Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Questions and answers: Kiswahili

Q&A Categories


Do you have Q&A pairs? Post them here

2287 Questions  View: All | Solved | Unsolved



Search Results...
  • Eleze maana mbili za sentensi hii; Jane alifagia chakula chote.(Solved)

    Eleze maana mbili za sentensi hii; Jane alifagia chakula chote.

    Date posted: September 19, 2019.  

  • Toa mfano mmoja kwa kila mojawapo. i) Kipasuo ii) Kitambaza(Solved)

    Toa mfano mmoja kwa kila mojawapo. i) Kipasuo ii) Kitambaza

    Date posted: September 19, 2019.  

  • Taja irabu mbili za nyuma kisha ueleze kwa nini huitwa hivyo.(Solved)

    Taja irabu mbili za nyuma kisha ueleze kwa nini huitwa hivyo.

    Date posted: September 19, 2019.  

  • Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali Dhuluma kwa wanawake sio matokeo ya siasa baada ya uhuru, bali ni matokeo ya hali iliyokuwepo tangu enzi za mababu...(Solved)

    Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali Dhuluma kwa wanawake sio matokeo ya siasa baada ya uhuru, bali ni matokeo ya hali iliyokuwepo tangu enzi za mababu zetu, kabla ya ukoloni. Kubaguliwa na kudhulumiwa kwa wanawake kisiasa kunaoana na kunyonywa kwake kijamii kunakoshuhudiwa siku nenda miaka rudi. Elimu ya jadi ilimwandaa mwanamke kuwa chombo kitiifu cha mwanaume. Mwanamke aliandaliwa katika unyago na katika mfumo mzima wa malezi kuwa chombo cha kumtumikia mwanamume, kumstarehesha, kumfariji, kumlisha na kumzalia watoto. Mwanamke tangu jadi hakuruhusiwa kushiriki katika shunghuli za kisiasa na utawala wala hakuna mtu aliyeamini kwamba mwanamke angeweza kushikilia wadhifa wowote wa uongozi. Demokrasia ya jadi nai husudu sana, ambapo wazee walikaa chini ya mbuyu na kuamua mambo ya jumuiya. Mahakama ya jiji ilikuwa aghalabu ni ya wazee na wanaume peke yao. Hakukuwa na mwanamke aliyeshirikishwa hata kama alikuwa ajuza. Sifa waliyokuwa nayo wanawake ni ile ya ushiri na uganga. Mwanamke yeyote aliyezeeka alidhaniwa kuwa bingwa wa uchawi, ulozi na ushirikina. Kwa hivyo, wanawake ndio waliokuwa washirikina wakubwa, maana fursa ya kupata elimu pana zaidi hawakuwa nayo. Si ajabu kuwa mwanamke alipojitokeza na kusema jambo la busara, alipuuzwa napengine kutukanwa hadharani. Kwa bahati zuri kumezuka mwamko uliotuingiza katika enzi mpya. Vita vya wanawake vya kujihami na kujiendeleza katika ulimwengu unaotawaliwa na wanaume vimetapakaa kote katika kila sehemu ya dunia Wanawake wengi wemakiuka misingi na mizizi ya utamanduni na kung‘oa asasi za kijamii na itikadi ambazo daima zimeendelea kumyanyasa na kumuumbua utu mwanamke tangu jadi. Watetezi wa haki za wanawake zamani walilaumu suala la serikali za mataifa kutochukua hatua za utekelezaji wa maazimio yaliyoendelea kupitishwa na umoja wa mataifa mwaka hadi mwaka. Huku masuala ya wanawake ya kijamii, utu na utamaduni yakishangiliwa kupitishwa, watetezi wameeleza wasiwasi wao ikiwa kupitishwa kwa maazimio kutasaidia kuleta maendeleo ya haraka kwa wanawake kimataifa au katika nchi moja. Fauka ya hayo, baadhi ya wachunguzi wanaonelea kuwa maazimio mengi hayadokezi hatua za kufikiwa haki za wanawake. Maazimio mengi yanazungumzia juu ya kuondolewa kwa ubaguzi dhidi ya wanawake, kushiriki kwao katika uendelezaji wa amani ya kimataifa na ushirikiano wa kimataifa, majukumu yao katika jamii, mfuko wa umoja wa mataifa wa wanawake (unifem) na kuimarisha hadhi ya wanawake katika sekretariati ya umoja wa mataifa miongoni mwa shughuli nyingine katika mkabala huu. Wanawake wamejikakamua na kudhihirisha kuwa wao pia wana jukumu muhimu la kutekeleza ili kuyaongoza maisha yao na ya watu wengine. Wadumishaji wa dhuluma za kijinsia hawana budi kusalimu amri na kuukubali ukweli huu, wapende wasipende. Mtazamo juu ya haki sawa unatokana na kukubaliwa na kuondolewa kwa aina zote za ubaya dhidi ya wanawake. Kwa bahati mbaya, itikadi na mila za kiasili bado hazitupi nafasi ya kuwashangilia wanawake wanaojitolea mhanga kutetea hadhi yao pamoja naya wanyonge wengine. Wao huonekana kama waasi, wapinga mila na watovu wa utii.Maswali (a) Eleza chanzo cha dhuluma kwa wanawake. (b) Huku ukitoa mafano, fafanua hali ya dhuluma kwa wanawake kama inavyodhihirika katika makala. (c) Eleza hatua ambazo mwanamke amechukua kujikomboa (d) Je, jamii imechangia vipi katika kumdunisha mwanamke (e) Fafanua maana ya misemo ifuatayo; i) Wamekiuka misingi ii) Kupitishwa kwa maazimio iii) Wanaojitolea mhanga

