Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Taja mbinu za kutatua changamoto za ufundishaji na usomaji wa ushairi

      

Taja mbinu za kutatua changamoto za ufundishaji na usomaji wa ushairi

  

Answers


Francis
- Wanafunzi na baadhi ya walimu wabadilishe mtazamo wao kuhusu ushairi na waichukulie kama masomo mengine
- Ufundishaji wa ushairi ulioratibiwa.
- Kutoa ufafanuzi sahili kuhusu dhana ya ushairi na sifa zake.
- Mashairi mepesi na ya kuwavutia wanafunzi yateuliwe.
- Usomaji wa ushairi mara kwa mara ili kupevusha viwango.
- Wanafunzi washiriki utunzi wa mashairi mepesi.
francis1897 answered the question on January 30, 2023 at 12:45


Next: Utafiti unaonyesha kuwa kuna changamoto nyingi katika ufundishaji na usomaji wa ushairi. Changamoto hizi huenda ikawa ndizo huchangia kudorora kwa matokeo ya wanafunzi katika somo...
Previous: Eleza maana ya mizani

View More Ushairi Questions and Answers | Return to Questions Index


Learn High School English on YouTube

Related Questions