- Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali yanayofuata.
Ajabu hino ajabu, dunia rangi rangile
Naomba mie jawabu, wenzangu mniambile
Ila pasi hilo jibu, nachukizwa Mteule
Thamani ya mwanamke, haipo katika...(Solved)
Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali yanayofuata.
Ajabu hino ajabu, dunia rangi rangile
Naomba mie jawabu, wenzangu mniambile
Ila pasi hilo jibu, nachukizwa Mteule
Thamani ya mwanamke, haipo katika ngozi!
Mweupe au mweusi, malenga nasisitiza
Awe atoka Urusi, au bara lenye giza
Wapewe wote nafasi, pasi yeyote kusaza
Thamani ya mwanamke, ni zaidi yake ngozi!
Hujafa hujaumbika, msemo wao wahenga
Hilo muweze kumbuka, lisije wapiga chenga
Ubaguzi si mwafaka, tuungane kuupinga
Thamani ya mwanamke, siyo rangi yake ngozi!
Nudhumu naweka tuo, nne beti nimefika
Maadili nd'o ufunguo, na thamani Afrika
Kitwa hadi fumbatio, hamna 'lokamilika
Thamani ya mwanamke, ni zaidi yake ngozi!
(D. W. Lutomia: Malenga Mteule)
Maswali
(a) Pendekeza anwani mwafaka kwa shairi hili.
(b) Hili ni shairi la aina gani? Eleza.
(c) Fafanua bahari zozote mbili zinazojitokeza katika shairi hili.
(d) Taja maudhui yanayoelezwa katika shairi.
(e) Bainisha toni ya shairi hili.
(f) Tambua nafsineni na nafsinenewa wa shairi.
(g) Onyesha aina za urudiaji katika shairi hili.
(h) Fafanua umbo la shairi hili.
Date posted: February 6, 2023.
- Hakiki umuhimu na idhini mbalimbali za utunzi wa mashairi.(Solved)
Hakiki umuhimu na idhini mbalimbali za utunzi wa mashairi.
Date posted: February 6, 2023.
- Jadili aina mbalimbali za kinaya.(Solved)
Jadili aina mbalimbali za kinaya.
Date posted: February 6, 2023.
- Jadili sifa za mishata(Solved)
Jadili sifa za mishata
Date posted: February 6, 2023.
- “Lakini nakwambia tena, kula kunatumaliza.” Kwa kudokeza hoja kumi, jadili ukweli wa kauli hii katika Hadithi za Tumbo Lisiloshiba.(Solved)
“Lakini nakwambia tena, kula kunatumaliza.” Kwa kudokeza hoja kumi, jadili ukweli wa kauli hii katika Hadithi za Tumbo Lisiloshiba.
Date posted: February 6, 2023.
- Kwa kurejelea hadithi za Mapenzi ya Kifaurongo na Shogake Dada ana Ndevu fafanua changamoto zinazowakumba vijana.
(a) Mapenzi ya Kifaurongo
(b) Shogake Dada ana Ndevu(Solved)
Kwa kurejelea hadithi za Mapenzi ya Kifaurongo na Shogake Dada ana Ndevu fafanua changamoto zinazowakumba vijana.
(a) Mapenzi ya Kifaurongo
(b) Shogake Dada ana Ndevu
Date posted: February 6, 2023.
- “Akanyangapo chini ardhi inatetemeka...Amejitia hamnazo. Kabwela kama mimi nina faida gani? (Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine)
(a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
(b) Fafanua mbinu tatu za...(Solved)
“Akanyangapo chini ardhi inatetemeka...Amejitia hamnazo. Kabwela kama mimi nina faida gani? (Tumbo lisiloshiba na hadithi nyingine)
(a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
(b) Fafanua mbinu tatu za lugha zilizotumiwa katika dondoo hili.
(c) Eleza madhila kumi yaliyompata ‘kabwela’.
Date posted: February 6, 2023.
