Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.

Questions and Answers - Kenyaplex.com

Q&A Categories


Do you have Q&A pairs? Post them here

61904 Questions  View: All | Solved | Unsolved



Search Results...
  • Mobile phones have become a common means of communication in Kenya today. State four challenges that a trader may encounter when using mobile phones.(Solved)

    Mobile phones have become a common means of communication in Kenya today. State four challenges that a trader may encounter when using mobile phones.

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Study the information in the table below and answer questions that follow. (Letters given are not real symbols)(Solved)

    Study the information in the table below and answer questions that follow. (Letters given are not real symbols) Q11101120191053.png Explain why the ionic radius of :- (a) B+ is greater than that of A+ (b) C2+ is smaller than the of A+

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Outline four benefits that Kenyan government may get as a member of common market for Eastern and Southern Africa (COMESA)(Solved)

    Outline four benefits that Kenyan government may get as a member of common market for Eastern and Southern Africa (COMESA).

    Date posted: October 11, 2019.  

  • The following balances were extracted from The books of Gaitu Traders for the month ended on 31st march 2005,(Solved)

    The following balances were extracted from The books of Gaitu Traders for the month ended on 31st march 2005, sales1053102019.png Prepare trial balance for Gaitu Traders as at 31st march 2005.

    Date posted: October 11, 2019.  

  • The following information relates to Kitui merchants. Stock 1/1/2005 20,000 Stock 31/12/2005 15,000 Purchases 150,000 Mark...(Solved)

    The following information relates to Kitui merchants. Stock 1/1/2005 20,000 Stock 31/12/2005 15,000 Purchases 150,000 Mark up 20% Prepare the trading account for the period ended 31/12/2005

    Date posted: October 11, 2019.  

  • The diagram below shows some parts of a Bunsen burner(Solved)

    The diagram below shows some parts of a Bunsen burner Q8101120191047.png Explain how the parts labelled T and U are suited to their functions

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Outline four circumstances under which manufactures may not sell goods/ services directly to consumers.(Solved)

    Outline four circumstances under which manufactures may not sell goods/ services directly to consumers.

    Date posted: October 11, 2019.  

  • For each of the following books of original entry indicate the source document used. a)Purchase journal b)Cash payment journal c)Purchase returns journal d)Sales returns journal(Solved)

    For each of the following books of original entry indicate the source document used. a)Purchase journal b)Cash payment journal c)Purchase returns journal d)Sales returns journal

    Date posted: October 11, 2019.  

  • The diagrams below are some common laboratory apparatus. Name each apparatus and state its use(Solved)

    The diagrams below are some common laboratory apparatus. Name each apparatus and state its use Q7101120191042.png

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Identify four ways in which consumers can be exploited by traders.(Solved)

    Identify four ways in which consumers can be exploited by traders.

    Date posted: October 11, 2019.  

  • A mixture of hexane and water was shaken and left to separate as shown in the diagram below:(Solved)

    A mixture of hexane and water was shaken and left to separate as shown in the diagram below: Q6101120191035.png State the identity of; (i) P (ii) W

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Eleza njia tatu za kupunguza tofauti za kilahaja (Solved)

    Eleza njia tatu za kupunguza tofauti za kilahaja

    Date posted: October 11, 2019.  

  • The diagram below shows three methods for collecting gases in the laboratory(Solved)

    The diagram below shows three methods for collecting gases in the laboratory Q5101120191027.png (a) Name the methods A and B (b) From the methods above, identify one that is suitable for collecting sulphur (IV) oxide. Explain

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Tunga sentensi kuonyesha maana mbili za neno chuma (Solved)

    Tunga sentensi kuonyesha maana mbili za neno chuma

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Eleza dhana ya kishazi tegemezi.(Solved)

    Eleza dhana ya kishazi tegemezi.

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Eleza tofauti ya kimaana katika sentensi hizi i)Nisimamapo huchekwa ii)Ninaposimama huchekwa (Solved)

    Eleza tofauti ya kimaana katika sentensi hizi i)Nisimamapo huchekwa ii)Ninaposimama huchekwa

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Tambua kiima, shamirisho, chagizo na kiarifa katika sentensi ifuatayo Nyanya alimjengea mjukuu nyumba kwa matofali mwaka jana. (Solved)

    Tambua kiima, shamirisho, chagizo na kiarifa katika sentensi ifuatayo Nyanya alimjengea mjukuu nyumba kwa matofali mwaka jana.

