Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.
- Kuna sababu kadha za kuwako na kushamiri kwa ajira ya watoto.(Solved)
Soma makala yafuatayo kisha ujibu maswali.
Kuna sababu kadha za kuwako na kushamiri kwa ajira ya watoto. Moja ya sababu hizo ni umaskini unaozikumba jamaa nyingi pamoja na welewa mdogo wa thamani ya elimu wa baadhi ya watu katika jamii. Wapo watoto ambao hushurutika kubeba jukumu la kujizumbulia riziki wenyewe kutokana na hali duni ya familia zao.
Hali hii huweza kutokana na baadhi ya wazazi kutelekeza majukumu yao ya kimsingi ya kuikimu jamaa yao. Aidha kuna sehemu nyingine ambapo hali hii imetokana na janga sugu la ukimwi. Yapo maeneo ambako kuenea kwa ugonjwa huu kumewafanya viongozi wa jamaa kupukutika kama majani ya mti na kuwalazimisha watoto kuyakatiza masomo yao ili wawakidhie haja wadogo zao. Kuhusiana na kutelekeza majukumu, kuna wazazi ambao wanakosea kwa kutowaelekeza watoto wao kujua maadili mema ni yepi. Kwa njia hii watoto hao wanaishia kutumbukia kwenye matatizo makubwa.
Baadhi ya ajira zina athari kubwa sana kwa watoto. Ukahaba, kwa mfano, ni mojawapo ya ajira ambazo watoto wa kike hulazimika kujiingiza. Hii ni ajira ambayo inaweza kuwatumbukiza watoto hao katika hatari kubwa kutokana na uwezekano mkubwa wa kuambukizwa maradhi ya ukimwi. Asillimia kubwa ya watoto wanaotumbukia katika ajira hii, inapatikana katika maeneo ya mijini na sehemu ambako utalii umeshamiri sana. Umaskini pamoja na dhiki za mijini huwalazimisha watoto hao wa kike kuishia kwenye biashara za aina hiyo. Wengine hufanyiwa hila na wafanyabiashara ambao wametovukwa na utu kutokana na tamaa yao kubwa ya kujitajirisha. Katika maeneo ambako utalii umeshamiri, ukahaba wa watoto unatokana na umaskini pamoja na kusambaa na kuenea kwa maadili ajinabi, ya ulimwengu usio wetu.
Ikiwa umaskini ni chocheo kubwa la kuwapo kwa ajira ya watoto, basi inahalisi serikali zetu zifanye kila juhudi kuhakikisha kuwa umaskini umepigwa vita. Pana umuhimu wa kuhakikisha kuwa wanajamii wote wamepewa nafasi sawa za kujikwamua kutoka lindi la umaskini. Isitoshe, pana umuhimu wa juhudi nyingi kufanywa kuhakikisha kuwa nafasi za shule zimepanuliwa ili kuikidhi idadi kubwa ya watoto ambao wana kiu ya elimu. Serikali haina budi pia kuhakikisha kuwa zimepitishwa sheria zinazomlinda motto dhidi ya ukatili unaotokana na watu waliokosa hisia za utu na ubinadamu. Upo pia umuhimu wa kuvisaidia vikundi vinavyojitahidi kuwasaidia watoto ili kuzifanikisha juhudi zao kwa kuwa chanda kimoja hakivunji chawa kama tujuavyo.
Hatua nyingine ambazo zinaweza kuchukuliwa ili kupunguza ajira ya watoto ni kuwahamasisha wanajamii kuhusu haki za mtoto. mtoto yeyote yule ana haki ya kupata elimu ya msingi. Mtoto pia ana haki ya kuishi na kupata mahitaji ya kimsingi na ya lazima kama chakula, malazi au makazi na matunzo ya kiafya. Aidha mtoto ana haki ya ukuaji, yaani kukua kikamilifu pasi na kizuizi na katika mazingira yasiyombana kwa njia yoyote ile. Isitoshe, mtoto ana haki ya kupata ulinzi dhidi ya unyanyaswaji au udhalilishwaji wa aina yoyote ile au hata maonevu kwenye misingi yoyote iwayo. Mtoto pia ana haki ya kuwa huru kushiriki katika jumuiya yake, kutoa maoni na kujieleza, kushirikiana na kujiunga na vikundi. Mwisho, na muhimu zaidi, mtoto ana haki ya kulindwa dhidi ya ajira au aina yoyote ya kazi ambayo inaihatarisha afya na siha yake au inamzuia asipate elimu.
