Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.
- Mwimbaji wa masahiri huitwa?(Solved)
Mwimbaji wa masahiri huitwa?
Date posted: January 30, 2023.
- Eleza maana ya muwala(Solved)
Eleza maana ya muwala
Date posted: January 30, 2023.
- Eleza maana ya arudhi(Solved)
Eleza maana ya arudhi
Date posted: January 30, 2023.
- Eleza maana ya utoshelezo katika ushairi(Solved)
Eleza maana ya utoshelezo katika ushairi
Date posted: January 30, 2023.
- Eleza maana ya ubeti (beti)(Solved)
Eleza maana ya ubeti (beti)
Date posted: January 30, 2023.
- Eleza maana ya kiishio/kimalizio(Solved)
Eleza maana ya kiishio/kimalizio
Date posted: January 30, 2023.
- Eleza maana na umuhimu wa kibwagizo.(Solved)
Eleza maana na umuhimu wa kibwagizo.
Date posted: January 30, 2023.
- Eleza aina tofauti za mishororo katika ubeti(Solved)
Eleza aina tofauti za mishororo katika ubeti
Date posted: January 30, 2023.
- Ni nini maana ya mshororo mishororo(Solved)
Ni nini maana ya mshororo mishororo
Date posted: January 30, 2023.
- Taja vipande tofauti katika mshororo wa shairi(Solved)
Taja vipande tofauti katika mshororo wa shairi
Date posted: January 30, 2023.
- Eleza maana ya kipande (vipande) katika shairi(Solved)
Eleza maana ya kipande (vipande) katika shairi
Date posted: January 30, 2023.
- Kurukia si kuzuri, maneno musirukie,
Mutakuja zusha shari, makonde muyabugie,
Mukimbie kwa ghururi, kama kuku mukimbie,
Maneno musirukie, wasemapo majabari.
Wasemapo majabari, maneno musirukie,
Hasa walio jeuri, kamwe musikurubie,
Ndondi zitawaaziri,...(Solved)
Kurukia si kuzuri, maneno musirukie,
Mutakuja zusha shari, makonde muyabugie,
Mukimbie kwa ghururi, kama kuku mukimbie,
Maneno musirukie, wasemapo majabari.
Wasemapo majabari, maneno musirukie,
Hasa walio jeuri, kamwe musikurubie,
Ndondi zitawaaziri, na kwa Mola mutubie,
Maneno musirukie, wasemapo majabari.
(Abedi K.A)
Onyesha vina vya ndani na nje kwenye shairi hili.
Date posted: January 30, 2023.
- Taja umuhimu wa vina katika ushairi(Solved)
Taja umuhimu wa vina katika ushairi
Date posted: January 30, 2023.
- Eleza maana ya vina(Solved)
Eleza maana ya vina
Date posted: January 30, 2023.
- Eleza maana ya mizani(Solved)
Eleza maana ya mizani
Date posted: January 30, 2023.
- Taja mbinu za kutatua changamoto za ufundishaji na usomaji wa ushairi(Solved)
Taja mbinu za kutatua changamoto za ufundishaji na usomaji wa ushairi
Date posted: January 30, 2023.
- Utafiti unaonyesha kuwa kuna changamoto nyingi katika ufundishaji na usomaji wa ushairi. Changamoto hizi huenda ikawa ndizo huchangia kudorora kwa matokeo ya wanafunzi katika somo...(Solved)
Utafiti unaonyesha kuwa kuna changamoto nyingi katika ufundishaji na usomaji wa ushairi. Changamoto hizi huenda ikawa ndizo huchangia kudorora kwa matokeo ya wanafunzi katika somo la ushairi. Taja changamoto za ufundishaji na usomaji wa ushairi
Date posted: January 30, 2023.
- Eleza umuhimu wa ushairi(Solved)
Eleza umuhimu wa ushairi
Date posted: January 30, 2023.
- Taja sifa za ushairi(Solved)
Taja sifa za ushairi
Date posted: January 30, 2023.
- Eleza dhana ya ushairi.(Solved)
Eleza dhana ya ushairi.
Date posted: January 30, 2023.
- Ni mambo gani yanayobainika wazi, yanayoelezea ushairi umekuwa sanaa ya umma katika kipindi cha sasa?(Solved)
Ni mambo gani yanayobainika wazi, yanayoelezea ushairi umekuwa sanaa ya umma katika kipindi cha sasa?
Date posted: January 30, 2023.
- Utanzu wa ushairi umepitia matapo/vipindi vinne katika kukua na kusambaa kwake. Eleza vipindi kama vinavyoelezewa na Kitula King’ei na Amata Kemoli, katika Diwani yao ‘Taaluma...(Solved)
Utanzu wa ushairi umepitia matapo/vipindi vinne katika kukua na kusambaa kwake. Eleza vipindi kama vinavyoelezewa na Kitula King’ei na Amata Kemoli, katika Diwani yao ‘Taaluma ya Ushairi’.
Date posted: January 30, 2023.
- Eleza mbinu zifuatazo zilivyotumika kwenye hadithi, Pupa, ukitolea mifano;
i. Kinaya
ii. Sadfa(Solved)
Eleza mbinu zifuatazo zilivyotumika kwenye hadithi, Pupa, ukitolea mifano;
i. Kinaya
ii. Sadfa
Date posted: January 30, 2023.
- Umaskini na usherati ni baadhi ya mambo ambayo hudidimisha maendeleo. Thibitisha kauli hii ilivyotumika katika hadithi, Pupa.(Solved)
Umaskini na usherati ni baadhi ya mambo ambayo hudidimisha maendeleo. Thibitisha kauli hii ilivyotumika katika hadithi, Pupa.
Date posted: January 30, 2023.
- Je, anwani Pupa inafaa? Fafanua.(Solved)
Je, anwani Pupa inafaa? Fafanua.
Date posted: January 30, 2023.
- Huku ukitolea mifano, eleza matumizi ya mbinu zifuatazo katika hadithi, Nilitamani;
(i) Kinaya
(ii) Taharuki
(iii) Taswira(Solved)
Huku ukitolea mifano, eleza matumizi ya mbinu zifuatazo katika hadithi, Nilitamani;
(i) Kinaya
(ii) Taharuki
(iii) Taswira
Date posted: January 30, 2023.
- Mwandishi wa hadithi, Nipe Nafasi ameshughulikia vipi suala la ’ utamaduni na mabadiliko’(Solved)
Mwandishi wa hadithi, Nipe Nafasi ameshughulikia vipi suala la ’ utamaduni na mabadiliko’
Date posted: January 30, 2023.
- Taasubi ya Kiume na migogoro ni baadhi ya masuala makuu katika hadithi, Nipe Nafasi. Jadili.(Solved)
Taasubi ya Kiume na migogoro ni baadhi ya masuala makuu katika hadithi, Nipe Nafasi. Jadili.
Date posted: January 30, 2023.
- Fafanua kwa kina masuala ibuka yafuatayo katika hadithi ya Toba ya Kalia;
(i) Elimu
(ii) Teknolojia na mawasiliano(Solved)
Fafanua kwa kina masuala ibuka yafuatayo katika hadithi ya Toba ya Kalia;
(i) Elimu
(ii) Teknolojia na mawasiliano
Date posted: January 30, 2023.
- Je, anwani, Toba ya Kalia inafaa? Eleza.(Solved)
Je, anwani, Toba ya Kalia inafaa? Eleza.
Date posted: January 30, 2023.