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Tunga sentensi ukitumia vihusishi vya: a) Kulinganisha b)Sababu c)Wakati (Solved)

    Tunga sentensi ukitumia vihusishi vya: a) Kulinganisha b)Sababu c)Wakati

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Give two drugs that are commonly abused by the youth.(Solved)

    Give two drugs that are commonly abused by the youth.

    Date posted: October 11, 2019.  

  • What is a drug?(Solved)

    What is a drug?

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Tofautisha sentensi zifuatazo. i) Ningekuwa na pesa ningenunua simu nzuri ii)Ningalikuwa na pesa ningalinunua simu nzuri (Solved)

    Tofautisha sentensi zifuatazo. i) Ningekuwa na pesa ningenunua simu nzuri ii)Ningalikuwa na pesa ningalinunua simu nzuri

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mistari Wanafunzi wenye bidii hufuzu mtihani (Solved)

    Changanua sentensi ifuatayo kwa njia ya mistari Wanafunzi wenye bidii hufuzu mtihani

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Andika katika usemi wa taarifa “Mtapata mwaliko wenu kesho,” alisema Salim (Solved)

    Andika katika usemi wa taarifa “Mtapata mwaliko wenu kesho,” alisema Salim

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Ainisha mofimu katika neno lifuatalo Sikumkaribisha (Solved)

    Ainisha mofimu katika neno lifuatalo Sikumkaribisha

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Maneno haya yamo katika ngeli gani? Tayo Kipepeo (Solved)

    Maneno haya yamo katika ngeli gani? Tayo Kipepeo

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Draw a labelled diagram of a non-luminous flame(Solved)

    Draw a labelled diagram of a non-luminous flame

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Tofautisha sauti zifuatazo. /a/ /u/ (Solved)

    Tofautisha sauti zifuatazo. /a/ /u/

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Soma makala haya kisha ujibu maswali yafuatayo HAKI ZA BINADAMU Binadamu wana mazoea ya kufikiria kuwa jinsi wafanyavyo, waongeavyo na wafikiriavyo kuhusu vitu ndivyo inavyopasa...(Solved)

