tumia kitenzi jina na kivumishi kutunga sentensi.
(Solved)
Tumia kitenzi jina na kivumishi kutunga sentensi.
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Andika sentensi hii katika ukubwa.
Huyo nyoka alikatwa mkia na mvulana yule.
(Solved)
Andika sentensi hii katika ukubwa.
Huyo nyoka alikatwa mkia na mvulana yule.
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Taja visawe vya maneno yafuatayo.
(i) Damu
(ii) Mjinga
(Solved)
Taja visawe vya maneno yafuatayo.
(i) Damu
(ii) Mjinga
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Andika katika udogo na wingi
Njusi aliyekuwa na jicho moja alianguka mtoni.
(Solved)
Andika katika udogo na wingi
Njusi aliyekuwa na jicho moja alianguka mtoni.
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Tumia kiwakifishi kifuatacho kubainisha matumizi yake katika sentensi ili kutoa maana mbili tofauti.
Ritifaa
(Solved)
Tumia kiwakifishi kifuatacho kubainisha matumizi yake katika sentensi ili kutoa maana mbili tofauti.
Ritifaa
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi ukitumia viwakilishi vifuatavyo.
(i) Nafsi viambata
(II) Visisitizi
(Solved)
Tunga sentensi ukitumia viwakilishi vifuatavyo.
(i) Nafsi viambata
(II) Visisitizi
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Geuza neno lililopigwa mstari kuwa kiwakilishi
Mtoto mbaya aliadhibiwa
(Solved)
Geuza neno lililopigwa mstari kuwa kiwakilishi
Mtoto mbaya aliadhibiwa
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi mbili kuonyesha tofauti kati ya maneno haya.
(i) shuka
(ii) suka
(Solved)
Tunga sentensi mbili kuonyesha tofauti kati ya maneno haya.
(i) shuka
(ii) suka
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Eleza maana ya misemo ifuatayo.
(i) kupiga domo
(ii) kupiga kijembe
(Solved)
Eleza maana ya misemo ifuatayo.
(i) kupiga domo
(ii) kupiga kijembe
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Bainisha vitenzi halisi katika sentensi zifuatazo.
(i) Nyanchama hakufika mkutanoni
(ii) Horukut amerudi kutoka masoni
(Solved)
Bainisha vitenzi halisi katika sentensi zifuatazo.
(i) Nyanchama hakufika mkutanoni
(ii) Horukut amerudi kutoka masoni
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Onyesha nomino za jamii katika sentensi zifuatazo
(i) Chuki baina ya jamii lazima ikomeshwe barani Afrika.
(ii) Wageni watatumbuizwa na bengi ya kayamba Afrika.
(Solved)
Onyesha nomino za jamii katika sentensi zifuatazo
(i) Chuki baina ya jamii lazima ikomeshwe barani Afrika.
(ii) Wageni watatumbuizwa na bengi ya kayamba Afrika.
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Onyesha kundi nomino na kundi tenzi katika sentensi hii.
Nyayo za wanyama hao zimeonekana hapa.
(Solved)
Onyesha kundi nomino na kundi tenzi katika sentensi hii.
Nyayo za wanyama hao zimeonekana hapa.
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti kati ya:
(i) Mofimu huru
(ii) Mofimu tegemezi
(Solved)
Eleza tofauti kati ya:
(i) Mofimu huru
(ii) Mofimu tegemezi
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Eleza tofauti kati ya sauti /z/ na /f/
(Solved)
Eleza tofauti kati ya sauti /z/ na /f/
Date posted:
November 24, 2022
.
Answers (1)
-
Soma taarifa hii kisha ujibu maswali ifuatayo.
UKANDAJI
Je,unajua kuwa ukandaji wa mwili umetumika kama njia mojawapo ya matibabu toka jadi?
(Solved)
Soma taarifa hii kisha ujibu maswali ifuatayo.
UKANDAJI
Je,unajua kuwa ukandaji wa mwili umetumika kama njia mojawapo ya matibabu toka jadi? Watu
wanaofahamika kutumia ukandaji kimatibabu toka jadi ni Wahindi,Wachina,Wagiriki,Warumi na Waafrika.
Ukandaji unajulikana kuwa na manufaa makubwa kimatibabu. Mathalani,ukandaji hufungua vitundu
vya ngozi. Ufunguzi huu huondoa sumu mwilini kupitia kwa utoaji jasho. Pili,ukandaji hupunguza mkazo wa
misuli. Misuli ikiwa na mkazo zaidi kwa muda mrefu huleta urundikaji wa asidi. Ukandaji huondoa asidi
hii,huufanya mwili kuwa mlegevu,humletea mtu uchangamfu na kuondoa uchovu.
