Get premium membership and access questions with answers, video lessons as well as revision papers.
- a. Eleza maana ya lakabu.
b. Huku ukitoa mifano mwafaka, taja asili tano za lakabu.
c. Eleza sifa saba za lakabu.
d. Eleza umuhimu wa lakabu...(Solved)
a. Eleza maana ya lakabu.
b. Huku ukitoa mifano mwafaka, taja asili tano za lakabu.
c. Eleza sifa saba za lakabu.
d. Eleza umuhimu wa lakabu katika jamii
Date posted: October 15, 2019.
- Soma Shairi kisha ujibu maswali.(Solved)
Soma Shairi kisha ujibu maswali.
(a) Kwa kuzingatia mishororo miwili ya mwisho kila ubeti, eleza bahari ya shairi hili.
(b) Onyesha kero zinazosababishwa na mvua.
(c) Eleza kanuni zilizofuatwa kutunga shairi hili.
(d) Onyesha namna mshairi alivyotumia idhini yake.
(e) Andika ubeti wa kwanza kwa lugha ya nathari.
(f) Taja mbinu mbili za lugha zilizotumiwa katika shairi hili.
(g) Andika maana za maneno haya kulingana na muktadha wa shairi.
(i) kutwa na kucha
(ii) kuicha mvua
Date posted: October 15, 2019.
- Draw a diagram to show bonding in an ammonium ion. (N = 7, H = 1)(Solved)
Draw a diagram to show bonding in an ammonium ion. (N = 7, H = 1)
Date posted: October 15, 2019.
- Eleza jinsi mwandishi alivyofanikisha mbinu ya kisengere nyuma.(Solved)
Eleza jinsi mwandishi alivyofanikisha mbinu ya kisengere nyuma.
Date posted: October 15, 2019.
- "...wanahofia kusema wasije wakavikata viganja vinavyowalisha..."
a. Eleza muktadha wa dondoo hili.
b. Taja maudhui yanayojitokeza katika dondoo hili na ueleze.
c. Kwa kutoa hoja kumi, eleza namna...(Solved)
"...wanahofia kusema wasije wakavikata viganja vinavyowalisha..."
a. Eleza muktadha wa dondoo hili.
b. Taja maudhui yanayojitokeza katika dondoo hili na ueleze.
c. Kwa kutoa hoja kumi, eleza namna maudhui uliyotaja hapo juu (2b) yanavyojitokeza katika riwaya.
d. Eleza sifa nne za msemaji
Date posted: October 15, 2019.
- Study the information in the table below and answer the questions that follow.
(The letters do not represent the actual symbols of the elements)(Solved)
Study the information in the table below and answer the questions that follow.
(The letters do not represent the actual symbols of the elements)
(a) What is the general name given to the group in which elements P, Q and R belong?
(b) Explain why P has the highest ionization energy
(c) Write a balanced chemical equation for the reaction between element Q and water
Date posted: October 15, 2019.
- "Na mwamba ngoma huvuta wapi?"
a. Eleza muktadha wa dondoo hili.
b. Tambua tamathali mbili za sauti zilizotumika katika muktadha huo.
c. Fafanua sifa za msemewa wa...(Solved)
"Na mwamba ngoma huvuta wapi?"
a. Eleza muktadha wa dondoo hili.
b. Tambua tamathali mbili za sauti zilizotumika katika muktadha huo.
c. Fafanua sifa za msemewa wa maneno.
d. Thibitisha ukweli kuwa kila mwamba ngoma huvuta kwake ukirejelea Tamthilia nzima ya Kigogo.
Date posted: October 15, 2019.
- Akifisha sentensi hii:
Lo ni nani huyo anayeshambulia mwanangu jirani yangu aliuliza kwa hasira nyingi.(Solved)
Akifisha sentensi hii:
Lo ni nani huyo anayeshambulia mwanangu jirani yangu aliuliza kwa hasira nyingi.
Date posted: October 15, 2019.
- Eleza matumizi ya ‘kwa’ katika sentensi ifuatayo:
Moja kwa tano ya watu waliosafiri kwa gari la moshi walikula wali kwa mchuzi.(Solved)
Eleza matumizi ya ‘kwa’ katika sentensi ifuatayo:
Moja kwa tano ya watu waliosafiri kwa gari la moshi walikula wali kwa mchuzi.
Date posted: October 15, 2019.
- Unda Nomino kutokana na vitenzi vifuatavyo:
Dhulumu
Tubu(Solved)
Unda Nomino kutokana na vitenzi vifuatavyo:
Dhulumu
Tubu
Date posted: October 15, 2019.
- Andika visawe vya maneno yaliyopigiwa mstari katika sentensi ifuatayo:Lupita ndiye alitakadamu upelelezi wa shamba hili.(Solved)
Andika visawe vya maneno yaliyopigiwa mstari katika sentensi ifuatayo:
Lupita ndiye alitakadamu upelelezi wa shamba hili.
Date posted: October 15, 2019.
- Changanua sentensi ifuatayo kwa mishale:
Magaidi waliochoma kanisa ni maadui wakubwa sana.(Solved)
Changanua sentensi ifuatayo kwa mishale:
Magaidi waliochoma kanisa ni maadui wakubwa sana.
