Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.
- The relation between two variables P and V is believed to be of the form where A and B are constants.
(a)...(Solved)
The relation between two variables P and V is believed to be of the form where A and B are constants.
(a) Draw a suitable line graph and use it to determine the value of A and B
(b) Estimate the value of P when the value of V is 5.
Date posted: September 24, 2019.
- The manager of Hilton hotel has enough funds to buy at most 100 crates of soft drinks of type A and type B. He wishes...(Solved)
The manager of Hilton hotel has enough funds to buy at most 100 crates of soft drinks of type A and type B. He wishes to buy more than twice as many crates of type A as type B. He wants to buy a maximum of 80 crates of type A and at least 10 crates of type B. Letting x represent the number of crates of type A and y the number of crates of type B;
(a) Write down all the inequalities which represent the above information.
(b) Represent the inequalities in (a) above on the graph provided.
The profit from the sale of a crate of type A is kshs. 60, while that of type B is kshs. 40. Find the number of crates he should buy to maximize his profit.
(c) Find the profit.
Date posted: September 24, 2019.
- Bwana Spika, ninaomba kufahamishwa kwa nini Waziri wa Biashara ameshindwa kuchukua hatua kukomesha uuzaji wa vileo hatari kwa watoto wa shule.
(a) Fafanua sifa zozote tano...(Solved)
Bwana Spika, ninaomba kufahamishwa kwa nini Waziri wa Biashara ameshindwa kuchukua hatua kukomesha uuzaji wa vileo hatari kwa watoto wa shule.
(a) Fafanua sifa zozote tano za sajili inayorejelewa na maneno haya
b)Eleza mambo yaliyochangia msambao wa Lugha ya Kiswahili kabla ya kuondoka kwa wakoloni barani
Date posted: September 24, 2019.
- Jaza nafasi zifuatazo.
Mkwezi hupanda miti............. hufanya kazi maktabani, mpanzi ........, ...... huendesha gari la moshi na mpagazi ......(Solved)
Jaza nafasi zifuatazo.
Mkwezi hupanda miti............. hufanya kazi maktabani, mpanzi ........, ...... huendesha gari la moshi na mpagazi ......
Date posted: September 24, 2019.
- a)Using trapezium rule estimate the area enclosed by the curve y = -x2, the x-axis and the lines x = 5 and x = 2,...(Solved)
a)Using trapezium rule estimate the area enclosed by the curve y = -x2, the x-axis and the lines x = 5 and x = 2, using 7 ordinates.
(b) Find the exact area.
(c) Find the percentage error in using trapezium rule.
(d) Estimate the area using mid-ordinate rule with six strips
Date posted: September 24, 2019.
- Tofautisha matumizi ya ‘Ngali’ katika tungo hizi.
Mama angali mlimani
Otiende angalisoma kwa bidi angaliishi maisha mema.(Solved)
Tofautisha matumizi ya ‘Ngali’ katika tungo hizi.
Mama angali mlimani
Otiende angalisoma kwa bidi angaliishi maisha mema.
Date posted: September 24, 2019.
- Onyesha na ueleze matumizi ya viwakifishi vifuatavyo.
Kibainishi
Mkwaju(Solved)
Onyesha na ueleze matumizi ya viwakifishi vifuatavyo.
Kibainishi
Mkwaju
Date posted: September 24, 2019.
- Pambanua kwa michoro ya matawi sentensi inayofuata.
Ikiwa atawasili mapema, atafungua mkutano(Solved)
Pambanua kwa michoro ya matawi sentensi inayofuata.
Ikiwa atawasili mapema, atafungua mkutano
Date posted: September 24, 2019.
- It has been established that the probability of Pangani and Moi Girls teams scoring 0,1,2 and 3 goals against each other are shown in the...(Solved)
It has been established that the probability of Pangani and Moi Girls teams scoring 0,1,2 and 3 goals against each other are shown in the table below
(a)Use a probability space to show all the possible outcomes.