    Date posted: September 19, 2019.  

  • Eleza maana ya maneno haya kama yalivyotumika katika shairi (i) Makondeni (ii) Jitwike (iii) Kiola(Solved)

    1.Kijana tuza makini, nikwambie usikile Chakula mahotelini, si kizuri usikile Ufikapo mlangoni, kizingiti usikile 2. Nenda kaseme nyumbani, kesho asubuhi siji Nitakwenda makondeni, kawashunge shunge siji Na hata hapo jioni, kama nitakuja siji 3. Na kama wenda mjini, upatapo nyumba panga Upahame mizimuni, palozingirwa na panga Hapana tena amani, kutwa mwapigana panga 4. Na kesho kija shambani, uonapo mti panda Kwea hadi kileleni, ujifiche kwenye panda Kaziyo ulinde chini, mimea tuliyopanda 5. Kishuka ola shinani, njugu merundika chungu Njugu peleka nyumbani, zisije zikawa chungu Kaanga sufuriani, au pia kwenye chungu 6. Kileta maji jioni, ndoo jitwike na kata Kata njema ya majani, laini wezayo kata Kumbuka ya kisimani, huteki ela kwa kata 7. Ninawahi kibandani, nikaliezeke paa Nipate lindia nyuni, na wanyama kama paa Kwani kiola angani, naona jua lapaa 8.Kisha takwea mtini, nimeona bivu tunda Sina usono moyoni, ela tunda kisha tunda Nimpe wangu mwendeni, jioni nishike tunda 9.Meanza wao uneni, hapo nami ndipo kamba Leo wenda hawaoni, kama wa bahari kamba Wajijaza kimiani, wakijitatia kamba 10. Mtoto wachoma yakini, japo liwe moja kaa Ukikupata takoni, ni shida huwezi kaa Ela hufaa mekoni, kutoka nswi na kaa Eleza maana ya maneno haya kama yalivyotumika katika shairi (i) Makondeni (ii) Jitwike (iii) Kiola

    Date posted: August 6, 2019.  

  • Onyesha vile uhuru wa kishairi ulivyotumiwa na malenga(Solved)

    1.Kijana tuza makini, nikwambie usikile Chakula mahotelini, si kizuri usikile Ufikapo mlangoni, kizingiti usikile 2. Nenda kaseme nyumbani, kesho asubuhi siji Nitakwenda makondeni, kawashunge shunge siji Na hata hapo jioni, kama nitakuja siji 3. Na kama wenda mjini, upatapo nyumba panga Upahame mizimuni, palozingirwa na panga Hapana tena amani, kutwa mwapigana panga 4. Na kesho kija shambani, uonapo mti panda Kwea hadi kileleni, ujifiche kwenye panda Kaziyo ulinde chini, mimea tuliyopanda 5. Kishuka ola shinani, njugu merundika chungu Njugu peleka nyumbani, zisije zikawa chungu Kaanga sufuriani, au pia kwenye chungu 6. Kileta maji jioni, ndoo jitwike na kata Kata njema ya majani, laini wezayo kata Kumbuka ya kisimani, huteki ela kwa kata 7. Ninawahi kibandani, nikaliezeke paa Nipate lindia nyuni, na wanyama kama paa Kwani kiola angani, naona jua lapaa 8.Kisha takwea mtini, nimeona bivu tunda Sina usono moyoni, ela tunda kisha tunda Nimpe wangu mwendeni, jioni nishike tunda 9.Meanza wao uneni, hapo nami ndipo kamba Leo wenda hawaoni, kama wa bahari kamba Wajijaza kimiani, wakijitatia kamba 10. Mtoto wachoma yakini, japo liwe moja kaa Ukikupata takoni, ni shida huwezi kaa Ela hufaa mekoni, kutoka nswi na kaa Onyesha vile uhuru wa kishairi ulivyotumiwa na malenga

    Date posted: August 6, 2019.  