Date posted: October 15, 2019.
- The information in the table below relates to elements in the same group of the periodic table.
Study it and answer the question that follows.(Solved)
The information in the table below relates to elements in the same group of the periodic table.
Study it and answer the question that follows.
Which element has the highest ionization energy? Explain
Date posted: October 15, 2019.
- Andika sentensi ifuatayo katika hali ya udogo wingi.
Mvulana mkorofi alimkata mbuzi sikio kwa kisu kikali(Solved)
Andika sentensi ifuatayo katika hali ya udogo wingi.
Mvulana mkorofi alimkata mbuzi sikio kwa kisu kikali
Date posted: October 15, 2019.
- Tunga sentensi ukitumia kihusishi cha wakati.(Solved)
Tunga sentensi ukitumia kihusishi cha wakati.
Date posted: October 15, 2019.
- Tambua yambwa katika sentensi ifuatayo na ueleze ni za aina gani.
Wazazi waliwanunulia wanafunzi bora zawadi nyingi kwa hundi.(Solved)
Tambua yambwa katika sentensi ifuatayo na ueleze ni za aina gani.
Wazazi waliwanunulia wanafunzi bora zawadi nyingi kwa hundi.
Date posted: October 15, 2019.
- Andika katika usemi wa taarifa.
"Mkishinda timu hii leo nitamtuza." Mkufunzi akatwambia.(Solved)
Andika katika usemi wa taarifa.
"Mkishinda timu hii leo nitamtuza." Mkufunzi akatwambia.
Date posted: October 15, 2019.
- The table below shows elements A, B, C, E, F, and G. Elements in group X have a valency of 2 while elements in group...(Solved)
The table below shows elements A, B, C, E, F, and G. Elements in group X have a valency of 2 while elements in group Y have a valency of 1. Use the table to answer the questions that follow:-
(i) Atomic radius increases from A to C and from E to G. Explain
(ii) Explain the difference in the atomic and ionic radii of group X elements
(iii) Elements C and G belong to the same period. Explain why the atomic radius of C is
greater than that of G
(iv) Give the formula of the compound formed when B and F react
(v) What type of bonding is formed in the compound above? Explain
(vi) Starting with the least reactive, arrange the elements in group Y in the order of reactivity.
Explain:
Date posted: October 15, 2019.
- Eleza maana tatu za sentensi hii.
Chakula kingine kimeliwa na wageni(Solved)
Eleza maana tatu za sentensi hii.
Chakula kingine kimeliwa na wageni
Date posted: October 15, 2019.
- Tumia kiunganishi seuze/sembuse katika sentensi.(Solved)
Tumia kiunganishi seuze/sembuse katika sentensi.
Date posted: October 15, 2019.
- Unda sentensi yenye muundo ufuatao:
KN(N+V), KT (t+V+E)(Solved)
Unda sentensi yenye muundo ufuatao:
KN(N+V), KT (t+V+E)
Date posted: October 15, 2019.
- Andika mifano mine ya vitenzi vya silabi moja katika kauli ta kutendesha.(Solved)
Andika mifano mine ya vitenzi vya silabi moja katika kauli ta kutendesha.
Date posted: October 15, 2019.
- Hizi ni mofimu za aina gani?
Kiwavi
Miwani(Solved)
Hizi ni mofimu za aina gani?
Kiwavi
Miwani
Date posted: October 15, 2019.
- Study the information in the table below and answer the questions that follow. The letters do not represent the actual symbols of the elements.(Solved)
Study the information in the table below and answer the questions that follow. The letters do not represent the actual symbols of the elements.
(a) What is the general name given to the group in which the elements X, Y and Z belong?
(b) Select two elements which are coloured gases
(c) Explain why Z has the highest boiling point
(d) Write an equation for the reaction of element Z with iron metal
(e) Element Y was dissolved in water and a piece of blue litmus paper was put into the resulting solution. State and explain the observation that was made on the litmus paper
Date posted: October 15, 2019.
- Taja sifa inayotofautisha sauti /ny/ na /ng/(Solved)
Taja sifa inayotofautisha sauti /ny/ na /ng/
Date posted: October 15, 2019.
- UFUPISHO
Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali uliyopewa.(Solved)
UFUPISHO
Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali uliyopewa.
Kwa mujibu wa utafiti wa wanasayansi, binadamu ndiye kiumbe aliyepevuka zaidi katika fikra kuliko viumbe wengine. Anasemekana kuwashinda viumbe wengine kwa njia nyingi,hata kuweza kuwatala na kuwaratibia maisha yao. Binadamu amepewa uwezo wa kuyatawala mazingira na kukabidhiwa ufundi wa kuweza kuunda vifaa mbalimbali ili kuyakabili mazingira hayo. Uwezo huu ndio umemwezesha kukimu mahitaji ya kizazi kimoja hadi kingine kwa miaka na mikaka. Hata hivyo, kuna tofauti kubwa kati ya binadamu na wanyama. Tofauti hii inaweza kumvua binadamu sifa zake zote na kuuona ukwasi wa maarifa yake kama ishara ya maangamizi ya ulimwengu. Hii ni kutokana na hasara anayosababisha katika mazingira tulivu waliyoumbiwa viumbe wote na Muumba wao.