(a) Fupisha aya mbili za mwanzo bila kubadilisha maana. (maneno 60-70)
(b) Eleza hoja muhimu zinazojitokeza katika aya mbili za mwisho. (Maneno 50-60)
Date posted: October 3, 2019.
- One of the components of bile is a chemical left over from destruction of red blood cells.
i) Identify the chemical substance
ii) What is the role...(Solved)
One of the components of bile is a chemical left over from destruction of red blood cells.
i) Identify the chemical substance
ii) What is the role of bile in digestion
Date posted: October 3, 2019.
- State two ways in which the guard cells differ their adjacent epidermal cells(Solved)
State two ways in which the guard cells differ their adjacent epidermal cells
Date posted: October 3, 2019.
- Give the steps involved in Test-Retest method(Solved)
Give the steps involved in Test-Retest method
Date posted: October 3, 2019.
- The diagram below shows how food boles move along the human esophagus and the Intestine.(Solved)
The diagram below shows how food boles move along the human esophagus and the Intestine.
(a) Identify the process illustrated in the diagram
(b) Briefly state how the movement of food boles from position 1 to position 2 is achieved
(c) Name one component of a persons diet that assists in the movement of food described in
(b) above
Date posted: October 3, 2019.
- Name the diseases caused by deficiency of :
(a) Iodine
(b) Vitamin C(Solved)
Name the diseases caused by deficiency of :
(a) Iodine
(b) Vitamin C
Date posted: October 3, 2019.
- A biological washing detergent contains enzymes which remove stains like mucus and oils from clothes which are soaked in water with the detergent:-
(a) Name two...(Solved)
A biological washing detergent contains enzymes which remove stains like mucus and oils from clothes which are soaked in water with the detergent:-
(a) Name two groups of enzymes that are present in detergent
(b) Explain why stains would be removed faster with the detergent in water at 35 degree C rather than at 15 degrees C
Date posted: October 3, 2019.
- State three adaptations of aquatic plants to photosynthesis.(Solved)
State three adaptations of aquatic plants to photosynthesis.
Date posted: October 3, 2019.
- Give situations that may be served by observation data(Solved)
Give situations that may be served by observation data
Date posted: October 3, 2019.
- The diagram below shows chemical reactions A and B which are controlled by enzymes x and y.(Solved)
The diagram below shows chemical reactions A and B which are controlled by enzymes x and y.
(a) Name:
(i) Reaction A.
(ii) Enzyme y
Date posted: October 3, 2019.
- Tamaa mbele mauti nyuma. Thibitisha ukweli ya methali hii ukirejelea hadithi ya Tazamana na mauti.(Solved)
Tazamana na Mautiā (S.A. Mohammed)
Tamaa mbele mauti nyuma. Thibitisha ukweli ya methali hii ukirejelea hadithi ya Tazamana na mauti.
Date posted: October 3, 2019.
- a) A leaf of a potted plant kept in darkness for 48hours was smeared with Vaseline jelly then exposed to sunlight for 8hours. Explain why...(Solved)
a) A leaf of a potted plant kept in darkness for 48hours was smeared with Vaseline jelly then exposed to sunlight for 8hours. Explain why the test for starch in the leaf was negative.
(b) Name two other processes that were interfered with in the plant.
Date posted: October 3, 2019.
- The diagram below shows cells in plants:-(Solved)
The diagram below shows cells in plants:-
(a) Identify the cells shown above
(b) Explain how the cells are adapted to their function
(c) Explain how accumulation of carbon (IV) Oxide in the cells above would lead to the closure of structure A
Date posted: October 3, 2019.
- "Uniulie nini na ndoa yetu na wewe inamhusu pia yeye?"(Solved)
Mwana wa Darubini (K. Mwende Mbai)
"Uniulie nini na ndoa yetu na wewe inamhusu pia yeye?"
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Eleza sifa zozote nne za msemewa.
c) Jadili madhila yanayomkumba mwanamke katika hadithi hii.
Date posted: October 3, 2019.
- Outline the procedure for interviewing(Solved)
Outline the procedure for interviewing
Date posted: October 3, 2019.
- "Lazima kwanza mnihakikishie kuwa huyo sumu hapati hata fununu ya jambo hili."(Solved)
Mstahiki Meya
"Lazima kwanza mnihakikishie kuwa huyo sumu hapati hata fununu ya jambo hili."
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Taja sifa zozote nne za msemaji.
c) Andika umuhimu wa huyo sumu.
Date posted: October 3, 2019.