(b)Calculate the probability of
(i)Pangani winning
(ii)A draw
(iii)Moi Girls scoring at least three goals.
Date posted: September 24, 2019.
- Bainisha matumizi ya ‘ KI’ katika sentensi hii.
Seremala akiwasili leo atakuwa akitengeneza kiti cha kitoto chake(Solved)
Bainisha matumizi ya ‘ KI’ katika sentensi hii.
Seremala akiwasili leo atakuwa akitengeneza kiti cha kitoto chake
Date posted: September 24, 2019.
- Tumia O rejeshi tamati. Mwanafunzi ambaye hufanikiwa ni yule ambaye hudurusu kwa makini.(Solved)
Tumia O rejeshi tamati. Mwanafunzi ambaye hufanikiwa ni yule ambaye hudurusu kwa makini.
Date posted: September 24, 2019.
- Tumia kivumishi cha a- unganifu katika sentensi ili kuleta dhana ya sifa.(Solved)
Tumia kivumishi cha a- unganifu katika sentensi ili kuleta dhana ya sifa.
Date posted: September 24, 2019.
- Mrs. Muta earns K£ 12000 p.a. and is housed by the employer at a nominal rent of shs. 1200 p.m. She is entitled to a...(Solved)
Mrs. Muta earns K£ 12000 p.a. and is housed by the employer at a nominal rent of shs. 1200 p.m. She is entitled to a personal relief of K£ 1320 p.a. and a premium relief of 10% on her insuarance premium of K£ 800 p.a. or a maximum of shs. 200 p.m. The housing benefit is 15% of the salary.
Calculate;
(a)Net tax p.a.
(b)Other deductions include;
W.C.P.S shs. 600 p.m.
NHIF shs. 500 p.m.
Calculate her net pay per month.
Date posted: September 24, 2019.
- Andika umoja wa sentensi inayofuata katika hali yakinifu.
Kina mama wasingefika mapema fuoni, wasingewahi mashua.(Solved)
Andika umoja wa sentensi inayofuata katika hali yakinifu.
Kina mama wasingefika mapema fuoni, wasingewahi mashua.
Date posted: September 24, 2019.
- Tambua kiima, aina za shamirisho na chagizo katika sentensi hii.
Kimemletea taabu sana.
Kiima:
Shamirisho:
Chagizo:(Solved)
Tambua kiima, aina za shamirisho na chagizo katika sentensi hii.
Kimemletea taabu sana.
Kiima:
Shamirisho:
Chagizo:
Date posted: September 24, 2019.
- Ainisha vishazi katika sentensi, Endapo atanialika, nitamtembelea.(Solved)
Ainisha vishazi katika sentensi, Endapo atanialika, nitamtembelea.
Date posted: September 24, 2019.
- Andika sentensi inayofuata katika usemi halisi ukianza na kihisishi cha dharau.
Mzee Anandwa alishangaa na kusema kuwa kijana huyo alikuwa amekuwa kaida kama Kirongwe.(Solved)
Andika sentensi inayofuata katika usemi halisi ukianza na kihisishi cha dharau.
Mzee Anandwa alishangaa na kusema kuwa kijana huyo alikuwa amekuwa kaida kama Kirongwe.
Date posted: September 24, 2019.
- A plank AD is lying against a log of circular cross-section of radius 1.4 cm as shown.
Given that AB is 6 cm, find the height...(Solved)
A plank AD is lying against a log of circular cross-section of radius 1.4 cm as shown.
Given that AB is 6 cm, find the height of C above the ground.
Date posted: September 24, 2019.
- Sentensi zinazofuata ni za aina gani?
(i) Nyamari aliadhibiwa madhali alifika darasani akiwa amechelewa sana
(ii) Mimi sijaelewa kamwe somo hili
(iii) Watoto ambao walipotea juzi wamepatikana...(Solved)
Sentensi zinazofuata ni za aina gani?