  • Eleza muundo wa shairi hili(Solved)

    1.Kijana tuza makini, nikwambie usikile Chakula mahotelini, si kizuri usikile Ufikapo mlangoni, kizingiti usikile 2. Nenda kaseme nyumbani, kesho asubuhi siji Nitakwenda makondeni, kawashunge shunge siji Na hata hapo jioni, kama nitakuja siji 3. Na kama wenda mjini, upatapo nyumba panga Upahame mizimuni, palozingirwa na panga Hapana tena amani, kutwa mwapigana panga 4. Na kesho kija shambani, uonapo mti panda Kwea hadi kileleni, ujifiche kwenye panda Kaziyo ulinde chini, mimea tuliyopanda 5. Kishuka ola shinani, njugu merundika chungu Njugu peleka nyumbani, zisije zikawa chungu Kaanga sufuriani, au pia kwenye chungu 6. Kileta maji jioni, ndoo jitwike na kata Kata njema ya majani, laini wezayo kata Kumbuka ya kisimani, huteki ela kwa kata 7. Ninawahi kibandani, nikaliezeke paa Nipate lindia nyuni, na wanyama kama paa Kwani kiola angani, naona jua lapaa 8.Kisha takwea mtini, nimeona bivu tunda Sina usono moyoni, ela tunda kisha tunda Nimpe wangu mwendeni, jioni nishike tunda 9.Meanza wao uneni, hapo nami ndipo kamba Leo wenda hawaoni, kama wa bahari kamba Wajijaza kimiani, wakijitatia kamba 10. Mtoto wachoma yakini, japo liwe moja kaa Ukikupata takoni, ni shida huwezi kaa Ela hufaa mekoni, kutoka nswi na kaa Eleza muundo wa shairi hili

    Date posted: August 6, 2019.  

  • Andika ubeti wa nane katika lugha nathari(Solved)

    1.Kijana tuza makini, nikwambie usikile Chakula mahotelini, si kizuri usikile Ufikapo mlangoni, kizingiti usikile 2. Nenda kaseme nyumbani, kesho asubuhi siji Nitakwenda makondeni, kawashunge shunge siji Na hata hapo jioni, kama nitakuja siji 3. Na kama wenda mjini, upatapo nyumba panga Upahame mizimuni, palozingirwa na panga Hapana tena amani, kutwa mwapigana panga 4. Na kesho kija shambani, uonapo mti panda Kwea hadi kileleni, ujifiche kwenye panda Kaziyo ulinde chini, mimea tuliyopanda 5. Kishuka ola shinani, njugu merundika chungu Njugu peleka nyumbani, zisije zikawa chungu Kaanga sufuriani, au pia kwenye chungu 6. Kileta maji jioni, ndoo jitwike na kata Kata njema ya majani, laini wezayo kata Kumbuka ya kisimani, huteki ela kwa kata 7. Ninawahi kibandani, nikaliezeke paa Nipate lindia nyuni, na wanyama kama paa Kwani kiola angani, naona jua lapaa 8.Kisha takwea mtini, nimeona bivu tunda Sina usono moyoni, ela tunda kisha tunda Nimpe wangu mwendeni, jioni nishike tunda 9.Meanza wao uneni, hapo nami ndipo kamba Leo wenda hawaoni, kama wa bahari kamba Wajijaza kimiani, wakijitatia kamba 10. Mtoto wachoma yakini, japo liwe moja kaa Ukikupata takoni, ni shida huwezi kaa Ela hufaa mekoni, kutoka nswi na kaa Andika ubeti wa nane katika lugha nathari

    Date posted: August 6, 2019.  