- The two cells shown below are obtained from two different potato cylinders which were immersed in tow different solutions P and Q.(Solved)
The two cells shown below are obtained from two different potato cylinders which were immersed in tow different solutions P and Q.
a)
i) Name the structure labelled A.
ii) State the function of structure B.
b) If eight of cell I were observed across the diameter of the filed of view of 0.5 mm. Work out the actual diameters of each cell in micrometers.
c) Suggest the identity of the solution Q.
d) Account for the change in cell I above.
e) State any one importance of the physiological process being demonstrated above in animals
Date posted: October 3, 2019.
- Two fresh potato cylinders of equal length were placed one in distilled water and the other in concentrated sucrose solution:
(a) Account for the change in...(Solved)
Two fresh potato cylinders of equal length were placed one in distilled water and the other in concentrated sucrose solution:
(a) Account for the change in length of the cylinder in:
(i) Distilled water
(ii) Sucrose solution
(b)
(i) What would be the result in terms of length if a boiled potato was used?
(ii) Explain your answer in(b)(i) Above
(c) State two uses of the physiological process being demonstrated in the experiment
Date posted: October 3, 2019.
- Name two plant processes in which diffusion plays an important role.(Solved)
Name two plant processes in which diffusion plays an important role.
Date posted: October 3, 2019.
- Name support tissues in plants characterized by the following
(i) Cells being turgid
(ii) Cells being thickened by cellulose
(iii) Cells being thickened by lignin(Solved)
Name support tissues in plants characterized by the following
(i) Cells being turgid
(ii) Cells being thickened by cellulose
(iii) Cells being thickened by lignin
Date posted: October 3, 2019.
- "Tayari nimemkabidhi barua ya kujiuzulu ninapohusika."(Solved)
Mstahiki Meya
Tayari nimemkabidhi barua ya kujiuzulu ninapohusika."
a) Eleza muktadha wa dondoo hili.
b) Mbali na changamoto inayofanya msemaji kujiuzulu, jadili changamoto nyinginezo zinazowakumba wanacheneo.
Date posted: October 3, 2019.
- An experiment was carried out to investigate the effect of different concentrations of sodium chloride on human red blood cells. Equal amounts of blood were...(Solved)
An experiment was carried out to investigate the effect of different concentrations of sodium chloride on human red blood cells. Equal amounts of blood were added to equal volumes of the salt solution but of different concentrations. The results are shown in the table below.
(a) Account for the results in the set-up
(b) If the experiment was repeated using 1.4% sodium chloride solution, state the expected results with reference to:
(i) the number of red blood cells
(ii) the appearance of red blood cells if viewed under the microscope
Date posted: October 3, 2019.
- Briefly state two adaptation for each of the following cells to their functions
(i) Spermatozoon
(ii) Palisade mesophlly cell(Solved)
Briefly state two adaptation for each of the following cells to their functions
(i) Spermatozoon
(ii) Palisade mesophlly cell
Date posted: October 3, 2019.
- Eleza namna mbinu ya Taharuki ilivyotumiwa na mwandishi wa riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.(Solved)
Eleza namna mbinu ya Taharuki ilivyotumiwa na mwandishi wa riwaya ya Kidagaa Kimemwozea.
Date posted: October 3, 2019.
- The figure below shows the results obtained when red blood cells are put in different solutions.(Solved)
The figure below shows the results obtained when red blood cells are put in different solutions.
(a) What is the name given to the process that occurs when the cell is put into solution B?
(b) Compare the results obtained when the cell is put in solution B to the results that would be obtained if a plant cell was put in the same solution
Date posted: October 3, 2019.
- The diagram below shows the results obtained when red blood cells are placed in different solution.(Solved)
The diagram below shows the results obtained when red blood cells are placed in different solution.
(a) What name is given to the process that occurs when the cell is placed in solution Y?
(b) Describe the process that would occur in a plant cell when placed in a similar solution as that of solution X
Date posted: October 3, 2019.
- The diagrams below show a red blood cell that was subjected to a certain treatment.(Solved)
The diagrams below show a red blood cell that was subjected to a certain treatment.
a)Draw a diagram to illustrate how a plant cell would appear if subjected to the same treatment
b)Account for the shape of the cell at the end of the experiment
Date posted: October 3, 2019.
- Discuss the main methods of administering Questionnaires(Solved)
Discuss the main methods of administering Questionnaires
Date posted: October 3, 2019.
- State three physiological processes that are involved in movement of substances a cross the cell membrane.(Solved)
State three physiological processes that are involved in movement of substances a cross the cell membrane.
Date posted: October 3, 2019.
- An experiment was set-up as shown below and left for one hour.(Solved)
An experiment was set-up as shown below and left for one hour.
(a) State the expected result at the end of one hour
(b) Explain the observations made in this experiment
Date posted: October 3, 2019.