Halikadhalika,ukandaji huimarisha mzunguko wa damu mwilini kwa wepesi. Hali hii huhakikisha kuwa
virutubishi vya mwili huweza kufikia viungo vyote vya mwili. Hili nalo huchangia kuzidisha uwezo wa mwili
kujikinga na maradhi. Hewa safi ya oksijeni huweza pia kusambaa kote mwilini kupitia kwa uimarishaji wa
mzunguko wa damu. Aidha,ukandaji wa taratibu na polepole hupunguza mkazo wa neva na kuziliwaza
ukandaji wa kasi huchangamsha neva na kuimarisha utendaji kazi wake.
Ukandaji unaweza kufanyiwa kiungo chochote mwili ni. Ukandaji huu huweza kuwa na matokeo
mbalimbali mwilini.
Mathalani,ukandaji wa njia ya chakula mwilini,hasa tumbo na utumbo,huimarisha usagaji wa chakula na
kuchangia uondoaji wa uchafu na sumu mwilini. Nao ukandaji wa njia ya mkonjo hustawisha uondoaji wa
chembechembe za sumu mwilini.
Kwa kawaida,viganja vya mikono hutumika katika ukandaji. Viungo hivi vinapaswa kuwa na wororo.
Wororo huu hupatikana kwa kutumia mafuta. Mafuta ambayo ni bora zaidi kwa shughuli za ukandaji ni ya
ufuta au simsim. Matumizi ya kitu chochote kama ungaunga kinachoweza kuziba vitundu vya ngozi
hayapendekezwi.
Ukandaji wapaswa kutekelezwa kwa njia ifuatayo. Mtu aanzie mikono na miguu. Kisha aingie kukanda
kifua,tumbo,mgongo na makalio. Hatimaye,akande uso na kichwa. Mtu anaweza kutumia kitambaa kukandia
mgongo. Ni bora kutumia viganja vya mikono kukandia. Kwa njia hii,manufaa huwa maradufu.
Kwanza,tutanufaika na ukandaji na wakati huo huo tutakuwa tukifanya mazoezi ya viungo. Wasioweza
kujikanda,wanaweza kuomba msaada. Ni muhimu ukandaji ufuatiwe na kuoga kwa maji vuguvugu.
Kwa walio na tatizo la shinikizo au mpumuko wa damu wanaweza kubadilisha utaratibu wa ukandaji.
Waanzie kichwani,kisha waelekee usoni,kifuani,tumboni,mgongoni,makalioni,miguuni na kuhitimisha
mikononi.
Hata hivyo,ukandaji haupaswi kufanywa wakati mtu anaugua maradhi yoyote. Wanawake wajawazito
nao wanatakiwa kuepuka ukandaji wa tumbo. Halikadhalika,ukandaji wa tumbo hauruhusiwi wakati mtu
anaendesha,ana vidonda vya tumbo au uvimbe tumboni. Hatimaye,ukandaji haupendekezwi iwapo mtu ana
maradhi ya ngozi.
MASWALI
(a) Ukandaji ni nini?
(b) Eleza manufaa matatu ya ukandaji.
(c) Ukandaji unatakiwa kutekelezwa kwa njia gani?
(d) Ukandaji unatakiwa kutekelezwa na nani na kwa nini?
(e) Onyesha ni lini ukandaji haupendekezwi.
(f) Eleza maneno yafuatayo kama yalivyotumika:
(i) ufunguzi
(ii) auni
(iii) maradufu
(iv) maji vuguvugu
(v) shinikizo la damu
Date posted:
November 23, 2022
.
Answers (1)
-
Nani kuku....? Sosi poa leo .... Mate ndo! ndo! ndo!. Ukimanga hii hutaona daktari kwa miaka
kumi..... Ng’ombe je? nani? ......nani!... Ni wewe.... poa basi naja......
a....
(Solved)
Nani kuku....? Sosi poa leo .... Mate ndo! ndo! ndo!. Ukimanga hii hutaona daktari kwa miaka
kumi..... Ng’ombe je? nani? ......nani!... Ni wewe.... poa basi naja......
a. Je, sajili hii inapatikana wapi?
b. Huku ukitoa mifano mwafaka, eleza sifa nne za sajili hii.
Date posted:
November 22, 2022
.
Answers (1)