  • Eleza maana tatu za neno chungu kama lilivyotumika katika shairi(Solved)

    1.Kijana tuza makini, nikwambie usikile Chakula mahotelini, si kizuri usikile Ufikapo mlangoni, kizingiti usikile 2. Nenda kaseme nyumbani, kesho asubuhi siji Nitakwenda makondeni, kawashunge shunge siji Na hata hapo jioni, kama nitakuja siji 3. Na kama wenda mjini, upatapo nyumba panga Upahame mizimuni, palozingirwa na panga Hapana tena amani, kutwa mwapigana panga 4. Na kesho kija shambani, uonapo mti panda Kwea hadi kileleni, ujifiche kwenye panda Kaziyo ulinde chini, mimea tuliyopanda 5. Kishuka ola shinani, njugu merundika chungu Njugu peleka nyumbani, zisije zikawa chungu Kaanga sufuriani, au pia kwenye chungu 6. Kileta maji jioni, ndoo jitwike na kata Kata njema ya majani, laini wezayo kata Kumbuka ya kisimani, huteki ela kwa kata 7. Ninawahi kibandani, nikaliezeke paa Nipate lindia nyuni, na wanyama kama paa Kwani kiola angani, naona jua lapaa 8.Kisha takwea mtini, nimeona bivu tunda Sina usono moyoni, ela tunda kisha tunda Nimpe wangu mwendeni, jioni nishike tunda 9.Meanza wao uneni, hapo nami ndipo kamba Leo wenda hawaoni, kama wa bahari kamba Wajijaza kimiani, wakijitatia kamba 10. Mtoto wachoma yakini, japo liwe moja kaa Ukikupata takoni, ni shida huwezi kaa Ela hufaa mekoni, kutoka nswi na kaa Eleza maana tatu za neno chungu kama lilivyotumika katika shairi

    Date posted: August 6, 2019.  

  • Bainisha dhamira ya mtunzi wa shairi hili(Solved)

    1.Kijana tuza makini, nikwambie usikile Chakula mahotelini, si kizuri usikile Ufikapo mlangoni, kizingiti usikile 2. Nenda kaseme nyumbani, kesho asubuhi siji Nitakwenda makondeni, kawashunge shunge siji Na hata hapo jioni, kama nitakuja siji 3. Na kama wenda mjini, upatapo nyumba panga Upahame mizimuni, palozingirwa na panga Hapana tena amani, kutwa mwapigana panga 4. Na kesho kija shambani, uonapo mti panda Kwea hadi kileleni, ujifiche kwenye panda Kaziyo ulinde chini, mimea tuliyopanda 5. Kishuka ola shinani, njugu merundika chungu Njugu peleka nyumbani, zisije zikawa chungu Kaanga sufuriani, au pia kwenye chungu 6. Kileta maji jioni, ndoo jitwike na kata Kata njema ya majani, laini wezayo kata Kumbuka ya kisimani, huteki ela kwa kata 7. Ninawahi kibandani, nikaliezeke paa Nipate lindia nyuni, na wanyama kama paa Kwani kiola angani, naona jua lapaa 8.Kisha takwea mtini, nimeona bivu tunda Sina usono moyoni, ela tunda kisha tunda Nimpe wangu mwendeni, jioni nishike tunda 9.Meanza wao uneni, hapo nami ndipo kamba Leo wenda hawaoni, kama wa bahari kamba Wajijaza kimiani, wakijitatia kamba 10. Mtoto wachoma yakini, japo liwe moja kaa Ukikupata takoni, ni shida huwezi kaa Ela hufaa mekoni, kutoka nswi na kaa Bainisha dhamira ya mtunzi wa shairi hili

    Date posted: August 6, 2019.  

  • Fafanua sifa zozote nne za ngomezi.(Solved)

    Fafanua sifa zozote nne za ngomezi.

    Date posted: August 6, 2019.  

  • Eleza ujumbe uliowasilishwa na ngomezi katika fasihi simulizi.(Solved)

    Eleza ujumbe uliowasilishwa na ngomezi katika fasihi simulizi.

    Date posted: August 6, 2019.  

  • Taja aina zozote tatu za vitendawili(Solved)

    Taja aina zozote tatu za vitendawili

    Date posted: August 6, 2019.  

  • Mbinu zifuatazo zina umuhimu gani katika uwasilishaji wa fasihi simulizi. (i) Uradidi (ii) Uigaji sauti(Solved)

    Mbinu zifuatazo zina umuhimu gani katika uwasilishaji wa fasihi simulizi. (i) Uradidi (ii) Uigaji sauti

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Fafanua majukumu yoyote sita ya maigizo katika jamii ya kisasa.(Solved)

    Fafanua majukumu yoyote sita ya maigizo katika jamii ya kisasa.