    Soma makala haya kisha ujibu maswali yafuatayo HAKI ZA BINADAMU Binadamu wana mazoea ya kufikiria kuwa jinsi wafanyavyo, waongeavyo na wafikiriavyo kuhusu vitu ndivyo inavyopasa kuwa. Kama binandamu tunaamini njia yetu ndiyo sahihi, yenye mantiki na inayopasa kufuatwa na kila mtu. Msingi huu huu unakwenda kinyume na kutambua kila binadamu ana haki ya kufikiri, kusema au kuongea na kutenda mradi asikiuke haki ya mwenzake iliyo sawa na yake. Nguzo mojawapo inayogongomelea hoja hii ni Haki za Binadamu. Azimio kutangaza Haki Bia za Binadamu liliafikiwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa tarehe 10 Desemba 1948. Baraza kuu hilo liliyasisitizia mataifa wanachama umuhimu wa kuyasambaza, kuenezea, na kusisitiza kusambazwa kwa azimio hilo katika shule na taasisi za kielimu. Msingi wa uhuru, haki na amani ulimwenguni ni kutambua binadamu wote wana haki sawa. Ingawa kimsingi jamii na mataifa yote ya ulimwengu yanapaswa kuthamini, kusambaza na kuhimiza umuhimu wa Haki za Binadamu zipo jamii ambazo hukiuka haki hizo. Matokeo ya ukiukaji huu yana athari hasi sana kama ilivyotokea nchini Rwanda na Bosnia. Herzegovina kulikotokea mauaji ya halaiki. Azimio la Haki za Binadamu linajumuisha vipengele kadha ambavyo ni mihimili mikuu ya Azimio lenyewe. Kipengele msingi kabisa kinasisitiza kuwa kila kiumbe anazaliwa huru na ana haki na hadhi sawa na kiumbe mwingine. Ukweli wa kauli hii ulikokotezwa na kauli ya mwanafalsafa maarufu Jean Jacques Rosseau aliyesema kuwa kila kiumbe huzaliwa huru lakini huwa katika pingu ulimwengu mzima. Kauli hii ilitambua ukiukaji huu wa kipengele hiki. Kipengele cha pili kinasisitiza kuwa binadamu wote wana haki za kufurahia uhuru wao pasi na kutengwa au kubezwa kwa misingi yoyote ile si rangi, kabila, jinsia, lugha, dini, asilia, utajiri au chochote kile. Vipengele vingine vinatukumbusha kuwa kila mtu ana haki ya kuishi na kupata ulinzi. Hamna mtu anayepaswa kuishi maisha ya utumwa au unyonge wa kutumikishwa kwa namna yoyote ile. Suala hili linasisitizwa na kipengele cha sita kinachokataza kudhalilishwa kwa watu au kutunzwa kwa namna yoyote ambayo inamfedhehesha kama kiumbe. Azimio la Haki za Binadamu linasisitiza kuwa binadamu yoyote nyule ana haki ya kupata ulinzi wa kisheria. Binadamu huyo hapaswi kubaguliwa na ana haki ya kupata fidia ya kisheria taraa haki zake za kimsingi zikikiukwa. Hata hivyo sio watu wote ulimwenguni ambao wanazifurahia haki hizi za kimsingi. Zipo lukuki za jamii ulimwenguni ambako haki za kimsingi zinakiukwa. Katika nchi ambazo zinaongozwa na watawala wa kiimla, si ajabu kuona haki za binadamu zikikiukwa. Viongozi wa aina hiyo huwa wamegeuzwa ng’ombe wa shemere na tamaa, ubinafsi na ukatili usiojua thamani ya utu. Viongozi wa aina hii wanasahau kuwa kila binadamu ana haki ya kuishi maisha huru, asipotumikishwa wala kulanguliwa kama bidhaa. Nchi za kiimla aghalabu huongozwa na itikadi kuwa kiongozi ndiye pekee ambaye ana uwezo wa kufikiri, kuamua na kutenda. Watu wengine wanapaswa kumfuata kisilka kama yule mbwa wa Pavlov ambaye alitokwa na mate kila kengele ilipopigwa. Viongozi wa ama hii hawachelei kuwatenza nguvu raia zao: Kuwadhalilisha kwa namna nyingi. Viongozi wa aina hiyo huiona sheria ya nchi kama iliyowekwa kwa watu wengine bali sio wao. Msimamo huu unakwenda kinyume na kipengele cha saba cha Haki Bia za Binadamu kisemacho kuwa watu wote ni sawa mbele ya sheria. Baadhi ya haki zinazokiukwa katika jamii za kimabavu ni haki ya watu kuungana, kuwaza, kushiriki katika maamuzi ya serikali, kuwa mwanachama wa jumuia waitakayo, kumiliki mali, kutembea, kuishi anakotaka kutohukumiwa bila ya kuwako na utaratibu wa kisheria. Ni muhimu hata hivyo kujua ni muhimu kwa raia wenyewe kujielimisha na kuzijua haki zao. Serikali inapaswa kuwa mlinzi wa sheria zenyewe. Lakini muhimu kujua pia kuwa mlinzi naye hulindwa pia. Maswali a)Kwa maneno kati ya 90 – 100 fafanua Haki Bia za Binadamu zilizoafikiwa na Baraza kuu la umoja wa Mataifa. Nakala Chafu Nakala Safi b) Kwa nini viongozi wa kiimla hukiuka haki za binadamu. (Maneno 50 – 60). Nakala Chafu

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali Tokea muundo mpya wa serikali ya ugatuzi uanze kutekelezwa miaka miwili iliyopita, kumeendelea kushuhudiwa matatizo mengi hali iliyopelekea kushuhudiwa kwa...(Solved)

    Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali Tokea muundo mpya wa serikali ya ugatuzi uanze kutekelezwa miaka miwili iliyopita, kumeendelea kushuhudiwa matatizo mengi hali iliyopelekea kushuhudiwa kwa msururu wa migomo na maandamano ya raia. Fujo za karibuni kabisa ni zile zinazoshuhudiwa katika miji mikubwa za wachuuzi na wafanyibiashara wakipinga hatua za serikali za kaunti kuwatoza ushuru takribani kwa kila huduma na bidhaa ikiwemo wanyama, kuku na ndege. La kuhuzunisha zaidi katika baadhi ya majimbo imeripotiwa kuwa raia wamelazimishwa kulipa ushuru kwa kutaka tu kuona maiti za jamaa zao kwenye vyumba vya kuhifadhi maiti. Wanasiasa wameonekana kuwa na wakati mgumu kutetea mfumo huu mpya wa ugatuzi huku baadhi wakisema kwamba matatizo yanayoshuhudiwa kwa sasa yametokana na ugeni wa mfumo huo. Wengine wameinyoshea kidole serikali ya kitaifa kwamba ndiyo inayosambaratisha muundo huu. Wengine wanahoji kuwa bado ni mapema na kwamba kunatajika muda mrefu ili kufaulu. Ni wazi kwamba kumekosekana nidhamu bora ya kusimamia maisha ya raia nchini Kenya. Matatizo yanayokumba raia kwa sasa ni dalili kuwa mfumo wa serikali ya ugatuzi umeongezea chumvi kwenye kidonda badala ya kutibu. Swali ni je, hadi lini nidhamu ya kusimamia raia itakuwa ni suala la majaribio na makosa? Hatua ya kuwarundikizia raia ushuru mkubwa ni kitendo cha unyonyaji na cha dhuluma kinachofaa kupingwa. La kufahamishiwa hapa ni kwamba ushuru ndio njia kubwa ya kuzalisha mapato ya serikali zinazojifunga na mfumo wa kimagharibi wa kiuchumi wa kibepari ikiwemo Kenya. Asilimia 90 ya mapato ya serikali za kibepari huegemea ushuru. Kwa hivyo hatua ya serikali za kaunti katika kuwanyonya raia kwa kuwalipisha ushuru si ajabu bali ni thibitisho kuwa jamii ya Kenya inaongozwa na nidhamu ya kiuchumi ya ubepari mfumo wa unyonyaji na ukandamizaji. Ukweli unabakia kuwa ndani ya serikali za kibepari raia ndio hubebeshwa mzigo wa ushuru unaoishia matumboni mwa viongozi! Miito ya mabadiliko ya katiba na ya miundo mipya ya kiutawala si lolote ila ni moja tu ya hatua za mfumo wa kibepari kujipa muda wa kuishi na kuziba aibu zake za kushindwa kusimamia maisha ya watu. Kufeli huku kwa mfumo huu kunashuhudiwa hadi kwenye nchi kubwa za kibepari kama Marekani na Uingereza hivyo nazo zimekumbwa tele na maandamano na fujo za raia wakilalamikia hali ngumu ya maisha. Maswali a)Yape makala haya anwani mwafaka. b)Eleza mtazamo wa wanasiasa kuhusu utepetevu wa mfumo huu. c)“Ugatuzi nchini Kenya ni mfumo wa kibepari” Thibitisha kauli hii kwa kurejelea makala. d)Migomo ni zao la matatizo yaliyogatuliwa kutoka kuu. Toa sababu nyingine zinazosababisha migomo katika serikali za ugatuzi e)Thibitisha jinsi mfumo wa ugatuzi umeongeza chumvi kwenye kidonda badala ya kutibu f)Eleza maana ya maneno yafuatayo i) Ugatuzi ii) Kibepari

    Date posted: October 11, 2019.  

  • Wooden splints F and G were placed in different zones of a Bunsen burner flame. The diagram below gives the observations that were made(Solved)

    Wooden splints F and G were placed in different zones of a Bunsen burner flame. The diagram below gives the observations that were made Q110112019957.png (a) Explain the difference between F and G (b) Name the type of flame that was used in the above experiment

    Date posted: October 11, 2019.