i. Njia hizi huenda Kisumu.
ii. Nyembe hizi zitafaa.
Kavungya answered the question on November 25, 2022 at 09:06
-
Ainisha sentensi hii:
Kilichopikwa
(Solved)
Ainisha sentensi hii:
Kilichopikwa
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Andika maneno yaliyo na aina za silabi zifuatazo:
i. Silabi za irabu pekee
ii. Silabi za konsonanti, nusu irabu na irabu
iii. Silabi za konsonanti pekee
(Solved)
Andika maneno yaliyo na aina za silabi zifuatazo:
i. Silabi za irabu pekee
ii. Silabi za konsonanti, nusu irabu na irabu
iii. Silabi za konsonanti pekee
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
SOMA SHAIRI LIFUATALO KISHA UJIBU MASWALI.
Malezi mema
Malezi bora si yale, mtoto kumdekeza
Atafikia kilele, mzazi atampuza
(Solved)
SOMA SHAIRI LIFUATALO KISHA UJIBU MASWALI.
Malezi mema
Malezi bora si yale, mtoto kumdekeza
Atafikia kilele, mzazi atampuza
Utapiga makelele, wala hatasikiza.
Daima usikubali, kuridhi kumpendeza
Lazima uwe mkali, mengine kumkataza
Na wala usikubali, maneno kuyaigiza.
Mtoto ukimuita, hana budi kuginiza
Sio mdomo kufyata, mamboye kuendeleza
Ama dakika zapita,aje ikimpendeza.
Mzazi usithubutu,mwanao kumteteza
Uambiwapo na watu, mwanao alifanyiza
Kuwa na hali ya utu, Kadhia kuchunguza.
Iwapo amekusudi, makossa kuyatimiza
Kumrudi huna budi,jukumu kutekekeza
Lau usipomrudi, kosa taliendeleza.
Maswali
a) Eleza malezi mema jinsi yanavyosimuliwa na mshairi.
b) Taja mambo matano wanayoshauriwa wazazi kutoyatenda
c) Je, mzazi asipochukua jukumu lake, kuna athari gani kwa mtoto
d) Toa methali moja inayoambatana na ujumbe wa Shairi hili
e) Shairi hili lina mishororo ngapi
f) eleza vina,vipande na mizani vya Shairi hili
g) eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumiwa katika Shairi.
i. kumdekeza
ii. kuginiza
iii. mdomo kufyata
iv. alofanyiza
v. lau usipomrudi
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
“nikitembea yuko, nikikimbia yuko, nikiingia ndani hayuko"
i. tambua kipera hiki
ii. taja dhima moja ya kipera hiki kijumla
(Solved)
“nikitembea yuko, nikikimbia yuko, nikiingia ndani hayuko"
i. tambua kipera hiki
ii. taja dhima moja ya kipera hiki kijumla
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Matumizi ya lugha hutegemea mambo kadhaa. Yaeleze yoyote manne.
(Solved)
Matumizi ya lugha hutegemea mambo kadhaa. Yaeleze yoyote manne.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja na uonyeshe kiwakilishi kimilikishi.
(Solved)
Tunga sentensi moja na uonyeshe kiwakilishi kimilikishi.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Kwa kutumia sentensi moja onyesha vitenzi sambamba.
(Solved)
Kwa kutumia sentensi moja onyesha vitenzi sambamba.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi moja na uonyeshe nomino dhahania.
(Solved)
Tunga sentensi moja na uonyeshe nomino dhahania.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Tambua sauti yenye sifa zifuatazo.
konsonanti, kipasuo, ghuna, sauti ya mdomo.
(Solved)
Tambua sauti yenye sifa zifuatazo.
konsonanti, kipasuo, ghuna, sauti ya mdomo.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Taja ala sogezi mbili za kutamkia.
(Solved)
Taja ala sogezi mbili za kutamkia.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Taja vipera vitano vya semi.
(Solved)
Taja vipera vitano vya semi.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Kamilisha methali ifuatayo.
Asiye na nadhari...
(Solved)
Kamilisha methali ifuatayo.
Asiye na nadhari...
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Kanusha sentensi katika hali ya kuamrisha wingi.
Kimbia haraka –
Amka -
(Solved)
Kanusha sentensi katika hali ya kuamrisha wingi.
Kimbia haraka –
Amka -
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Tunga sentensi yenye kivumishi cha jina.
(Solved)
Tunga sentensi yenye kivumishi cha jina.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Tambulisha na ufafanue viambishi vilivyotumika katika Anamfundisha.
(Solved)
Tambulisha na ufafanue viambishi vilivyotumika katika Anamfundisha.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Huku ukitoa mifano taja miundo ya silabi.
(Solved)
Huku ukitoa mifano taja miundo ya silabi.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Taja nomino zozote mbili katika ngeli A-WA na uonyeshe miundo yake.
(Solved)
Taja nomino zozote mbili katika ngeli A-WA na uonyeshe miundo yake.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Andika udogo wa:
Anacheza ngoma.
(Solved)
Andika udogo wa:
Anacheza ngoma.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Tumia kiunganishi kifaacho kuunganisha sentensi hizi.
Mwizi alishikwa. Mwizi alipigwa sana.
(Solved)
Tumia kiunganishi kifaacho kuunganisha sentensi hizi.
Mwizi alishikwa. Mwizi alipigwa sana.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)
-
Bainisha aina za vielezi katika sentensi hii.
Mtoto alikimbia mara sita uwanjani kisha akatembea kitausi.
(Solved)
Bainisha aina za vielezi katika sentensi hii.
Mtoto alikimbia mara sita uwanjani kisha akatembea kitausi.
Date posted:
November 25, 2022
.
Answers (1)