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Eleza jinsi maudhui ya unafiki yameshughulikiwa katika hadithi hii.(Solved)

    “Wamelaa?’ “Enh wamelala” “Basi wamelala tu?’ Eleza jinsi maudhui ya unafiki yameshughulikiwa katika hadithi hii.

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Eleza yaliyotokea baada ya mazungumzo haya.(Solved)

    TUMBO LISILOSHIBA NA HADITHI NYINGINEZO “Wamelaa?’ “Enh wamelala” “Basi wamelala tu?’ Eleza yaliyotokea baada ya mazungumzo haya.

    Date posted: August 5, 2019.  

  • “Basi wamelala tu?’ Mbona msemaji huyu ana wasiwasi.(Solved)

    TUMBO LISILOSHIBA NA HADITHI NYINGINEZO “Wamelaa?’ “Enh wamelala” “Basi wamelala tu?’ “Basi wamelala tu?’ Mbona msemaji huyu ana wasiwasi.

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Eleza mbinu ya lugha iliyotumika.(Solved)

    TUMBO LISILOSHIBA NA HADITHI NYINGINEZO “Wamelaa?’ “Enh wamelala” “Basi wamelala tu?’ Eleza mbinu ya lugha iliyotumika.

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Taja wahusika wawili wanaorejelewa.(Solved)

    TUMBO LISILOSHIBA NA HADITHI NYINGINEZO “Wamelaa?’ “Enh wamelala” “Basi wamelala tu?’ Taja wahusika wawili wanaorejelewa.

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Taja wazungumzaji katika muktadha huu.(Solved)

    TUMBO LISILOSHIBA NA HADITHI NYINGINEZO “Wamelaa?’ “Enh wamelala” “Basi wamelala tu?’ Taja wazungumzaji katika muktadha huu.

    Date posted: August 5, 2019.  

  • “ulitaka wahamie wapi siku kama hizi?....Fafanua sifa za msemaji wa dondoo hii.(Solved)

    TAMTHLIA: KIGOGO “ulitaka wahamie wapi siku kama hizi? Wamekuja kuuguza majeraha yao ya kufungiwa soko?” Fafanua sifa za msemaji wa dondoo hii.

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Kando na kufungiwa soko, wanasagamoyo wanauguza majeraha yepi mengine yanayosababishwa na utawala wa Majoka.(Solved)

    TAMTHLIA: KIGOGO Kando na kufungiwa soko, wanasagamoyo wanauguza majeraha yepi mengine yanayosababishwa na utawala wa Majoka?

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Tambua mbinu mbili za lugha katika dondoo hili.(Solved)

    “ulitaka wahamie wapi siku kama hizi? Wamekuja kuuguza majeraha yao ya kufungiwa soko?” Tambua mbinu mbili za lugha katika dondoo hili.

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Weka maneno haya katika muktadha wake(Solved)

    “ulitaka wahamie wapi siku kama hizi? Wamekuja kuuguza majeraha yao ya kufungiwa soko?” Weka maneno haya katika muktadha wake

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Kwa kurejelea tamthlia ya KIGOGO, Thibitisha ukweli wa dondoo hili.(Solved)

    “Kitabu si jalada, fungua ndani usome mambo. Kitanda usichokilalia kunguni mwake huwajui.” Kwa kurejelea tamthlia ya KIGOGO, Thibitisha ukweli wa dondoo hili.

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Eleza muktadha wa dondoo hili(Solved)

    TAMTHLIA: KIGOGO “Kitabu si jalada, fungua ndani usome mambo. Kitanda usichokilalia kunguni mwake huwajui.” Eleza muktadha wa dondoo hili

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Kwa kurejelea riwaya nzima eleza changamoto zinazoikumba jinsia ya “mwanagenzi”(Solved)

    RIWAYA: CHOZI LA HERI Kwa kurejelea riwaya nzima eleza changamoto zinazoikumba jinsia ya “mwanagenzi”

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Taja na ueleze mbinu mbili za lugha zinazijitokekeza katika dondoo hili.(Solved)

    Riwaya-Chozi la Heri Taja na ueleze mbinu mbili za lugha zinazijitokekeza katika dondoo hili.

    Date posted: August 5, 2019.  

  • Weka dondoo hili katika muktadha wake.(Solved)

    RIWAYA: CHOZI LA HERI “……kama mataifa hayakushinda majabali miaka kumi iliyopita itakuwa huyu mwanagenzi ambaye hata mgwisho sisi ndio tulimfunza.” Weka dondoo hili katika muktadha wake.

    Date posted: August 5, 2019.