(i) Nyamari aliadhibiwa madhali alifika darasani akiwa amechelewa sana
(ii) Mimi sijaelewa kamwe somo hili
(iii) Watoto ambao walipotea juzi wamepatikana leo asubuhi
Date posted: September 24, 2019.
- Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi hii.
Wanakujua huku(Solved)
Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi hii.
Wanakujua huku
Date posted: September 24, 2019.
- Tungia sentensi moja ziara na maziara ili kubainisha maana zao.(Solved)
Tungia sentensi moja ziara na maziara ili kubainisha maana zao.
Date posted: September 24, 2019.
- If find the possible values of x which satisfy the matrix product.(Solved)
If find the possible values of x which satisfy the matrix product.
Date posted: September 24, 2019.
- Andika sentensi katika wakati usiodhihirika ukitumia nomino moja ya jamii.(Solved)
Andika sentensi katika wakati usiodhihirika ukitumia nomino moja ya jamii.
Date posted: September 24, 2019.
- Tumia kitenzi kishirikishi kipungufu bila kupoteza maana ya sentensi hii.
Mwanafunzi mmoja angali analala bwenini(Solved)
Tumia kitenzi kishirikishi kipungufu bila kupoteza maana ya sentensi hii.
Mwanafunzi mmoja angali analala bwenini
Date posted: September 24, 2019.
- Two brands of coffee Arabica and Robusta cost shs. 4700 and shs. 4200 per kilogram respectively, are mixed to produce a blend that costs shs....(Solved)
Two brands of coffee Arabica and Robusta cost shs. 4700 and shs. 4200 per kilogram respectively, are mixed to produce a blend that costs shs. 4600 per kilogram. Find the ratio of the mixture.
Date posted: September 24, 2019.
- Andika neno lenye vipengele vinavyofuata vya kisarufi – kikanushi, ngeli, wakati,kitendwa, mzizi na kiishio.(Solved)
Andika neno lenye vipengele vinavyofuata vya kisarufi – kikanushi, ngeli, wakati,kitendwa, mzizi na kiishio.
Date posted: September 24, 2019.
- Linganua kwa namna mbili sauti /e/ na /a/(Solved)
Linganua kwa namna mbili sauti /e/ na /a/
Date posted: September 24, 2019.
- Soma Makala yafuatayo kisha ujibu maswali.Mwana wa Adamu ni kiumbe cha ajabu! Ni kiumbe kilichopewa uwezo wa kuhodhi na kumiliki kila kitu; kiumbe kilichopewa akili(Solved)
Soma Makala yafuatayo kisha ujibu maswali.
Mwana wa Adamu ni kiumbe cha ajabu! Ni kiumbe kilichopewa uwezo wa kuhodhi na kumiliki kila kitu; kiumbe kilichopewa akili
Mwana wa Adamu ni kiumbe cha ajabu! Ni kiumbe kilichopewa uwezo wa kuhodhi na kumiliki kila kitu; kiumbe kilichopewa akili na maarifa fuvu tele ili kuratibu shughuli na mambo; kiumbe kilichopewa uwezo wa kuwasiliana na kutumia sauti nasibu ili kuwa na urari na muwala; kiumbe kilichopewa uwezo wa kufaidi viumbe wengine kwa njia mbalimbali na jumla jamala; hichi ndicho kiumbe kilichopewa idhini maalum ya kuzaana na kujaza dunia. Huyu ndiye mwana wa mama Hawa ambaye sasa amegeuka ndovu kumla mwanawe.
Kwa sababu ya bongo alizonazo, binadamu ana uwezo wa kutumia teknolojia kwa manufaa yake na ithibati zipo tele. Binadamu ametumia nyambizi kuzuru chini ya bahari; amefika mwezini; amevumbua mangala; amevumbua uyoka; amevumbua tarakilishi na sasa shughuli zake ni za kutandaridhi. Mwenyewe yuasema kuwa dunia yake imekuwa kitongoji katika muumano huu.