- “... mapenzi ni mateso, ni utumwa, ni ukandamizaji, ni ushabiki usio na maana.” Thibitisha ukweli wa kauli hii kama unavyojitokeza kwenye hadithi Masharti ya Kisasa.(Solved)
“... mapenzi ni mateso, ni utumwa, ni ukandamizaji, ni ushabiki usio na maana.” Thibitisha ukweli wa kauli hii kama unavyojitokeza kwenye hadithi Masharti ya Kisasa.
Date posted: February 6, 2023.
- Kwa mujibu wa hadithi Mame Bakari, ubahaimu anaotendewa mwanamke unakuwa na athari mbaya kwake. Onyesha kwa mifano mwafaka.(Solved)
Kwa mujibu wa hadithi Mame Bakari, ubahaimu anaotendewa mwanamke unakuwa na athari mbaya kwake. Onyesha kwa mifano mwafaka.
Date posted: February 6, 2023.
- Ukirejelea hadithi zifuatazo, eleza jinsi maudhui ya mapenzi na asasi ya ndoa yanavyojitokeza.
(a) Mapenzi ya Kifaurongo
(b) Masharti ya Kisasa
(c) Mtihani wa Maisha
(d) Ndoto ya Mashaka(Solved)
Ukirejelea hadithi zifuatazo, eleza jinsi maudhui ya mapenzi na asasi ya ndoa yanavyojitokeza.
(a) Mapenzi ya Kifaurongo
(b) Masharti ya Kisasa
(c) Mtihani wa Maisha
(d) Ndoto ya Mashaka
Date posted: February 6, 2023.
- Kwa kurejelea hadithi ya Shibe Inatumaliza, eleza namna maudhui ya ufisadi yanavyojitokeza.(Solved)
Kwa kurejelea hadithi ya Shibe Inatumaliza, eleza namna maudhui ya ufisadi yanavyojitokeza.
Date posted: February 6, 2023.
- Eleza namna maudhui ya ndoa yalivyosawiriwa katika hadithi ya Masharti ya Kisasa.(Solved)
Eleza namna maudhui ya ndoa yalivyosawiriwa katika hadithi ya Masharti ya Kisasa.
Date posted: February 6, 2023.
- “Ningeondoka ... mapema niende niibe au niue ili niwe mtu wa maana.” (Shibe Inatumaliza)
(a) Eleza muktadha wa maneno haya.
(b) Onyesha vile kinaya kinavyojitokeza katika dondoo.
(c)...(Solved)
“Ningeondoka ... mapema niende niibe au niue ili niwe mtu wa maana.” (Shibe Inatumaliza)
(a) Eleza muktadha wa maneno haya.
(b) Onyesha vile kinaya kinavyojitokeza katika dondoo.
(c) Kinaya kimetumika kwingine kwingi katika hadithi ya Mwalimu Mstaafu. Thibitisha.
(d) Nini umuhimu wa msemaji katika hadithi?
Date posted: February 6, 2023.
- Huku ukirejelea hadithi ya Shibe Inatumaliza, fafanua namna ubadhirifu wa mali ya umma unavyoendelezwa.(Solved)
Huku ukirejelea hadithi ya Shibe Inatumaliza, fafanua namna ubadhirifu wa mali ya umma unavyoendelezwa.
Date posted: February 6, 2023.
- Eleza sifa na umuhimu wa Ngurumo katika tamthilia ya Kigogo.(Solved)
Eleza sifa na umuhimu wa Ngurumo katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted: February 6, 2023.
- Eleza sifa na umuhimu wa Asiya katika tamthilia ya Kigogo.(Solved)
Eleza sifa na umuhimu wa Asiya katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted: February 6, 2023.
- Eleza sifa na umuhimu wa Husda katika tamthilia ya Kigogo.(Solved)
Eleza sifa na umuhimu wa Husda katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted: February 6, 2023.
- Eleza jinsi umaskini unavyoathiri wenyeji wa Sagamoyo katika tamthilia ya Kigogo.(Solved)
Eleza jinsi umaskini unavyoathiri wenyeji wa Sagamoyo katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted: February 6, 2023.
- Fafanua jinsi mbinu ya sadfa inavyojitokeza katika tamthilia ya Kigogo.(Solved)
Fafanua jinsi mbinu ya sadfa inavyojitokeza katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted: February 6, 2023.