Lakini ifahamike kuwa mandhari ya ulimwengu tunamoishi humpendeza kila kiumbe, mathalan hewa safi itokayo miliamini, chemichemi za maji, mito na vijito mnamotiririka maji safi, vilele vya milima vilivyofunikwa kwa theluji daima dawamu, yakiwemo mabonde na tambarare zinazohimili uhai wa viumbe wengi.
Vilevile ibainike kuwa uzuri huu wa kiasili hauwezi kufikia kilele bila vichaka na misitu inayoipamba ardhi hii huku ikileta mvua. Mapambo yote haya ni kwa nguvu za maumbile; nguvu ambazo hazisababishwi na kuwa hatari kwa uhai wa binadamu na viumbe wenzake kwa sababu anayaharibu maumbile kwa kiasi kikubwa kinachomtisha binadamu mwenyewe.
Sababu mojawapo ni uchafuzi wa maji kama rasilmali muhimu ya kiasili. Uchafuzi huu umeathiri viumbe na mimea pakubwa, yakiwemo maradhi mbalimbali. Kwa kweli bila maji, uhai utatoweka duniani. Uharibifu mkubwa wa maji machafu yenye sumu hasa kutoka viwandani na kuingia kwenye mito na bahari, huwadhuru viumbe wengine wenye makao majini. Maji huleta madhara sit u kwa mimea bali hata kwa binadamu kupitia kwa ulaji wa vyakula.
Binadamu ameharibu misitu kwa ukataji wa miti kihoela hasa kwenye sehemu za chemichemi. Hali hii husababisha uhaba wa mvua ambao huleta kiangazi kinachokausha mimea na visima vya maji.
Ujenzi wa viwanda hasa katika nchi zilizostawi unaelezwa na wanasayansi wanaohusika na hali za anga kuwa umesababisha taharuki na wasiwasi mwingi. Hii ni kwa sababu umeonyesha kuharibu utandu unaozuia miale ya jua kupenya moja kwa moja kwenye sayari hii na hapo kuhatarisha uhai. Hii ni kutokana na hewa chafu itokayo viwandani. Kadri binadamu anavyochangia pakubwa katika kuondoa polepole uhai wa viumbe wote ulimwenguni.
Warsha nyingi zimefanywa ili kutahadharisha ulimwengu dhidi ya uharibifu wa mazingira na maliasili.‘Ajenda’ za mikutano hiyo hasa zinalenga nchi zilizostawi kwani hizi ndizo zinazochafua mazingira kwa kasi zaidi kuliko zile zinazostawi.
Mapendekezo mengi yametolewa katika vikao hivyo ili kusulihisha tatizo hili lakini ni hatua chache mno zinazochukuliwa kurekebisha mambo haya. Itakuwa bora zaidi ikiwa watu watajipa jukumu la kusafisha mazingira yao. Watoto wafunzwe jinsi ya kuhifadhi mazingira yanapochafuliwa. Wakumbuke kuwa
utumwa si karaha kwa sababu afya zetu na viumbe wengine zimo hatarini ikiwa mazingira yatachafuliwa. Kwa hivyo, ni jukumu la kila mmoja wetu kutunza mazingira anamoishi kwa manufaa ya leo na kesho. Viongozi wanaohudhuria kongomano la kila mwaka maarufu kama ‘KYOTO PROTOCAL’wahakikishe kuwa maazimio yote ya kulinda mazingira yametekelezwa, na sheria kali kuidhinishwa dhidi ya raia wao, la sivyo, siku zijazo kutakuwa na mafuriko mengi ambayo yatasababisha visiwa na sehemu zote za Pwani kufunikwa na maji.
a) Eleza kwa ufupi hasara zinazoweza kusababishwa na uharibifu wa mazingira. (Tumia maneno 45- 55)
b) Eleza hatua ambazo mwanadamu anapaswa kuchukua ili kupunguza madhara ya upanuzi wa viwanda. (Tumia maneno 45)
Date posted: October 15, 2019.
- State the reason for using Argon in electric light bulbs(Solved)
State the reason for using Argon in electric light bulbs
Date posted: October 15, 2019.
- Study the information in the table below and answer the questions that follow:(Solved)
Study the information in the table below and answer the questions that follow:
(a) Would these form part of a metallic or a non-metallic group? Explain
(b) Suggest an element in the table above likely to be the most reactive. Explain
Date posted: October 15, 2019.
- Study the information given below and answer the questions that follow:(Solved)
Study the information given below and answer the questions that follow:
(i) Write the formula of the compound formed when J combined with G
(ii) Explain why the melting point of the oxide of E is higher than that of the oxide of G
Date posted: October 15, 2019.
- Ethanol is a liquid at room temperature but does not conduct electricity. Explain.(Solved)
Ethanol is a liquid at room temperature but does not conduct electricity. Explain.
Date posted: October 15, 2019.