Chambacho wavyele , akili nyingi huondoa maarifa. Binadamu amekuwa dubwana linalojenga kushoto na kubomoa kulia na tuna sababu ya kulisoza dubwana hili kidole.
Rabana ndiye msanii asiye mfanowe kwani aliisawiri dunia kwa kila lililo jema kwa siku sita mtawalia na kumpa binadamu mazingira murua. Rabuka akaona yote yalikuwa mema na mazuri ; akamwambia binadamu, ‘’Haya, twende kazi !’’
Viwanda vya binadamu vinatiririsha maji-taka ovyo hadi mitoni, maziwani na baharini na matokeo yamekuwa ni vifo vya viumbe vya majini kama samaki ambavyo ni urithi aliyopewa na muumba. Hakuna kiumbe kinachoweza kustahimili Maisha bila maji safi. Maji yote sasa yametiwa sum na binadamu kwa sababu ya ‘maendeleo’ yake. Joshi kutoka katika viwanda vivyo hivyo nalo limehasiri ukanda wa ozoni ambao sasa umeruhusu jua kutuhasiri kwa joto kali mno. Siku hizi inasemekana kuwa kuna mvua ya asidi inayonyesha katika baadhi ya sehemu za dunia na kuleta mdhara makubwa. Labda hata mabahari yamekasirika kwa sababu hivi majuzi katika kile kilichoitwa ‘tsunami’ bahari lilihamia nchi kavu na kusomba maelfu ya binadamu na kuwameza wazima wazima. Vimbunga navyo vimetokea
kwa wingi. Wataalamu wanasema kuwa viwango vya miyeyuko vitazidi kwa sababu ya joto na kiwango cha maji kitazidi pia. Binadamu atatorokea wapi?
Idadi ya binadamu imezidi hadi kiasi asichoweza kukishughulikia kwa sababu anaijaza kwa sababu anadai kuwa aliruhusiwa kuijaza. Hii ni Imani potovu. Anasahau kuwa alipewa ubongo wa kuwaza na kuwazua kabla ya kufanya chochote. Dhiki, maradhi na ufukara zimehamia kwa binadamu na kumtia kiwewe.
Binadamu amefyeka misitu kwa kutaka makao, mashamba, mbao, makaa, ujenzi wa nyumba na barabara na mahitaji mengine mengi. Wanyama wamefurushwa na wengi kuangamia kwa sababu ya ukosefu wa chakula na wengine kushindwa kuhimili mabadiliko katika mazingira. Chemchemi za maji zimekauka nalo jangwa limeanza kutuzuru kwa kasi inayotisha. kazi ya binadamu imekuwa ya kusukia Kamba motoni. Itambidi aanze kujenga kwa matofali ya barafu.
MASWALI
(a) Jadili jinsi binadamu anaweza kutumia uwezo wake vizuri.
Matayarisho
Jibu
(b) Ukirejelea kifungu kizima, onyesha jinsi binadamu ametumia nafasi yake vibaya.
matayarisho
Jibu
Date posted: September 24, 2019.
- Under a transformation represented by a matrix a triangle of area 10 cm2 is mapped on to a triangle whose area is 110 cm2....(Solved)
Under a transformation represented by a matrix a triangle of area 10 cm2 is mapped on to a triangle whose area is 110 cm2. Find x.
Date posted: September 24, 2019.
- Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali.(Solved)
Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali.