- Fafanua sifa na umuhimu wa Kenga katika tamthilia ya Kigogo.(Solved)
Fafanua sifa na umuhimu wa Kenga katika tamthilia ya Kigogo.
Date posted: February 6, 2023.
- Eleza jinsi methali zilivyotumika katika tamthilia ya kigogo.(Solved)
Eleza jinsi methali zilivyotumika katika tamthilia ya kigogo.
Date posted: February 6, 2023.
- Fafanua nafasi/mchango wa vyombo vya habari katika jamii ya Sagamoyo ya tamdhilia ya Kigogo.(Solved)
Fafanua nafasi/mchango wa vyombo vya habari katika jamii ya Sagamoyo ya tamdhilia ya Kigogo.
Date posted: February 6, 2023.
- Utawala wa Majoka ni wa kidhalimu. Thibitisha ukweli huu katika tamdhilia ya Kigogo.(Solved)
Utawala wa Majoka ni wa kidhalimu. Thibitisha ukweli huu katika tamdhilia ya Kigogo.
Date posted: February 6, 2023.
- Bainisha matatizo ambayo Wanasagamoyo wanakumbana nayo katika upiganiaji wa haki katika eneo la Sagamoyo katika tamdhilia ya Sagamoyo.(Solved)
Bainisha matatizo ambayo Wanasagamoyo wanakumbana nayo katika upiganiaji wa haki katika eneo la Sagamoyo katika tamdhilia ya Sagamoyo.
Date posted: February 6, 2023.
- “Siafu huwa wengi. Si rahisi kuwamaliza.” (Kigogo)
(a) Eleza muktadha wa nukuu.
(b) Fafanua mbinu ya lugha iliyotumika humu.
(c) Eleza sifa tatu za mnenewa.
(d) Kwa kifupi, fafanua...(Solved)
“Siafu huwa wengi. Si rahisi kuwamaliza.” (Kigogo)
(a) Eleza muktadha wa nukuu.
(b) Fafanua mbinu ya lugha iliyotumika humu.
(c) Eleza sifa tatu za mnenewa.
(d) Kwa kifupi, fafanua maudhui mawili yaliyodokezwa katika dondoo.
Date posted: February 6, 2023.
- “Mimi na marehemu babako... wajua tulikuwa kama ndugu wa toka nitoke japo hatuna uhusiano wa damu.” (Kigogo)
(a) Weka dondoo hili katika muktadha wake.
(b) Dondoo...(Solved)
“Mimi na marehemu babako... wajua tulikuwa kama ndugu wa toka nitoke japo hatuna uhusiano wa damu.” (Kigogo)
(a) Weka dondoo hili katika muktadha wake.
(b) Dondoo hili linadokeza sifa gani ya mnenaji?
(c) Toa mifano miwili ya mbinu za lugha zilizotumika kifunguni.
(d) Linganisha mnenaji na mnenewa.
Date posted: February 6, 2023.
- Fafanua namna mbinu ya kisengere nyuma ilivyotumika katika riwaya ya Chozi la Heri.(Solved)
Fafanua namna mbinu ya kisengere nyuma ilivyotumika katika riwaya ya Chozi la Heri.
Date posted: February 6, 2023.
- Fafanua nafasi ya mwanamke katika jamii katika riwaya ya Chozi la Heri.(Solved)
Fafanua nafasi ya mwanamke katika jamii katika riwaya ya Chozi la Heri.
Date posted: February 6, 2023.
- Mwanamke amedhalilishwa katika jamii. Fafanua kauli hii ukirejelea riwaya ya Chozi la Heri.(Solved)
Mwanamke amedhalilishwa katika jamii. Fafanua kauli hii ukirejelea riwaya ya Chozi la Heri.
Date posted: February 6, 2023.
- Eleza jinsi mapenzi yamejitokeza katika riwaya ya Chozi la Heri.(Solved)
Eleza jinsi mapenzi yamejitokeza katika riwaya ya Chozi la Heri.
Date posted: February 6, 2023.