Mbuga ya Ziwa Nakuru, sasa limesafishwa katika mojawapo ya juhudi za kukabiliana na maji taka yanayoingia mbugani. Wasimamizi wa mbuga walitumia huduma za vijana wasiokuwa na ajira kutoka mitaa ya Bondeni, Kivumbini, Lake view Freearea na Flamingo kusafisha mito inayobeba uchafu huo. Vibarua walizoa jumla ya tani 1.5, na baadaye tani 4.2 idadi inayofikisha zaidi ya tani 6.0 kwa siku mbili mfululizo.Hili linaashiria jinsi kina cha uchafuzi wa mazingira kwenye ziwa Nakuru umeshamiri,na baadhi ya wafanyikazi wanaona litajwe kuwa janga la kitaifa linalokodolea macho mbuga nyingi humu nchini. Shughuli hiyo ilivutia hisia mseto huku maswali mengi kuliko majibu yakiibuka, endapo KWS ina bajeti ya kung’arisha mbuga za wanyama. Akizungumza na Taifa Leo, mwangalizi wa utalii kutoka kutoka mbuga ya wanyama ya Ziwa Nakuru Bw Sirman Kioko, alisema maji taka yamekuwa yakiingia kwenye mbuga kutokana na miundo msingi duni. Aliongezea kuwa maisha ya wanyama hasa simba, nyati, vifaru,nchui,nviboko na flamingo yalikuwa hatarini,kwa sababu ya maji taka yalikuwa yamebadili mkondo na kupenyeza kwenye mbuga. Miaka mitano iliyopita mbuga ya Nakuru ilikuwa na idadi kubwa ya ndege aina ya heroe ,lakini sasa wamebakia 200 tu. Hali hii itazidi kuwa mbaya,endapo idara husika haitaweka mikakati ya kutafuta suluhu la kudumu kwa wanyama pori wanaozidi kuangamia. Aidha uchafuzi katika ziwa Nakuru umefanya ndege kuhamia ziwa Bogoria ambapo inaaminika angalau chakula ni tele. “Tunakubali kuwa gharama ya kusafisha mbuga ni kubwa,lakini pia tunaomba umma kupunguza matumizi ya mifuko ya plastiki inayoziba njia za maji,”alisema. Pia aliongezea kuwa ni jukumu la mbuga kusafisha mazingira ya wanyama,lakini baraza la mji wa Nakuru pia lina nafasi kubwa ya kuhakikisha makazi ya watu ni safi,kwa kuzoa taka ipasavyo. Anaona kuna utepetevu mkubwa kutoka kwa usimamizi wa mazingira NEMA,wanaostahili kuweka sheria kali za kukabiliana na wale wanaoharibu mazingira. Aliongezea kuwa baraza la kusimamia huduma za wanyama pori (KWS),halina bajeti ya kusafisha mbuga na ndio sababu waliwaajiri vibarua saba kuendesha shughuli hiyo ya siku tatu. Uchafuzi wa mito inayoingia ziwa Nakuru hutokea msimu wa mvua ambapo maji hufurika na kusomba taka kutoka kwenye makazi ya watu. Wanyama wanaovutia watalii kama vile Nyati hupata maradhi pindi wanapokunywa maji chafu,yaliyochanganyika na mifuko ya plastiki. Licha ya KWS kumiliki kituo cha kufanyia utafiti aina ya maradhi mbalimbali yanayokabili wanyama bado hawajafanikiwa kwa asilimia kubwa kuyazuia. Hili linajiri siku moja tu baada ya wakazi wa mtaa wa Bondeni kuandamana barabarani wakilalamikia,ongezeko la kiwango cha takataka kwenye makazi ya watu. (Imenukuliwa kutoka kwa Gazeti la Taifa Leo)
Maswali
1. Ipe taarifa hii kichwa mwafaka
2. Eleza sababu zinazofanya Ziwa Nakuru kuchafuka
3. Ni nini madhara ya kuchafuliwa kwa Ziwa Nakuru?
4. Eleza vizingiti vinavyofanya ziwa hili kuendelea kuchafuliwa
5. Toa mapendekezo yanayoweza kusaidia kumaliza uchafuzi wa Ziwa Nakuru kulingana na taarifa hii.
6.Eleza maana ya maneno haya kama yalivyotumika katika taarifa.
a. Kupenyeza
b. Utepetevu
Date posted: September 24, 2019.